Je, Programu ya Elimu Bure imefutwa na Serikali kimyakimya?

monde arabe

JF-Expert Member
Oct 22, 2017
8,490
13,022
Habar za muda huu ndugu wanajamii

Sote tunafahamu ya kwamba Kuna chama kilijinadi kuwa kitatoa elimu Bure kuanzia elimu ya Msingi Hadi Sekondari kwenye campeni za uchaguzi wa mwaka 2015 na 2020.

Baada ya hapo Kuna fedha zilianza kutolewa kwenye Shule za Msingi na na Sekondari kwa kuzingatia wingi/idadi ya wanafunzi kwenye kila Shule.Fedha hizi zilizingatia vipengele muhimu vitano kwenye matumizi ambavyo ni;

I. Utawala (10%)
II. Vifaa vya kufundishia na kujifunzia (30%)
III. Mitihani (20%)
IV. Ukarabati (30%)
V. Michezo (10%)

Fedha hizi japo zilikuwa zinatoka kila mwezi lkn,hazikuweza kukidhi mahitaji kwa kila kituo kutokana na uhitaji mkubwa kwenye kila kifungu mfano,fedha za michezo zilipaswa kununua vifaa vya michezo pamoja na kuendeshea mashindano ya Umtashumta;

Kwa kifupi ni kwamba kila kifungu hakikuweza kujitosheleza...kituo X mwaka huu (2023) kiliapswa kuendeshea mashindano ya Umtashumta kwa kutumia Shilingi 1,520,000/= (Million Moja laki Tano na Ishirini Elfu) lkn,fedha iliyokuwepo kwenye kifungu Cha michezo ni chino ya laki Tisa za Kitanzania kwa mwaka mzima.

Lengo la kuandika Uzi huu ni kutaka kuwafahamisha michache viongozi wa vyama na Serikali pamoja na Watanzania wote wanaosoma Jamii Forum.Fedha hizi za elimu bure hazijatolewa na Serikali kwa zaidi ya miezi miwili Sasa ambazo ni fedha za mwezi Octoba na Novemba hali hii imepelekea Walimu Wakuu na Wakuu wa shule kuingia kwenye madeni kwa sababu Walimu wamelazimika kuendesha shughuli zote za shule ikiwemo Mitihani ya mwisho wa mwaka kwa kutumia mishahara Yao pamoja na kukopa kwa watu mitaani.

Wito wangu kwa Serikali,kama mmeshindwa kugharamia elimu kwa utaratibu wenu wa elimu bure toeni taarifa kwa umma wa Watanzania;kuwabebesha Walimu madeni siyo jambo zuri hata kidogo pia,mnawasababishia Walimu msongo wa mawazo kwa kuwabebesha majukumu yasiyo wahusu

Pamoja na yote hayo viongozi mjifunze kuwaheshimu walimu hata kama wapo chini yenu kutokana na umasikini wao.Siku chache zilizopita palikuwepo na zoezi la unyweshaji wa dawa za kichocho kwa wanafunzi (Prazquantel na Albendazole) kwenye kila shule mwalimu wa afya na mwalimu Mkuu walihudhuria seminar ya mafunzo ya namna ya kugawa dawa lakini, hakuna hata mmoja aliyelipwa fedha za seminar hadi hivi Sasa na hata fedha za unyweshaji dawa za minyoo na kichocho na zenyewe bado hazijatoka mpaka hivi Sasa.

Pia, kuna seminar ya mafunzo ya ESS, PEPMIS na PIPMIS ambalo limeanza kufanyika kwenye Wilaya ninayofanyia kazi tangu muda kidogo lakini, hakuna mwlm hata mmoja ambaye amelipwa hata mia ya nauli zaidi ya kununuliwa chakula mbaya zaidi kuna Walimu wanatoka interior/remoteness areas hakuna mtu anayejali wamesafiri vipi kutoka huko kwenye vituo vyao na watarudi vipi tena kwenye vituo vyao.

Enyi Serikali mbona mmeufanya ualimu kuwa ni kazi ya watu wenye laana na waliokosa jambo la kufanya?
 
Habar za muda huu ndugu wanajamii

Sote tunafahamu ya kwamba Kuna chama kilijinadi kuwa kitatoa elimu Bure kuanzia elimu ya Msingi Hadi Sekondari kwenye campeni za uchaguzi wa mwaka 2015 na 2020.

Baada ya hapo Kuna fedha zilianza kutolewa kwenye Shule za Msingi na na Sekondari kwa kuzingatia wingi/idadi ya wanafunzi kwenye kila Shule.Fedha hizi zilizingatia vipengele muhimu vitano kwenye matumizi ambavyo ni;

I. Utawala (10%)
II. Vifaa vya kufundishia na kujifunzia (30%)
III. Mitihani (20%)
IV. Ukarabati (30%)
V. Michezo (10%)

Fedha hizi japo zilikuwa zinatoka kila mwezi lkn,hazikuweza kukidhi mahitaji kwa kila kituo kutokana na uhitaji mkubwa kwenye kila kifungu mfano,fedha za michezo zilipaswa kununua vifaa vya michezo pamoja na kuendeshea mashindano ya Umtashumta;

Kwa kifupi ni kwamba kila kifungu hakikuweza kujitosheleza...kituo X mwaka huu (2023) kiliapswa kuendeshea mashindano ya Umtashumta kwa kutumia Shilingi 1,520,000/= (Million Moja laki Tano na Ishirini Elfu) lkn,fedha iliyokuwepo kwenye kifungu Cha michezo ni chino ya laki Tisa za Kitanzania kwa mwaka mzima.

Lengo la kuandika Uzi huu ni kutaka kuwafahamisha michache viongozi wa vyama na Serikali pamoja na Watanzania wote wanaosoma Jamii Forum.Fedha hizi za elimu bure hazijatolewa na Serikali kwa zaidi ya miezi miwili Sasa ambazo ni fedha za mwezi Octoba na Novemba hali hii imepelekea Walimu Wakuu na Wakuu wa shule kuingia kwenye madeni kwa sababu Walimu wamelazimika kuendesha shughuli zote za shule ikiwemo Mitihani ya mwisho wa mwaka kwa kutumia mishahara Yao pamoja na kukopa kwa watu mitaani.

Wito wangu kwa Serikali,kama mmeshindwa kugharamia elimu kwa utaratibu wenu wa elimu bure toeni taarifa kwa umma wa Watanzania;kuwabebesha Walimu madeni siyo jambo zuri hata kidogo pia,mnawasababishia Walimu msongo wa mawazo kwa kuwabebesha majukumu yasiyo wahusu

Pamoja na yote hayo viongozi mjifunze kuwaheshimu walimu hata kama wapo chini yenu kutokana na umasikini wao.Siku chache zilizopita palikuwepo na zoezi la unyweshaji wa dawa za kichocho kwa wanafunzi (Prazquantel na Albendazole) kwenye kila shule mwalimu wa afya na mwalimu Mkuu walihudhuria seminar ya mafunzo ya namna ya kugawa dawa lakini, hakuna hata mmoja aliyelipwa fedha za seminar hadi hivi Sasa na hata fedha za unyweshaji dawa za minyoo na kichocho na zenyewe bado hazijatoka mpaka hivi Sasa.

Pia, kuna seminar ya mafunzo ya ESS, PEPMIS na PIPMIS ambalo limeanza kufanyika kwenye Wilaya ninayofanyia kazi tangu muda kidogo lakini, hakuna mwlm hata mmoja ambaye amelipwa hata mia ya nauli zaidi ya kununuliwa chakula mbaya zaidi kuna Walimu wanatoka interior/remoteness areas hakuna mtu anayejali wamesafiri vipi kutoka huko kwenye vituo vyao na watarudi vipi tena kwenye vituo vyao.

