Mwalimu

Mwalimu

Elia

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2009
Posts
3,425
Reaction score
569
Quote: "Mwalimu haya ni maisha yangu... nimejitahidi kusoma kadiri ya uwezo wangu lakini siwezi kujiamini asilimia 100% kwa somo lako na mtihani ni jumatatu nitahitaji msaada wako kwa namna yeyote nihakikishie then tutamalizana i mean nitakupa i promise"
 
Quote: "Mwalimu haya ni maisha yangu... nimejitahidi kusoma kadiri ya uwezo wangu lakini siwezi kujiamini asilimia 100% kwa somo lako na mtihani ni jumatatu nitahitaji msaada wako kwa namna yeyote nihakikishie then tutamalizana i mean nitakupa i promise"
Sijaelewa. Atampa nini?
 
Hao ndo wasomi wetu... kumbe wakati mwingine tunawalaumu bure hawa lecturers, mabint nao wanawashawishi wakati mwingine
 
Mpe lesson siku nyingine ajifunze!Hicho anachotaka kukupa chukua halafu maksi za bure humpi.FULL STOP!
 
Hao ndo wasomi wetu... kumbe wakati mwingine tunawalaumu bure hawa lecturers, mabint nao wanawashawishi wakati mwingine

Huyo ni part time lecturer, and he is young and a lady is cute......
 
Sasa ndo naanza kuelewa kwa nini mabinti wengi vyuoni hawasomi lakini ikija mitihani wanapasua kama kawa
 
Back
Top Bottom