Mwalimu wangu kasema Magufuli bure kabisa

Mwalimu wangu kasema Magufuli bure kabisa

kwa kweli magufuli hajui kutumbua hela za serikali na kula raha. Alitakiwa sasa hv awe amefanya safari kama ishirini hv nje ya nchi na ujumbe wa watu kama mia mbili kuomba hela wahisani.

Hataki watu wapitishe makotena bure bandarini? Huyu sijui vip? Anategemea watumishi na maboss serikalini wataendeshaje ma vogue?

Huyu ni bure kabisa,,,
 
Mbona tangu zamani najua ni bure haswaaaaaa! Wewe unaishi wap kujua leo?
 
Siyo kila jambo linaweza kuigwa. Huu uandishi wa kuiga wakati hata kuiga kwenyewe hiwezi ni BURE KABISA.
 
Mpaka mtu wa fasihi ndo ataelewa huyu bwana ameandika nini. Wengine watakuja kutukana hapa, kuongea uharo, kuleta u CCM na ujinga mwingii. Lakini kumbe hawajaelelewa jamaa ana maanisha nini
Ndo unamkingia kifua ssa na uharo wake aliouandika? Haya Uccm, wewe una unini?
 
Wa bongo bhna mengine Kama hamjui muwe mnasema hamjui kujifanya mnajua kila kitu mtaumbuka

Kila mmoja anasema fumbo fumbo mbona hamna hata mmoja alie toa Maana yoyote.......Mimi sioni Kama kuna Ufumbo wowote zaidi ya upuuzi tupu

Au mnataka kusema neno BURE KABISA ndo fumbo?? Basi kila mtu anacho ongea kitakuwa Fumbo!

Mda mwingine muwe mnafikiria sio kila kitu mtu akishindwa kukielezea ni Fumbo! Hu ni upuzi

Kama mleta mada ni mkubwa kiumri na kamfundisha Magufuli Basi sawa!
 
mtoa maada umeeleweka

we have missed these kind of posts

inafikirisha
 
Nakumbuka maneno ya Prof. Kitila Mkumbo. Wapinzani msipobadilika na kutegemea CCM waharibu, basi kwa utawala wa JPM mnaweza kupotea, sasa naona mnaanza kutapatapa
 
Back
Top Bottom