MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

Shule inaitwa mabuimerafuru,ni kijijin,hakuna umeme.atapanda gari za majita hd njia panda ya mabui kisha boda hd huko.
Namtakia kila la kheri,ajiandae na udongo mwekundu wa mfinyanzi.
Yaa asante kwa mwangaza huu, inaonesha ni kijijini japo panafikika. kwa ss tuliokulia vijijini umeme sio kipaumbele, tunaangalia usafiri kwanza, then nishati mbadala hua tunaziboresha kama solar nk.


vp shughuli za uchumi huko ni zipi mkuu? na kama unafahamu umbali toka town ni almost km ngapi? ASANTE
 
kwanza mabui maana yake ni mawe meusi, shule ipo karibu na ziwa huko mjomba watu wanalima mihogo na mtama mwekundu ni pm kwamaelezo zaid
 
Guys, plz nahitaji mtu wa kunipa details angalau kdg kuhusu SHULE YA MURANGI na eneo husika umbali wake kutoka town na vp kuhusu nyumba za kupanga na huduma za jamii.. Plz!!
Murangi bwana changamoto kubwa ni tope shule haina nyumba mimi nipo shule ya jiran inaitwa Kasoma high school.wew njoo kijijini pote panafanana tu
 
kiasi flan japo pamechangamka huduma zote za kijamii nje nje. In short its d gud place kwako mwalimu..usiache kwenda
 
Mkuu kwa kina Kaaya huko be careful kuchapachapa utakatwa shingo
 
Jamani shemeji yenu kapangiwa hiyo shule hapo je ikoje na mazingira ya Hedaru yapoje??ni umbali gani kutoka mjini??
Shukrani sana
 
Ni umbali kama wa nusu saa kutoka same mjini au dakika 45 kutoka mombo,shule iko hedaru mjini kabisa,sijawah kuishi ila hyo shule naionaga iko barabaran nikiwa napita na basi.
 
...em anzisheni mada kisomi bhana,sasa hapo tuelewe nini ...
 
Back
Top Bottom