Mwanadada wa JF kanitongoza

Mwanadada wa JF kanitongoza

277585"]Yaani hueleweki. Mods futa hii thread[/QUOTE]
mbona unajaa povu mkuu? mbona wenzio wanaelewa
 
Yani siku zinavyozidi kwenda ndivyo watu wanavyozidi ishusha hadhi JF
 
Umesoma vizuri sheria za JF (terms and rules), plse revise the section na uache utoto.
 
Kwani tatizo lako nini hasa?
Alafu watu kame wewe ndio mnao turushia ndege wasinase huku jf, kisha hamchelewi kukipaka humu jf hata mnasababisha wengine tusiweze kupona
waharibifu sana wa jamaa tumbafu zao!!!
 
akiona umemsema humu jf yamekwisha. mwanaume gani anaanika siri PM hadharani???
mkuu pengine hujui saikolojia hawa viumbe. wao pia wanapenda kutongoza na wanajua na taarifa yako wakitongoza huwa hawakosi, kinachowazuia ni kuhofia kujulikana kwamba mwanamke flani kamtongoza mwanaume flani. kwao ni aibu. ni kama vile wanajishusha hadhi(so cheap).
umekosea kumsema, ushamiss papuchi mkuu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom