MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

Ni wilaya iliyogawanyika kutoka Kibondo. Sehemu kubwa inapakana na nchi ya Burundi, na game reserve ya Mwaiwosi. Ni sehemu nzuri . Inapakana na Biharamuro, Ngara na si mbali kufika Kahama

Kwan kahama kuna nn ili kufika?
 
Hii ni wilaya mpya,si pazuri ni zile wilaya za kisiasa ni 60 km kutoka kibondo kama unaenda nyakanazi.umeme hamna ,maji hamna na usalama si pazuri sana.
 
Hii ni wilaya mpya,si pazuri ni zile wilaya za kisiasa ni 60 km kutoka kibondo kama unaenda nyakanazi.umeme hamna ,maji hamna na usalama si pazuri sana.

Usisahau kuna udongo mwekundu balaa. Nguo zako nyeupe acha tu nyumbani utazikuta wakati wa likizo!
 
utakoma ni pabaya hakuna mfano na kama ni mwalimu utatia akili uende umeaga kwenu huko cio pa kucheazea kabisa hasa nyie vijana mnaopenda madem itakula kwako wapo wazuri asili ya kitusi
 
Udongo mwekundu,usalama mdogo japo kuna kikosi cha jeshi miundombinu mibovu vitu bei poa kitomoto kilo 4000 ndizi tatu 500 migebuko kibao nenda mtumishi ukatumike
 
utakoma ni pabaya hakuna mfano na kama ni mwalimu utatia akili uende umeaga kwenu huko cio pa kucheazea kabisa hasa nyie vijana mnaopenda madem itakula kwako wapo wazuri asili ya kitusi

duh...kwel shikamoooooo serikali
 
Hii ni wilaya mpya,si pazuri ni zile wilaya za kisiasa ni 60 km kutoka kibondo kama unaenda nyakanazi.umeme hamna ,maji hamna na usalama si pazuri sana.

seh zngne unaogop kbs hat km hujafk...sas maish yatakayofuat ukfka huko ni siri ya kata mtungini
 
duh.. kakonko! aende tu na nguo za kawaida sana kama ana pamba kali aziache tu.
kule sharti ufanane na wenyeji ukiwazidi radi inakuhusu.
masuala ya kuchapa watoto asahau.
usalama ni 0 kabisa majambazi kutoka burundi wanavamia na kufuata walimu. wanateka haice au kigrosari na silaha nzito sana. r.p.g mashine.
pia kuna masuala ya kuwekeana sumu sana asiwe anapenda kula vimigahawani hata ka hana kisa na mtu huwa wana tabia ya kufanya majaribio kama sumu inaua.
wake za watu/waume za watu..na zaidi ya sumu.
awe charming kiasi.

kwa ujumla si pazuri mkuu manake unaishi kwa wasiwasi sana.
my take. waha si watu wazuri kwa kweli ni watu wenye ukarimu na lugha laini lakini moyoni anawaza atakuuwaje.
wayungu dah..
 
Karibu Msalala' wilaya hii ni mpya ina shule za secondary zifuatazo:Isaka sec, Jana sec, mwaluguru sec, Bulige, Bugarama, Bulyahulu, mwl nyerere, Ngaya, Busangi, Lunguya, Ntobo..nyingne 4 Nmezsahau' lakin ktk hizo zote Isaka sec ipo mahali pazuri mno' ipo isaka dry port hapo international road inapita na n km40 kufka kahama mjin' hizo nyingne barabara zinafika lakkin si za lami' Karibu Msalala

Mkuu, nakushukuru sana kwa kunipa mwanga namna hii. Ubarikiwe sana. Je kati ya hizo ulizonitajia ni shule gani zipo karibu na huduma ya umeme? Nitatamani sana nipangwe shule ambayo haitakuwa mbali na huduma ya umeme ili hata kama nikipanga nyumba mtaani iwe na umeme.
 
duh.. kakonko! aende tu na nguo za kawaida sana kama ana pamba kali aziache tu.
kule sharti ufanane na wenyeji ukiwazidi radi inakuhusu.
masuala ya kuchapa watoto asahau.
usalama ni 0 kabisa majambazi kutoka burundi wanavamia na kufuata walimu. wanateka haice au kigrosari na silaha nzito sana. r.p.g mashine.
pia kuna masuala ya kuwekeana sumu sana asiwe anapenda kula vimigahawani hata ka hana kisa na mtu huwa wana tabia ya kufanya majaribio kama sumu inaua.
wake za watu/waume za watu..na zaidi ya sumu.
awe charming kiasi.

kwa ujumla si pazuri mkuu manake unaishi kwa wasiwasi sana.
my take. waha si watu wazuri kwa kweli ni watu wenye ukarimu na lugha laini lakini moyoni anawaza atakuuwaje.
wayungu dah..

mkuu hapo kwl wameamua serikali ya mrisho
 
hyo ndo serikal ilopanga lazm akajionee

akakae mbali na wake za watu (kama ni me) na akae mbali na waume za watu (kama ni ke) na akumbuke watoto wa wenzake ni watoto wake pia si wakubwa wenzie...
 
Msalala ni kahama vijijini japo kuna miji midogo ambayo ndipo shule za sekondari zimejengwa baadhi ya sehemu zilipo shule ktk halmashauri ya msalala ni is aka,segese,chela nk.cha ajabu tu shule za huko wanafunzi ni wachache.mbunge wako ni Ezekiel maige


Ahsante. Mkuu naomba unitajie shule zilizofikiwa au zilizo karibu na huduma ya umeme km unazijua
 
napajua vizuri mno, haparizishi kwa swali lolote kuhusu kakonko ni PM..
 
Back
Top Bottom