Mwanadada wa JF kanitongoza

Mwanadada wa JF kanitongoza

Upo ila unatakiwa uwe unasimamia kucha kila mkienda kule kwenye mambo yenu. Ninachokusihi, usije ukajaribu kukumbuka mapicha kama wakati ukiwa kwenye chama chetu......
Nasikitika mwanachama mwenzetu unatukimbia
nimekuelewa mkuu ila bdo cjaaga
 
Tangu nilipo pitisha maamuzi ya nyeto kila siku, kuna mrembo ameniruhusu hata nikiomba ushauri JF kuwa hamna shida, amenitongoza na amenihakikishia atanipenda vizuri, tumebadishana namba za simu ameweza kunitumia picha zake kwa muonekano ni mzuri,

Je mahusiano yakianza kunaweza kuwa na upendo wa kweli?
Mtu amekupenda kwa roho safi,wewe unakuja kumtangaza humu jukwaani,nafikiri wewe ni mgeni wa mambo ya wanawake au vipi?,ndio maana mpaka sasa unapiga punyeto,.,.,.,.,.,.marabuku.
 
Wewe una matatizo umewahi kula maboga yanaitwa mamung'unya? Hiyo habari kuileta huku ni ungese tutumie namba yake Tuku saidie Hamna namna kama kick ushapata
 
Tangu nilipo pitisha maamuzi ya nyeto kila siku, kuna mrembo ameniruhusu hata nikiomba ushauri JF kuwa hamna shida, amenitongoza na amenihakikishia atanipenda vizuri, tumebadishana namba za simu ameweza kunitumia picha zake kwa muonekano ni mzuri,

Je mahusiano yakianza kunaweza kuwa na upendo wa kweli?
Basi utakuwa nao wawili: nyeto na yeye.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom