Magufuli bure kabisa
Rais anawatumikia waliompigia kura siyo Manyumbu ya Jf, Fb na Whatsapp. Wanyonge ndo wanajua anachokifanya.
Magufuli bure kabisa
vumilia tu, goli linalochelewa ndilo tamu, utafikishwa tu unakotaka mama.
Ni shiida.Hahahaa, mbona kazi.
hapa jf ukitoa quiz ya kifalsafa ya logic wengi watakula zero .Kwanza wana jf haasomi mada wanasoma neno au sentens moja kisha jazba hapo wamesoma magufuli bure kabisa msingi wa mada hakusoma
Msingi wake nini, tuambie unayejua.hapa jf ukitoa quiz ya kifalsafa ya logic wengi watakula zero .Kwanza wana jf haasomi mada wanasoma neno au sentens moja kisha jazba hapo wamesoma magufuli bure kabisa msingi wa mada hakusoma
Nimekutana na mwalimu wangu, mtu mzee kiasi kwani kanifundisha sekondari. Kasema oho, unaona Magufuli anayofanya? Nikamuuliza anafanya nini, akanijibu kazuia safari za nje, kakamata wezi bandari, katimua TRA, nk. Nikasema BURE KABISA. Mwalimu akanishangaa, akaniuliza we ya Magufuli huyaoni? Nikasema nayaona, lakini bure kabisa. Akasema we ulikuwa mwanafunzi mbishi tokea zama zile. Nikamuuliza kwani unafanya kazi gani siku hizi? akasema, bado mwalimu. Nikamuuliza umewahi kumsifia mwanafunzi wako yoyote, achilia mimi niliyekuwa naongoza na bado hukunisifia. Akasema, ningekusifia ungevimba kichwa. Nikamuuliza, sasa mbona unamsifia Magufuli? Aha, akajibu. Sasa nimekupata mwanafunzi wangu. Magufuli bure kabisa.
Unasemaje na wewe. Maana hadi sasa tumeona pasi na chenga nyiiiingi. Je, kuna goli? Magufuli bure kabisa. Unamuunga mkono mwalimu wangu?
hapa jf ukitoa quiz ya kifalsafa ya logic wengi watakula zero .Kwanza wana jf haasomi mada wanasoma neno au sentens moja kisha jazba hapo wamesoma magufuli bure kabisa msingi wa mada hakusoma
Mwalimu wako hajasema "Ubure"wa JPM ni upi?! Its a vague statement, hakuna mjadala hapo, matter closed, hatuna muda mchafu tuko busy "tunatumbua majipu"
Wa bongo bhna mengine Kama hamjui muwe mnasema hamjui kujifanya mnajua kila kitu mtaumbuka
Kila mmoja anasema fumbo fumbo mbona hamna hata mmoja alie toa Maana yoyote.......Mimi sioni Kama kuna Ufumbo wowote zaidi ya upuuzi tupu
Au mnataka kusema neno BURE KABISA ndo fumbo?? Basi kila mtu anacho ongea kitakuwa Fumbo!
Mda mwingine muwe mnafikiria sio kila kitu mtu akishindwa kukielezea ni Fumbo! Hu ni upuzi
Kama mleta mada ni mkubwa kiumri na kamfundisha Magufuli Basi sawa!
Huko darasani ulikuwa unaongoza kwenye kefanya nn?
Haya ndiyo madhara ya kuvutia bangi chooni pole kijana.Nimekutana na mwalimu wangu, mtu mzee kiasi kwani kanifundisha sekondari. Kasema oho, unaona Magufuli anayofanya? Nikamuuliza anafanya nini, akanijibu kazuia safari za nje, kakamata wezi bandari, katimua TRA, nk. Nikasema BURE KABISA. Mwalimu akanishangaa, akaniuliza we ya Magufuli huyaoni? Nikasema nayaona, lakini bure kabisa. Akasema we ulikuwa mwanafunzi mbishi tokea zama zile. Nikamuuliza kwani unafanya kazi gani siku hizi? akasema, bado mwalimu. Nikamuuliza umewahi kumsifia mwanafunzi wako yoyote, achilia mimi niliyekuwa naongoza na bado hukunisifia. Akasema, ningekusifia ungevimba kichwa. Nikamuuliza, sasa mbona unamsifia Magufuli? Aha, akajibu. Sasa nimekupata mwanafunzi wangu. Magufuli bure kabisa.
Unasemaje na wewe. Maana hadi sasa tumeona pasi na chenga nyiiiingi. Je, kuna goli? Magufuli bure kabisa. Unamuunga mkono mwalimu wangu?
Team Lowasa mnashida sana mwaka huu mnapigwa kotekote pole jizi lenu siku hizi limefunga mdomo nayo mahakama ya mafisadi inakuja.Ukitaka kujua magamba mengi ni vilaza utaona michango yao kwenye huu uzi,inahitaji uelewa wa hali ya juu kukuelewa mtoa uzi
Nimekutana na mwalimu wangu, mtu mzee kiasi kwani kanifundisha sekondari. Kasema oho, unaona Magufuli anayofanya? Nikamuuliza anafanya nini, akanijibu kazuia safari za nje, kakamata wezi bandari, katimua TRA, nk. Nikasema BURE KABISA. Mwalimu akanishangaa, akaniuliza we ya Magufuli huyaoni? Nikasema nayaona, lakini bure kabisa. Akasema we ulikuwa mwanafunzi mbishi tokea zama zile. Nikamuuliza kwani unafanya kazi gani siku hizi? akasema, bado mwalimu. Nikamuuliza umewahi kumsifia mwanafunzi wako yoyote, achilia mimi niliyekuwa naongoza na bado hukunisifia. Akasema, ningekusifia ungevimba kichwa. Nikamuuliza, sasa mbona unamsifia Magufuli? Aha, akajibu. Sasa nimekupata mwanafunzi wangu. Magufuli bure kabisa.
Unasemaje na wewe. Maana hadi sasa tumeona pasi na chenga nyiiiingi. Je, kuna goli? Magufuli bure kabisa. Unamuunga mkono mwalimu wangu?
Yaani kwa mwezi anekusanya 1.3 billion na hajasafiri na ujumbe wa watu 50 kwenda kubembea Ulaya? Bure kabisa huyo Magufuli.