moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,174
- 3,006
- Thread starter
- #141
asante mkuu ila nishauri nilichoulizaHongera sana maana inaelekea leo ni mara ya kwanza kutongozwa.
Tembeatembea utagundua ni jambo la kawaida sana.
asante mkuu ila nishauri nilichoulizaHongera sana maana inaelekea leo ni mara ya kwanza kutongozwa.
Tembeatembea utagundua ni jambo la kawaida sana.
Hahahaah haya mkuu kila la Heri.!huwa tunawasiliana kwa simu na saut yake nimeisikia kanitumia pcha zaid ya saba,nimejua ni mwanadada coz nkimwambia anitumie pcha ananitumia muda huo huo kwa mapoz ninayohtaj mim
siwez kukupa nambaNipe no yanke baada ya hapo nitakuhakikishia kama anakupenda kweli au lah
asante ila nishauriHahahaah haya mkuu kila la Heri.!
hahahhahaha na hayo meno yako Ushimen kumpata demu huku ni tabu saana.Kwani tatizo lako nini hasa?
Alafu watu kame wewe ndio mnao turushia ndege wasinase huku jf, kisha hamchelewi kukipaka humu jf hata mnasababisha wengine tusiweze kupona
huyu jamaa abadilishe avantar bhana aandike maji ya motokuwa mpole kama hujawahi kutongozwa humu
wewe na mimi tusubiri zamu yetu ya kutongozwa itafika
kwanini nibadilishe?huyu jamaa abadilishe avantar bhana aandike maji ya moto
duuuu ni hatari lakini salama
sio kila kitu mkuu,na mamlaka yakuandika nimepewa na mwenye mamlaka
ukiweka maji ya moto bhana ndo inaendana na mambo yako.kwanini nibadilishe?
Atakuwa wa mkoani huyu si bure dar hatuna mikato hiiMtoa mada ni mwanaume wa dar slam au mikoani? ?
nimeelewa ntaliweka kwenye uongoz wangu tulifanyie kaziukiweka maji ya moto bhana ndo inaendana na mambo yako.
jst a polite request so don't take it negative
Umeonyesha utoto kwa kuanika mambo ya chamber hapa, akiendelea kuwa nawe basi nae kiazi!!Tangu nilipo pitisha maamuzi ya nyeto kila siku,kuna mrembo ameniruhusu ata nikiomba ushauri JF kuwa hamna shida,amenitongoza na amenihakikishia atanipenda vizuri,tumebadishana namba za simu ameweza kunitumia picha zake kwa muonekano ni mzuri,je mahusiano yakianza kunaweza kua na upendo wa kweli?
tuliza povuAtakuwa wa mkoani huyu si bure dar hatuna mikato hii
hahahahaha ,umeombwa ushauri unakimbilia kuropoka ovyo ovyo,huo sio utoto tafakur vzuriUmeonyesha utoto kwa kuanika mambo ya chamber hapa, akiendelea kuwa nawe basi nae kiazi!!
ngoja wasukuma waje wenyewehuyu atakuwa msukuma tu na si vinginevyo maana ndio kabila la malimbukeni Tz
mbona nimesemasasa akakubamba na huu Uzi inakuwa
Hahahahahaswala hapa ni wewe kutongozwa? kua na upendo wa kwel au kuacha nyeto after kuwa na mahusiano bado sijaelewa unataka tujadili kip haswa?