Mwanadada wa JF kanitongoza

Mwanadada wa JF kanitongoza

Ndo mana pm mnajibiwa vibaya.
Mana mkipewa majibu ya kuwafariji mnakuja kutangaza,mxscheeeew.
 
Tangu nilipo pitisha maamuzi ya nyeto kila siku, kuna mrembo ameniruhusu hata nikiomba ushauri JF kuwa hamna shida, amenitongoza na amenihakikishia atanipenda vizuri, tumebadishana namba za simu ameweza kunitumia picha zake kwa muonekano ni mzuri,

Je mahusiano yakianza kunaweza kuwa na upendo wa kweli?
Bahat hyo mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom