Majibu yako huwa yanachekeshaga sanakuwa mpole kama hujawahi kutongozwa humu
wewe na mimi tusubiri zamu yetu ya kutongozwa itafika
Gpa ya nin hapa. ? kwangu gpa 3.5 haina umuhmuKwanza umefikisha 3.5 gpa au mihemko tu inakusumbua?
PM kuna nini mkuuPanzi amedondokea kwenye furushi la siafu...![]()
![]()
![]()
Ebu pitia PM yako alafu unijibu mkuu...![]()
we ulitaka nitangaze wakati nimetongoza?Basi wewe utakuwa sio mwanaume halisi,unaanzaje kutangaza kwamba umetongozwa!!.......
Wanaume halisi wanakaa kimya,hizo tabia wewe sijui umezitoa wapi.we ulitaka nitangaze wakati nimetongoza?
weka ushaidihuwa tunawasiliana kwa simu na saut yake nimeisikia kanitumia pcha zaid ya saba,nimejua ni mwanadada coz nkimwambia anitumie pcha ananitumia muda huo huo kwa mapoz ninayohtaj mim
Ukifaham hvyo itasaidia nin mkuu?Mtoa mada ni mwanaume wa dar slam au mikoani? ?
sio majibu tu hata ukikaa karibu na mimi utacheka tuMajibu yako huwa yanachekeshaga sana
Umesoma vizuri hyo thread ?Wanaume halisi wanakaa kimya,hizo tabia wewe sijui umezitoa wapi.
Wewe unafikiri yeye akiona hapa atajisikiaje,kwanza atatuona wanaume wote humu ni kama wewe.
mods ni jamaa flani humu ndani wameajiriwa kwa ajili ya kufuta thread za watu na kuwafungia hawataki uandike wasichokipendaWakuu mimi mgeni bado hapa jF..nisaidien maana ya haya maneno.
1:mods
2😛M
siko hapa kwa ajil ya kuthibitisha,we toa ushauriweka ushaidi