Nastic mbona serikali imetoa fedha za kujikimu?
Wengi hawajapewa hela ya kujikimu wanaishi maisha magumu sana.
Vip kuhusu mugumu serengeti
Hela ya kujikimu tumepewa na mnabembelezwa chukueni Hela zenu
Wap huko?? Wengi wanalala kwenye kumbi za halmashaur hata hawajaona sent....
Akaribie maisha mapya ya kisiwani, atumie umeme kwa mara ya mwisho pande hizo umeme ni hadithi, kama hajawahi panda meli ndio ajipange.Jamani kwa mtu anaeifahamu wilaya ya Ukerewe atujuze. Dogo kapangiwa huko....Mazingira yakoje kiujumla...?
Mpaka Leo hajaripotii??Akaribie maisha mapya ya kisiwani, atumie umeme kwa mara ya mwisho pande hizo umeme ni hadithi, kama hajawahi panda meli ndio ajipange.