Malaika na wampokee mwenzetu uko mbinguni ,akapate kupumnzika kwa amani ,Amina
Pole sana mme uliyefiwa, Familia yote iliyokuwa karibu na marehemu ,pamoja na wanachama wote wa Jf,tulimpenda mwenzetu ila mungu kampenda zaidi na tuendelee kumuombea na kuiombea Familia yake katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.