luqmand
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 219
- 38
HAKUNA, mpaka ukaripoti kituo chako kipya na kufanya kazi, baadaye sana ndiyo unaweza badilishwa.
Namaanisha kwa marekebisho yanayofanywa mkuu kwa watu wa arts
HAKUNA, mpaka ukaripoti kituo chako kipya na kufanya kazi, baadaye sana ndiyo unaweza badilishwa.
Namaanisha kwa marekebisho yanayofanywa mkuu kwa watu wa arts
Meru kubwa taja eneo husika me naishi huko pia..
Pako fresh very close na arusha town, wengi wanafanya meru wanaishi ara town
Meru kama unapenda maisha ya mjini pako poa tu. ni kama tu kuwa Arusha mjini, hasa ukijikita shule za pembeni ya barabara ya Moshi-Arusha.
...ule msitu ni hatari, banyamulenge ndo kambi yao na wakimbizi wa Rwanda na Burundi...kuna majambazi?mbona unatuogopesha jamani, Mimi huko huko naenda tena sikufahamu,
naomba kuangaliziwa joyce wanjara chuo morogoro ttc
Na.ukweli ni kuwa shule za.mjini zumejaa wanawake.wakali....
Jiulize kwanini![]()
Wale wa ARUSHA DC tufahamiane bac.. mwenye info zote kuhusu Arusha dc atusaidie
Jamani nimepangiwa mkoa wa kigoma wilaya ya buhigwe shule inaitwa bwafumba. Naomba anaepafahamu vizuri anisaidie yafuatayo
1.nauli kutoka kigoma mjini
mpaka wilaya ya buhigwe ni kiasi gani? 2. Nauli kutoka makao makuu ya buhigwe mpaka ilipo shule ya bwafumba ni kiasi gani? 3. Hapo bwafumba kuna nyumba za kupanga? 4. Hapo bwafumba upatikanaji wa huduma kama maji, hospital na mitandao ya simu ukoje?
NAOMBA KUJUZWA TAFADHALI