Kwan kahama kuna nn ili kufika?
Naomba kujuzwa kuhusu bunda huko mara,kwa anayeijua sehemu hiyo msaada
Naomba kujuzwa kuhusu bunda huko mara,kwa anayeijua sehemu hiyo msaada
Nimepangwa kufundisha halmashauri ya wilaya bukoba. Ningependa kufahamu mambo mbalimbali kuhusu halmashauri hiyo kwa wanaoifahamu.
Bukoba ni pazuri.
wilaya iko vizur sana kwenda moshi mjin nauli 1000 .maji. umeme. usafr. vyakula. kilimo n full n ww tu ushindwane na wamachame
We mpuuzi acha ubishoo kafanye kazi, ajira zikitoka unachagua sehemu ya kufanya zisipotoka mnalalama ajira hakuna.
Jembemtaji acha kukoromea wenzio ili hali wewe uko townWe mpuuzi acha ubishoo kafanye kazi, ajira zikitoka unachagua sehemu ya kufanya zisipotoka mnalalama ajira hakuna.