nipo nyumbani tu sina pa kwenda <br />
kama kuna mtu yupo lonely ani PM nipo hapa dar nitamfuata kiwanja <br />
napendelea savannah au callfonia..drinks nyama choma <br />
hhahaha
<br />
<br />
Nimefika home nimemaliza kula nasubiria papai ila afa yako nadhani naweza kughairi kula matunda nianze kumtafuta MJ one na LD nikajibembeleze maana Tf. Leo kashikiliwa mahali na Caroline Danz leo ndiyo amekamilisha lile deti lake.
<br /><br />
<br /><br />
habari za moro mkuu!usinikumbushe hicho kiwanja,nilimfumania dem wangu na mhadhiri wake wa mzumbe..ila sehemu nzuri sana ya kistarabu