MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

ungejua watu wanahonga pesa nyingi ili wahamishiwe moshi usinge shoboka hivo kwanza hakuna baridi unayo ifikiri
 
unataka kujua nn aswa?kuna kabila la wajaluo kwa wingi samaki na chakula kikuu ni ugali wa mtama uliochanywa muhogo,na ni wakorofi
 
kuhusu mazingira::: ni magumu sn kutokana na nature ya wilaya ambapo jamii kubwa no wafugaji wa kimassai wanaokaa ktkt ya mapori . Fanya upate Moja ya Naisinyai sec" the best kikazi ipo ukanda wa mererani na nipo nafundisha hapo; benja sec, ipo mereran, msitu wa tembo ipo ukanda wa moshi na terrate ipo km 90 toka wilayan to arusha.

pale wilayani pana Simanjiro sec ila kupata lazma ujishike kk, maana ni chakula ya ...........

maeneo mengine ni ndani na ktkt ya Mapori about 90 nk km.


kuwa jasiri pale wilayani kk vinginevyo ohoooo watakurubuni wee mwisho wakutupe pori.

karibu sn Simanjiro, uje Naisinyai sec asee. fight utafanikisha tu
 
ungejua watu wanahonga pesa nyingi ili wahamishiwe moshi usinge shoboka hivo kwanza hakuna baridi unayo ifikiri


Sina hakika sana na maisha uliyolelewa na kukulia zaidi kwa upande wa lugha ila naona lugha unayotumia ni ngumun kwa mtu kama mimi..Nisamehe bure ndugu yangu ila kila mmoja ana interest zake hivyo huwezi mfanya mtu ajione mjinga kwa vile hataki tu kukaa Moshi..
 
Kwa yeyote anayepafahamu tunduru au alishaish+ karibu unijulishe pakoje?
shukran sana
 
moshi kuzur sanaaaa watu wanapakimbilia


Hiyo ndiyo sifa niliyopewa na watu wote wanaokujua Moshi ila kweli kabisa naona hakunifai mimi pamoja na uzuri wake..Ikiwa unafahamu tena ukanielekeza namna ya kufika makao makuu ya hiyo wilaya especially ofisi ya Mkurugenzi nitashukureu sana..
 
ukiwa mwalim mpya na unataka kufaham baadh ya mambo hapa wilayan niulize. kwa ufupi ni wilaya nzur kabisa utaipenda. karibuni sana. msisahau pia mnaotaka wa kubadilisha wako weng sana kwenda Dom Moro Singida Iringa Mwanza Shinyanga nk
 
....wajiandae kutekwa na majambazi hasa kwenye pori la biharamulo...
 
Napenda kuwakaribisha walimu wapya waliopangiwa Mkoani Tabora, tunawakaribisha sana na sisi wazazi tutasaidia kuhakikisha watoto wetu wanafika shule bila kukosa.

Mkoa wetu una Wilaya hizi Nzega, Uyui, Igunga, Urambo, Tabora Mjini, na Kaliu karibuni sana walim wetu.

Kwa wale waliopangiwa Nzega naomba tushirikiane kuijenga Nzega kwa kutoa elimu bora.
 
naomba kupata taarifa kuhusu jiografia, watu wake, nk. ( wilaya Misenyi-Kagera).
 
unataka kujua nn aswa?kuna kabila la wajaluo kwa wingi samaki na chakula kikuu ni ugali wa mtama uliochanywa muhogo,na ni wakorofi

Asanten kwa taarifa wakuu....na vipi kuhusu huduma za kijamii za kule mfano umeme na maji
 
Back
Top Bottom