Mwanadada wa JF kanitongoza

Mwanadada wa JF kanitongoza

angalia wasije wakawa wale majamaa wanaokimbizana na makonda kila siku
 
Tangu nilipo pitisha maamuzi ya nyeto kila siku,kuna mrembo ameniruhusu ata nikiomba ushauri JF kuwa hamna shida,amenitongoza na amenihakikishia atanipenda vizuri,tumebadlshana namb za simu ameweza kunitumia picha zake kwa muonekano ni mzuri,je mahusiano yakianza kunaweza kua na upendo wa kweli?
Bado hujajielewa wataka nini kwetu, kwake!
 
kuwa mpole kama hujawahi kutongozwa humu

wewe na mimi tusubiri zamu yetu ya kutongozwa itafika
HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA..... mkuu umenichekesha ile mbaya
 
kuwa mpole kama hujawahi kutongozwa humu

wewe na mimi tusubiri zamu yetu ya kutongozwa itafika

Ila wewe kuna mdada alisema anakuona uko amaizing, ukazingua mwenyewe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom