Mwana FA anapitia wakati mgumu

Mwana FA anapitia wakati mgumu

loose Nut

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2025
Posts
2,180
Reaction score
4,870
Jana kazomewa. Huko wizarani ni kama yatima. Bashite na Gerson wana enjoy. Wamemtenga jamaa jikoni kwenye mafuta.

Hata safari ya Paris na kombe la dunia jamaa wamembania.

Wakati wa mwenye kifua kipana mwana FA alienjoy sana na kupiga hela ndefu.

Sasa hivi yuko mkiwa na kama yatima.

Source: Umbea mitandaoni

adriz de mbusii
 
Alileta siasa kwenye burudani iliyolipiwa na watu!... hayo alitakiwa ayafanye kwenye Tamasha zao za bure za wanafunzi, sio matamasha ya watu wenye akili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom