moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,174
- 3,005
- Thread starter
- #221
ukinifunza mema ntayafwata kama sio siwezShida vitoto vinapewa simu na kuanza kuingia mitandaoni, lakini kama hawajafunzwa na wazazi, walimwengu tutawafunza
ukinifunza mema ntayafwata kama sio siwezShida vitoto vinapewa simu na kuanza kuingia mitandaoni, lakini kama hawajafunzwa na wazazi, walimwengu tutawafunza
asante mkuuKama amekutongoza bc ujue amemaanisha kuwa anakupenda
Uyu jamaa na avatar yke wanaendana sanaMajibu yako huwa yanachekeshaga sana
Msaidie aisee, haswaaa anahitaji kusaidiwaWewe una matatizo umewahi kula maboga yanaitwa mamung'unya? Hiyo habari kuileta huku ni ungese tutumie namba yake Tuku saidie Hamna namna kama kick ushapata
post tu zinatosha kumjua mtu huyo ni wa namna gan, kwa hiyo ni kawaida tu kumpenda mtu hum JfHivi naanzaje kumpenda mwana jf wakati simjui kwa sura hata jina tu ni fake....asee watu mna mioyo ya ujasiri kweli
kwel ngosha huyo jamaa Mo 11 post zake zinaendana na avatar yake kabisaa, namuelewa sana huyu jamaaUyu jamaa na avatar yke wanaendana sana
tumetofautiana mkuuHivi naanzaje kumpenda mwana jf wakati simjui kwa sura hata jina tu ni fake....asee watu mna mioyo ya ujasiri kweli
akiona atajisikia vizuri mana kaniruhusuUswahili huo,sasa kwann uyalete hapa,je akion thread yako atajisikiaje?lol ndoman mimi mtu aki ni inbx napotezea maan tutakuja kudharirishan bure
fresh kiongoziPoa ni ww tu
waambie mkuu wataelewa tuAsa wengine mbona kama mna wivu !uku kuna pipo kama laki kadhaa ivi so kumjua uyo mtu n ishu !ndo maana yey haogop
picha hazina hapa,we toa ushauriweka picha zakr tumuone
Swali zuriUna uhakika ni mwanadada??
nimekumiss pia mkuuNimekumiss miss chaga wallah
Naogopa utanitangaza aisee, na hiyo avantar yako ukinitangaza huku ukinicheka itakuwa balaaaawewe hutaki kunitongoza sikutangazii wala nini ?
nakupendaje, nataka nianze kukutongoza aisee ial usinitangaze.nimeelewa ntaliweka kwenye uongoz wangu tulifanyie kazi