oscar juma miho
New Member
- Mar 22, 2013
- 3
- 0
asanten wapendwa pamoja
Ukipangwa upande wa wamasai na wapare kama rundugai itakuwa imekula kwako
asanten wandug
Jembemtaji acha kukoromea wenzio ili hali wewe uko town
wadau naomba kupewa maelezo ya ntare secondary ktk halmashauri mpya ya kyerwa kagera.je iko mazingira gan.miundo mbinu.na vtu vngne
Ni shule nzuri iko karibu na barabara ya mkoa. kuna kasenta kakubwa mie nipo Ruicho
wadau naomba kupewa maelezo ya ntare secondary ktk halmashauri mpya ya kyerwa kagera.je iko mazingira gan.miundo mbinu.na vtu vngne
Ni shule nzuri iko karibu na barabara ya mkoa. kuna kasenta kakubwa mie nipo Ruicho
mhhh barabara ya mkoa,,, vumbi tupu na kiukweli usimdanganye mwenzio hapana uzuri wowote,bora kazi tu ngoja aje apige kazi lakini huko kote pabovu tu.