Msaada kwa anaepafahamu wilaya ya buhigwe kigoma
Naomba mnijuze juu ya wilaya ya rorya pakoje, hasahasa shule ya raranya sec.
kule ndo home kule km we ni mtoto wa mama bora usiende
Bunda ni wilaya iliyopo mkoa wa Mara pako safi,maji yapo na vijiji vingi usafiri upo pia umeme upo maeneo meng.Kama unatokea mikoa mingine ukifika Mwanza panda magari yanayoenda Mwanza au Tarime yote yanapita Bunda ukifika watakushusha.Nenda kalitumikie taifa mwalimu.
We nenda mkuu lakini bukoba vijijini mhhh kuna baadhi ya sehemu ziko powa lakini nyingine majanga,,,maana unaweza pelekwa huko bugabo,kasharu hayo ni baadhi ya maeneo ambayo ni mabovu saaana,