Ni vema ukaweka wazi ni sehemu gani ya Tandahimba unaiulizia. Ila swali lako ni la ujumla sana. Kuhusu umeme upo ktk vijiji vilivyopo ktk Barbara ya Tandahimba-Newala ila vya ndani bado. Na kuhusu maji sehemu kubwa ya wilaya hii yana shida kubwa ya maji ukiondoa maeneo yanayopakana na mto Ruvuma.
Nmepangwa kufundisha shule ya utengule mbarali mbeya, naombeni kujuzwa sifa za eneo hili wakuu
duh.. kakonko! aende tu na nguo za kawaida sana kama ana pamba kali aziache tu.
kule sharti ufanane na wenyeji ukiwazidi radi inakuhusu.
masuala ya kuchapa watoto asahau.
usalama ni 0 kabisa majambazi kutoka burundi wanavamia na kufuata walimu. wanateka haice au kigrosari na silaha nzito sana. r.p.g mashine.
pia kuna masuala ya kuwekeana sumu sana asiwe anapenda kula vimigahawani hata ka hana kisa na mtu huwa wana tabia ya kufanya majaribio kama sumu inaua.
wake za watu/waume za watu..na zaidi ya sumu.
awe charming kiasi.
kwa ujumla si pazuri mkuu manake unaishi kwa wasiwasi sana.
my take. waha si watu wazuri kwa kweli ni watu wenye ukarimu na lugha laini lakini moyoni anawaza atakuuwaje.
wayungu dah..
Usiwatetee hawa wazembe unawapoteza uko kusiko na umeme na maji ndio kwenye fulsa.
Utengule Usangu sec ndio nyumbani maeneo hayo.
Ni mbali kidogo kutoka mby mjini maana ipo mbali na barabara kuu., maji na umeme ni changamoto kidogo
Ila pamechangamka sana na hakuna shida ya misosi. Kama unatokea kokote kule shukia Mswiswi au Igurusi then ulale hapo afu kama ni mswiswi utapanda bodaboda mpaka shuleni, kama ni igurusi nahis vipo vicanter. kama kuna la zaidi ni pm.
jamani naombeni ushauri nimepangiwa ruvuma mbinga shule inaitwa nanswea now nipo feza boys naombeni mnisaidie mazingra kwa aneye fahamu
waifahamu shule ya Nandonde? Ipo wapi hapo Tandahimba
Iipo wilaya ya kinondoni ukifika tegeta nyuki panda magari ya madale mpaka mwisho kisauke chukua pikipiki 1500 mpaka NjecheleNaombeni msaada ndugu zangu NJECHERE SECONDARY SCHOOL iko wapi hapa Dar es salaam
we mwambie akapige kazi bana...una ulizia huduma za kijamii unadhani huko hakuna wanaoishi!na kwa mazingira yalivyo lazima ataolewa na mtendaji wa kijiji nakwambia!Naombeni msaada mwenye kufahamu should ya sec mabui iliyoko Musoma vijijini, je huduma za kijamii zipoje? umbali toka mjini upo vp? umeme, shugjuli za kiuchumi kijijini n.k . Dadaangu kapata kituo cha kazi leo ktk shule hiyo. Asanteni
we mwambie akapige kazi bana...una ulizia huduma za kijamii unadhani huko hakuna wanaoishi!na kwa mazingira yalivyo lazima ataolewa na mtendaji wa kijiji nakwambia!
.....Half knowledge is very dangerous!!