ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,956
- 7,002
Last edited by a moderator:
khaah kumbe ndo huyu ..... !!! poor me..Hivi kwanini wanaolewa hawana shepu wala sura. Mfano rafiki zangu sio wazuri wala nini lakini wanaolewa. Mimi nina shepu na sura nawashinda wote lakini mbona siolewi na sidumu na wanamme.
Wengne wasema nimelogwa eti inaweza kua kweli jamani.
Msada tafadhali.
Thanx for your advice.
Binti unaumwa kifaduro cha vidole?
Mbona unaandika kama unakimbizwa vile...
asante kwa walionshaul. km una ushaul kwan lazma ukoment
Ndo zao la CCM hilo
CC:Mkuu Tyta
Msaada Wa Kuleta Thread Zake Huyu Mtu Tangu Ajiunge Jf Ili Aumbuke Vizuri.
ivi mna nn. km auna ushaul sio lazm ukoment.