Ramtz Jr
JF-Expert Member
- Jun 18, 2026
- 264
- 520
Hv ndivyo nilivyojua na kujiunga JF mwaka 2023 Nilipata idea ya ku GOOGLE hadithi vichekesho n.k sasa kila nikigoogle hadithi kwenye google kuna kuja blog mbalimbali ila kila nikisoma hadithi hua zinaishia njiani nikaacha kusoma hadithi tena mwishoni 2023
Nikaamua tena ni google hadithi za kutisha n.k nikaona wananiletea JamiiForums nikawa nasoma hadithi humu lakini mwisho wa hadithi ikiandika itaendelea inaendela halafu mwisho kabisa kuna NEXT ukibonyeza unakuta page ifuatayo hadithi inaendelea NIKAONA WATU wana comment n.k nikajiuliza hv unaweza kujiunga humu?
Mwaka 2024 Nikafosi kujiunga ikakataa mana natumia kitoch hata e-mail sijui ni nini mwaka jana nikafosi ku Register ikakataa mana sijui email wala kutumia mtandao mwaka leo nikajaribu imo japo nilisumbuka sana nilipata furaha sana hapa mtaani ni mm tu naetumia jf wengine hawaijui......!
WEWE ULIIFAHAMU VP?
Nikaamua tena ni google hadithi za kutisha n.k nikaona wananiletea JamiiForums nikawa nasoma hadithi humu lakini mwisho wa hadithi ikiandika itaendelea inaendela halafu mwisho kabisa kuna NEXT ukibonyeza unakuta page ifuatayo hadithi inaendelea NIKAONA WATU wana comment n.k nikajiuliza hv unaweza kujiunga humu?
Mwaka 2024 Nikafosi kujiunga ikakataa mana natumia kitoch hata e-mail sijui ni nini mwaka jana nikafosi ku Register ikakataa mana sijui email wala kutumia mtandao mwaka leo nikajaribu imo japo nilisumbuka sana nilipata furaha sana hapa mtaani ni mm tu naetumia jf wengine hawaijui......!
WEWE ULIIFAHAMU VP?