Enyi Serikali mbona mmeufanya ualimu kuwa ni kazi ya watu wenye laana na waliokosa jambo la kufanya?
Hapo imefutwaje? Serikali haijatoa pesa Kwa kukosa pesa au Kwa kubadili matumizi but zitakuja mwezi huu huu mwishoni
 
Habar za muda huu ndugu wanajamii

Sote tunafahamu ya kwamba Kuna chama kilijinadi kuwa kitatoa elimu Bure kuanzia elimu ya Msingi Hadi Sekondari kwenye campeni za uchaguzi wa mwaka 2015 na 2020.

Baada ya hapo Kuna fedha zilianza kutolewa kwenye Shule za Msingi na na Sekondari kwa kuzingatia wingi/idadi ya wanafunzi kwenye kila Shule.Fedha hizi zilizingatia vipengele muhimu vitano kwenye matumizi ambavyo ni;

I. Utawala (10%)
II. Vifaa vya kufundishia na kujifunzia (30%)
III. Mitihani (20%)
IV. Ukarabati (30%)
V. Michezo (10%)

Fedha hizi japo zilikuwa zinatoka kila mwezi lkn,hazikuweza kukidhi mahitaji kwa kila kituo kutokana na uhitaji mkubwa kwenye kila kifungu mfano,fedha za michezo zilipaswa kununua vifaa vya michezo pamoja na kuendeshea mashindano ya Umtashumta;

Kwa kifupi ni kwamba kila kifungu hakikuweza kujitosheleza...kituo X mwaka huu (2023) kiliapswa kuendeshea mashindano ya Umtashumta kwa kutumia Shilingi 1,520,000/= (Million Moja laki Tano na Ishirini Elfu) lkn,fedha iliyokuwepo kwenye kifungu Cha michezo ni chino ya laki Tisa za Kitanzania kwa mwaka mzima.

Lengo la kuandika Uzi huu ni kutaka kuwafahamisha michache viongozi wa vyama na Serikali pamoja na Watanzania wote wanaosoma Jamii Forum.Fedha hizi za elimu bure hazijatolewa na Serikali kwa zaidi ya miezi miwili Sasa ambazo ni fedha za mwezi Octoba na Novemba hali hii imepelekea Walimu Wakuu na Wakuu wa shule kuingia kwenye madeni kwa sababu Walimu wamelazimika kuendesha shughuli zote za shule ikiwemo Mitihani ya mwisho wa mwaka kwa kutumia mishahara Yao pamoja na kukopa kwa watu mitaani.

Wito wangu kwa Serikali,kama mmeshindwa kugharamia elimu kwa utaratibu wenu wa elimu bure toeni taarifa kwa umma wa Watanzania;kuwabebesha Walimu madeni siyo jambo zuri hata kidogo pia,mnawasababishia Walimu msongo wa mawazo kwa kuwabebesha majukumu yasiyo wahusu

Pamoja na yote hayo viongozi mjifunze kuwaheshimu walimu hata kama wapo chini yenu kutokana na umasikini wao.Siku chache zilizopita palikuwepo na zoezi la unyweshaji wa dawa za kichocho kwa wanafunzi (Prazquantel na Albendazole) kwenye kila shule mwalimu wa afya na mwalimu Mkuu walihudhuria seminar ya mafunzo ya namna ya kugawa dawa lakini, hakuna hata mmoja aliyelipwa fedha za seminar hadi hivi Sasa na hata fedha za unyweshaji dawa za minyoo na kichocho na zenyewe bado hazijatoka mpaka hivi Sasa.

Pia, kuna seminar ya mafunzo ya ESS, PEPMIS na PIPMIS ambalo limeanza kufanyika kwenye Wilaya ninayofanyia kazi tangu muda kidogo lakini, hakuna mwlm hata mmoja ambaye amelipwa hata mia ya nauli zaidi ya kununuliwa chakula mbaya zaidi kuna Walimu wanatoka interior/remoteness areas hakuna mtu anayejali wamesafiri vipi kutoka huko kwenye vituo vyao na watarudi vipi tena kwenye vituo vyao.

Enyi Serikali mbona mmeufanya ualimu kuwa ni kazi ya watu wenye laana na waliokosa jambo la kufanya?
Du mifumo ni mingi.
 
