MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

Pako fresh very close na arusha town, wengi wanafanya meru wanaishi ara town
 
Ndugu yangu mimi pia nimepangiwa moshi na nimetembea maeneo mengi Tanzania moshi kuna kila kitu maji na umeme wa uhakika embu shukuru Mungu kuna watu wamepangiwa sehemu hata kupata mishahara ni tabu afuu jifunze kuishi popote usipende sana kwenuu
 
Dah... Nilishawahi ishi huko... Miaka ya 98 tukahama...maisha ya kule ilikuwa ni shida sana...kama ni mnywaji wa pombe...pombe aina ya tembo inapatikana kwa sana...ila hope now mambo yatakuwa yamechange sana...Nenda kapige kazii

Nimekaa uchagan nimekunywa sana mbege- nyumbani mbeya ulanz kwa sana , arusha pale kitu ya arusha usipime , dar viroba ndo ilikua chai yangu hapo nafkir serikal waliniona
 
Gharama za maisha zipo chini hasa misosi maana wayao wanalima sana mpunga,viazi na hata mahindi. Kuhusu barabara usihofu sana maana ujenzi unaendelea kwa kasi.

Maji na umeme vya kumwaga.Sijawahi kuishi Tunduru but huwa napita kikazi tu

Mkuu umeme upo kwel-? mana nimeskia haupo et ni jenereta hapa nimeandaa karabai na mishumaa yakutosha
 
Nmepangwa kufundisha shule ya utengule mbarali mbeya, naombeni kujuzwa sifa za eneo hili wakuu
 
ndugu kwa anaepajua biharamulo anipe experience kidogo pakoje? watu wake,miundombinu,uchumi nk.
 
Mkuu umeme upo kwel-? mana nimeskia haupo et ni jenereta hapa nimeandaa karabai na mishumaa yakutosha

Mimi pia nimefika Tunduru mara kadhaa na mara ya mwisho ilikuwa ni february mwaka huu. Umeme upo! Zamani ni kweli ilikuwa ni generator lakini siku hizi walishaunganishwa na umeme wa Gesi toka Mtwara. Umeme na maji ya kumwaga. Hiyo karabai mtumie bibi kijijini atashukuru
 
Meru kama unapenda maisha ya mjini pako poa tu. ni kama tu kuwa Arusha mjini, hasa ukijikita shule za pembeni ya barabara ya Moshi-Arusha.
 
Baba huko kaza Buti tu nishawai fanya kazi huko nikama miez 4 imepita,kusema kweli kuhusu maendeleo bado sana ila kazi utafanya tu Na chakula sio bei ghari kwa kifupi maisha ni simple tu labda upande wa mji tu bado haujakuwa na nyie wenyewe ndiyo wa kwenda ku ukuza tu mji bado mdogo kule wapo wasubi,wahaya utawakuta tu.
 
Back
Top Bottom