Rabbi Faz Chover
Member
- Dec 25, 2013
- 59
- 2
usijali ndugu we ukiwa na shida ni pm tu haina haja ya namba.
maeneo mengi ya moshi dc ambayo ndo inaitwa vijijin ni maeneo condusive sana utakuta barabara, umeme maji ni shida kidogo maeneo ya ukanda wa chini namaanisha ukiwa unatoka dar mkono wa kushoto ndo pabaya kidogo. ila maeneo kama marangu, kibosho, uru, old moshi , himo, njiapanda, waweza ishi mkuu na ndizi kibao. hamna eneo ambalo halina usafir/ kabisa .
watu wa huku nmependa ni wajanja watakufanya uchangamke sio kuzubaa hovyo hela utaitafuta tu. ukitaka kwenda masomoni baada ya miaka miwili unaenda.
mf. mi nlianza kazi 2012 mwaka jana nmepata ruhusa . ni wilaya ambayo ina waalimu walosoma sana na wengi kuliko wilaya zote kilimanjaro utashangaa kwa mwaka watu wanaoomba wakasome masters ni wengi waalimu wengi from primary wana degree sekondari masters kibao lazima akili itacharge faster karibu
Much love,mkuu..