Binti unaumwa kifaduro cha vidole?
Mbona unaandika kama unakimbizwa vile...
Hongera kwa kucheka na kufurahi...Ahhaaaahhaaaahhhhaaaaa , Uwiii ahhaaaaaa.. Dear ninachekaje hapa .. aahhaaaaaaaaahhaaaaa.. Yaani full Happy ... Asante kwa kunichekesha .. Kweli here JF never boring .. aaaahhaaahhha. Thanks..
Vipi!..ulishaacha kukojoa mkojo wamoto?.
Hongera kwa kucheka na kufurahi...
Hawa wnafunzi wanatabuu kwelii sijui shuleee itafunguliwa lini.???
Hebu msaidieni na hukuu
Huwa unafanya nini shule zikifungwa
mwalim angu wa kemia antaka. ameniambia atanioa km nkikubal. memkatalia aktaka kunbaka oficn. nkakimbia. naogopa kumwambia maa. mkal xna cna urafk nae kabsa. mwalim amensngzia kosa. nmepewa barua nmwite mzaz. mpk xaxa cjampa maa. najua nki mpa akienda xul itakua bala. mana na yy atankandia xana kwa walim na wanafunz wenzangu. wakat m cna makosa. nfanye nn
Huyu si anayetaka kutolewa bikira Huyu!
Mwanafunzi angalie kwenye mtihani usije ukaandika hayo maneno xna, xul na cna, sijui ni lugha gani hiyo.
Utafeli halafu utalalamika walimu hawafundishi.
Huyo mwalimu wako wa kemia kamshtaki kwa mwalimu mkuu.
asante kwa walionshaul. km una ushaul kwan lazma ukoment
mwalim angu wa kemia antaka. ameniambia atanioa km nkikubal. memkatalia aktaka kunbaka oficn. nkakimbia. naogopa kumwambia maa. mkal xna cna urafk nae kabsa. mwalim amensngzia kosa. nmepewa barua nmwite mzaz. mpk xaxa cjampa maa. najua nki mpa akienda xul itakua bala. mana na yy atankandia xana kwa walim na wanafunz wenzangu. wakat m cna makosa. nfanye nn