basi itakuwa akili zenu zinafanana,kila kheri na mengine yatakayo fata usisite kutuletea mrejeshoakiona atajisikia vizuri mana kaniruhusu
jamanii hili halitatokeahahahahahaha utaniuzia mimi mimi wala usijali.
hata ucjali nakuja ngoja nikale kwanza ili ukinitolea nje nisianguke chini
hatari kweli hii sasa akiwa kwenye mahusiano Italiaje??na kwel kaipata wachangiaj 129 and still counting
sasa hapa umeandika huu uzi kwa 7bu gankiki ya nini mimi?Sihtaji kiki
"atakupenda vizuri" maana yake nini? Halafu mbona kama we mwenyewe ulikubali tu kwa urahisi? maana demu anapokataakataa ukabembeleza akaingia king ndo kutongoza. sasa wewe hujasema kama ulimbishia hata kidogo.Tangu nilipo pitisha maamuzi ya nyeto kila siku, kuna mrembo ameniruhusu hata nikiomba ushauri JF kuwa hamna shida, amenitongoza na amenihakikishia atanipenda vizuri, tumebadishana namba za simu ameweza kunitumia picha zake kwa muonekano ni mzuri,
Je mahusiano yakianza kunaweza kuwa na upendo wa kweli?
kwani dhumuni hujaliona hapo?Rudia kusomasasa hapa umeandika huu uzi kwa 7bu gan
kubisha bisha au kukataa kidogo sio maana ya kutongoza,rudi kwenye kamusi haraka iwezekanavyo"atakupenda vizuri" maana yake nini? Halafu mbona kama we mwenyewe ulikubali tu kwa urahisi? maana demu anapokataakataa ukabembeleza akaingia king ndo kutongoza. sasa wewe hujasema kama ulimbishia hata kidogo.
niko makini kila hatua ninayopigaAngalia usijekutana na Jana mume siku ya appointment,mana wanajua wapiga nyeto huishia kupoteza nguvu za uanamume na kuanza kupigwa.
Maana hamna namna,asiepiga Na apigwe tu!!
Kama ni kweli hii kitu haujaitunga tu basi ujue na yeye atakuwa amekushauri kenye hizi comments .Tangu nilipo pitisha maamuzi ya nyeto kila siku, kuna mrembo ameniruhusu hata nikiomba ushauri JF kuwa hamna shida, amenitongoza na amenihakikishia atanipenda vizuri, tumebadishana namba za simu ameweza kunitumia picha zake kwa muonekano ni mzuri,
Je mahusiano yakianza kunaweza kuwa na upendo wa kweli?
naufaham afu ninao mkuu au labda katoa remix?Mkuu nitumie number yako ya WhatsApp nikutumie wimbo wa Songa unaoitwa "PICHA"
Poa mkuuHakuna kitu kama hichi.muonane kwanza ndo mtajua kama mtapendana au la
hii haijatungwa, yeye ni observer tuKama ni kweli hii kitu haujaitunga tu basi ujue na yeye atakuwa amekushauri kenye hizi comments .
Basi azisome vzr tu comments as wadau na Yule mdada atakuwa amesema dhamira yake.hii haijatungwa, yeye ni observer tu
Zamu yako bado sheh!Aisee mbna mie hawanitongozi hawa madada wa jf?
good good. nakuja baadae jion.jamanii hili halitatokea