Ayayoru
Senior Member
- Feb 17, 2009
- 114
- 25
Ni moja ya wilaya katika mkoa wa Ruvuma ambayo kijografia inapakana na mkoa wa Mtwara ususani wilaya ya Nanyumbu. Zao kuu la biashara ni Korosho pia kuna madini mengi ya vito. Kabila kuu ni Wayao. Kielimu ipo nyuma kidogo, ila kuna hali ya hewa nzuri. Ni sehemu nzuri kuishi. Karibu sana.