MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

Home sweet home. Moshi pako njema sana wala hupaswi kuwa na wasiwasi. Huduma zote za msingi zipo. Nilitamani mno kupangiwa humo ikashindikana nipo wilaya ya mbogwe pako porini sana nauli ya kufuata mshahara ni 20,000. Huduma mbovu.
 
Asikutishe mtu, ukiwa vizuri utatoka tu ndugu yangu, Kuna fursa nyingi bali watu hawazioni ukifika kimbia kwanza hadi boda ya Mtukula angalia fursa kibao pale halafu ujipange tayari kuanza kutumia fursa mojawa[po za pale
 
wilaya ya singida iko poa.wewe nenda kapige kaz,maeneo yote yanafikika kwa gari network nayo iko poa haisumbui.kuhusu maj inategemea eneo na eneo
 
attachment.php


Kutokana na walimu wengi wapya kuuliza mazingira na taarifa za msingi za mahali walipopangiwa kama kituo cha kazi, ningependa uzi huu utumike maalumu kwa ajili ya maswali na majibu yote yanayohusu taarifa vituo vipya.


Vile vile mnaweza kutumia ukumbi huu kukutana na walimu wenzako ambao mmepangiwa kituo kimoja, mkoa mmoja au maeneo ya jirani.

Kwa wale ambao wanataka ubadilishana vituo vya kazi, rejea maelezo ya msingi katika uzi HUU HAPA!

Karibuni na kila la heri walimu wapya!
 

Attachments

  • ticha.jpg
    ticha.jpg
    8.8 KB · Views: 5,649
Kyela ninzurisana tena unabahati ila kama unadharau kabla hujaondoka kuja kyela zifungiekwenye kabati maana wanyeji wa kyela wanazijua sana ila ukiwaanza
 
Karibuni singidani a.k.a singapore lohh
Mje mule mafyuta pure ya sunflower
Huku samaki wa bwawani tu weusiii ka fungo hahaha !!!!

Walimuu !!!!!
 
Aya wale wote mliopangwa kigoma sema umepangwa wap nikupe full data ila ndio ujiandae kiphyscologia

0764616353

Habari yako mkuu,nimepangwa kigoma wilaya ya buhigwe shule ya sekondari bwafumba .
Je unaweza kunipa details za huko ?
 
jamani njoo basi kondoa town kwa warangi mimi nije dodoma manispaa au moro town namba yangu ni ile ile tu 0753477905 au 0716589410 maana cku zinazidi kwenda ila kimya...
 
Back
Top Bottom