Habar za muda huu ndugu wanajamii

Sote tunafahamu ya kwamba Kuna chama kilijinadi kuwa kitatoa elimu Bure kuanzia elimu ya Msingi Hadi Sekondari kwenye campeni za uchaguzi wa mwaka 2015 na 2020.

Baada ya hapo Kuna fedha zilianza kutolewa kwenye Shule za Msingi na na Sekondari kwa kuzingatia wingi/idadi ya wanafunzi kwenye kila Shule.Fedha hizi zilizingatia vipengele muhimu vitano kwenye matumizi ambavyo ni;

I. Utawala (10%)
II. Vifaa vya kufundishia na kujifunzia (30%)
III. Mitihani (20%)
IV. Ukarabati (30%)
V. Michezo (10%)

Fedha hizi japo zilikuwa zinatoka kila mwezi lkn,hazikuweza kukidhi mahitaji kwa kila kituo kutokana na uhitaji mkubwa kwenye kila kifungu mfano,fedha za michezo zilipaswa kununua vifaa vya michezo pamoja na kuendeshea mashindano ya Umtashumta;

Kwa kifupi ni kwamba kila kifungu hakikuweza kujitosheleza...kituo X mwaka huu (2023) kiliapswa kuendeshea mashindano ya Umtashumta kwa kutumia Shilingi 1,520,000/= (Million Moja laki Tano na Ishirini Elfu) lkn,fedha iliyokuwepo kwenye kifungu Cha michezo ni chino ya laki Tisa za Kitanzania kwa mwaka mzima.

Lengo la kuandika Uzi huu ni kutaka kuwafahamisha michache viongozi wa vyama na Serikali pamoja na Watanzania wote wanaosoma Jamii Forum.Fedha hizi za elimu bure hazijatolewa na Serikali kwa zaidi ya miezi miwili Sasa ambazo ni fedha za mwezi Octoba na Novemba hali hii imepelekea Walimu Wakuu na Wakuu wa shule kuingia kwenye madeni kwa sababu Walimu wamelazimika kuendesha shughuli zote za shule ikiwemo Mitihani ya mwisho wa mwaka kwa kutumia mishahara Yao pamoja na kukopa kwa watu mitaani.

Wito wangu kwa Serikali,kama mmeshindwa kugharamia elimu kwa utaratibu wenu wa elimu bure toeni taarifa kwa umma wa Watanzania;kuwabebesha Walimu madeni siyo jambo zuri hata kidogo pia,mnawasababishia Walimu msongo wa mawazo kwa kuwabebesha majukumu yasiyo wahusu

Pamoja na yote hayo viongozi mjifunze kuwaheshimu walimu hata kama wapo chini yenu kutokana na umasikini wao.Siku chache zilizopita palikuwepo na zoezi la unyweshaji wa dawa za kichocho kwa wanafunzi (Prazquantel na Albendazole) kwenye kila shule mwalimu wa afya na mwalimu Mkuu walihudhuria seminar ya mafunzo ya namna ya kugawa dawa lakini, hakuna hata mmoja aliyelipwa fedha za seminar hadi hivi Sasa na hata fedha za unyweshaji dawa za minyoo na kichocho na zenyewe bado hazijatoka mpaka hivi Sasa.

Pia, kuna seminar ya mafunzo ya ESS, PEPMIS na PIPMIS ambalo limeanza kufanyika kwenye Wilaya ninayofanyia kazi tangu muda kidogo lakini, hakuna mwlm hata mmoja ambaye amelipwa hata mia ya nauli zaidi ya kununuliwa chakula mbaya zaidi kuna Walimu wanatoka interior/remoteness areas hakuna mtu anayejali wamesafiri vipi kutoka huko kwenye vituo vyao na watarudi vipi tena kwenye vituo vyao.

Enyi Serikali mbona mmeufanya ualimu kuwa ni kazi ya watu wenye laana na waliokosa jambo la kufanya?
Mkuu wa shule unawaza posho ya 200,000/= .. kufanya Kaz za umma kwa mishahara yenu ni upumbafu wenu... Likizo hiyoooo xmass na mwaka mpya
 
Back
Top Bottom