Elly Andrew
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 405
- 166
inategemea singida ipi kaka lakin panamahali pazuri sana tu. unafundisha masomo gan nkupgie kampeni uende mahali pana maji ya kutusho na hakuna ukame kama wanavyokuaminisha.
Vyakula bei nafuu,vinapatikana mda wote huezi juta
jaman mimi bunda, mwenye uelewa na hilo eneo plz
Ni pazur baridi lipo la kutosha,maisha nafuu na kuna utengule hotel karibu
jiandae kulima mpunga
Mimi pia nimefika Tunduru mara kadhaa na mara ya mwisho ilikuwa ni february mwaka huu. Umeme upo! Zamani ni kweli ilikuwa ni generator lakini siku hizi walishaunganishwa na umeme wa Gesi toka Mtwara. Umeme na maji ya kumwaga. Hiyo karabai mtumie bibi kijijini atashukuru