MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

kama kichwa kinavyojieleza, naomba kwa yule anaye ifahamu wilaya ya Nachingwea mkoa wa Lindi anijuze kwani nimepata kazi ya kufundisha huko.
Karibu xana nachingwea ndugu yangu,mimi ni mzaliwa na mkazi wa pale ila xaxa nipo mtwara /saut ,kama hutojali nicheki kwa 0653165750 kwa msaada wowote ikiwemo watu wa kukupokea stendi
 
Karibu xana nachingwea ndugu yangu,mimi ni mzaliwa na mkazi wa pale ila xaxa nipo mtwara /saut ,kama hutojali nicheki kwa 0653165750 kwa msaada wowote ikiwemo watu wa kukupokea stendi

Nitakucheki mida, ninapenda pia kujua upatikanaji wa huduma za kijamii umekaaje pale.
 
karibu moshi dc mdau mi mwenyew nko moshi dc but cjajuta kupangwa hapa aisee report kwanza endapo hutapapenda pale halmashauri kuna matangazo kibaooooo watu wanaomba badilishana utapata wengi tena lindi mtwara waje moshi. loooo


Mkuu unawewza ni-pm namba yako ili nikutafute kwa ajili ya mambo ya hapa na pale..
 
Mkuu unawewza ni-pm namba yako ili nikutafute kwa ajili ya mambo ya hapa na pale..



usijali ndugu we ukiwa na shida ni pm tu haina haja ya namba.
maeneo mengi ya moshi dc ambayo ndo inaitwa vijijin ni maeneo condusive sana utakuta barabara, umeme maji ni shida kidogo maeneo ya ukanda wa chini namaanisha ukiwa unatoka dar mkono wa kushoto ndo pabaya kidogo. ila maeneo kama marangu, kibosho, uru, old moshi , himo, njiapanda, waweza ishi mkuu na ndizi kibao. hamna eneo ambalo halina usafir/ kabisa .

watu wa huku nmependa ni wajanja watakufanya uchangamke sio kuzubaa hovyo hela utaitafuta tu. ukitaka kwenda masomoni baada ya miaka miwili unaenda.

mf. mi nlianza kazi 2012 mwaka jana nmepata ruhusa . ni wilaya ambayo ina waalimu walosoma sana na wengi kuliko wilaya zote kilimanjaro utashangaa kwa mwaka watu wanaoomba wakasome masters ni wengi waalimu wengi from primary wana degree sekondari masters kibao lazima akili itacharge faster karibu
 
Napenda kuwapongeza kwa bahati mliyonayo kupata wilaya nzuri.Napenda kuwatoa hofu maisha ya kahama hasa hasa tc shule zote za sekondari zipo karibu na mjini iliyopo mbali kabisa ni maili tisa ambayo ni Bukamba sec na barabara inapitika majira yote na ipo mita 200 kutoka barabara kuu ya kwenda tabora.Kwa mwenye duku duku au swali kuhusu shule na mji wa kahama aniulize
 
Jamani wale waliopangwa arusha dc tukutane hapa, tujue namna ya kufahamiana itakuwa poa,,
 
Jamani wale waliopangwa arusha dc tukutane hapa, tujue namna ya kufahamiana itakuwa poa,,

yaani bado mnaakili za kiuwanafunzi, sasa mnataka mfaamiane iliiweje?

kule unaenda kuanza maisha yako mwenyewe mkuu, amka kutoka usingizini! mambo ya kufaamiana achana nayo kabisa! anza kuwaza unaenda kuanzaje hayo maisha huko!

ukiende na hiyo akili ya kufaamiana machalii wa arusha watakuniaje!
 
yaani bado mnaakili za kiuwanafunzi, sasa mnataka mfaamiane iliiweje?

kule unaenda kuanza maisha yako mwenyewe mkuu, amka kutoka usingizini! mambo ya kufaamiana achana nayo kabisa! anza kuwaza unaenda kuanzaje hayo maisha huko!

ukiende na hiyo akili ya kufaamiana machalii wa arusha watakuniaje!

Acha izo jembe ....sis ndo machalii wa chuga .... ...... kwanza karibuni chuga machalii acheni kudanganywa na watu chuga is best place in Tz ata mm first time na drop chuga watu walinitisha ivo ivo ila kufika mambo yakawa tofauti tena sana .......ila ukiwa chuga usizoee kila mtu ???????
 
Selina Kombani sec ndio nimepangwa hapo cjui hio shule ipo karibu na wilayani Ulanga?

iko mbal na wilayani kuna vilima kama 2 cha kwanza unakutana na ndororo cha pil mbangayao ukifka fanya mishe zako hapa wilayani ukienda nenda mazima!
 
Back
Top Bottom