jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,584
unakimbilia wapi kuja huku
unakimbilia wapi kuja huku
mi sikutangazii kama tatizo avatar nitabadili kwa niaba yakoNaogopa utanitangaza aisee, na hiyo avantar yako ukinitangaza huku ukinicheka itakuwa balaaaa
Tangu nilipo pitisha maamuzi ya nyeto kila siku, kuna mrembo ameniruhusu hata nikiomba ushauri JF kuwa hamna shida, amenitongoza na amenihakikishia atanipenda vizuri, tumebadishana namba za simu ameweza kunitumia picha zake kwa muonekano ni mzuri,
Je mahusiano yakianza kunaweza kuwa na upendo wa kweli?
amenitongoza na tunawasilianaUsiseme kakutongoza! Sema mnawasiliana
haaaa utanitangaza nimekuchabo nikaonami sikutangazii kama tatizo avatar nitabadili kwa niaba yako
hivi kama unafanya kazi utakua na mchango kwel wewe.Acha kuwa bichwa gumuMsaidie aisee, haswaaa anahitaji kusaidiwa
basi nakutongoza mimi mi sijali kutangazwahaaaa utanitangaza nimekuchabo nikaona
sasa si ni wakati wetu kuwatongoz/ niachie mimi nianze bhana.basi nakutongoza mimi mi sijali kutangazwa
kama kuomba ushauri ni kutangaza basi sawa....hivi hukujiuliza ni kwann ameruhusu uje utangaze humu
au wew ndiye uliyetaka
Inabidi kukimbia tu comrade.unakimbilia wapi kuja huku
Huruma izingatiwesasa si ni wakati wetu kuwatongoz/ niachie mimi nianze bhana.
siku nikiona hutonitangaza
siku gani sasa au kuna kitu mpaka nibadilike ?sasa si ni wakati wetu kuwatongoz/ niachie mimi nianze bhana.
siku nikiona hutonitangaza
umeonaeeeee, lakini unatakiwa ukomaeeeInabidi kukimbia tu comrade.
Hawa wavulana yogoyogo sana kwenye mitima yao aiseeee....
Washa kipaka tayari, hata nikitongoza nitaambiwa (naogopa usin'tangazeeee)
mimi si ndo nitaanza? haraka ya nini nisubiri bhanasiku gani sasa au kuna kitu mpaka nibadilike ?
hakuna huruma hapa.Huruma izingatiwe
Yesu nimsubiri na wewe nikusubirimimi si ndo nitaanza? haraka ya nini nisubiri bhana
hapana bhana mimi nitamtangulia Yesu. Kiruuuu unafikiri nitakaa muda bila kwenda pm.Yesu nimsubiri na wewe nikusubiri
jamani mbona mimi ndio nina gundu
nitaanza kuchungulia chungulia usinichomeshe mahindi tafadhali sina wa kumuuziahapana bhana mimi nitamtangulia Yesu. Kiruuuu unafikiri nitakaa muda bila kwenda pm.
uwe unachungulia chungulia kule
hahahahahaha utaniuzia mimi mimi wala usijali.nitaanza kuchungulia chungulia usinichomeshe mahindi tafadhali sina wa kumuuzia