Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,770
- 59,114
Zamu yangu narudi na chips take away Lizzy. kupika nilifeli hili somo wallahi natafuta mwalimu anisaidie japo chai tu. lol
Hahahaha we mbaya kweli. Yani mwenzio anapika we unamlisha chips tu? Not fair!