Dah! Kwa sababu una haki ya kutoa maoni yako naomba niseme hivi: Wewe kwenye ukoo wako utakuwa ni genius!!! Yaani mtu aliyekuwa na mawazo finyu kuna hotuba zake nzuri unatamani zingekuwa kwenye tv!!! Mtu aliyekuwa na mawazo finyu aliwapa nafasi hata watoto wa maskini kuonja shule!! Mtu mwenye mawazo finyu alimtazama kikwete akatambua na kutamka bila aibu kuwa hafai kuongoza nchi!! Miaka kumi baadaye wengi wasio na huo ufinyu wakampa kuongoza na naona wamemprove wrong Mwl.!!! How I wish tungekuwa na viongozi wengi wenye mawazo finyu kama ya Nyerere.... Na kweli tv zinazoliliwa zimetufaa sana, si hata dada zetu wakienda kuchakachuliwa live big brother hatuhadithiwi, tunajionea wenyewe! Tamthilia kwa kwenda mbele, miziki ya uchi kwa wadogo zetu na watoto wanaobaki majumbani. Mungu atupe nini tena?!
wewe una matatizo ya kuelewa
sasa ntajaribu tena kukuelewesha labda itasaidia....
hakuna sehemu niliposema nyerere alikuwa hafai kuongoza
au alikuwa mtu mbaya sana
thread inazungumzia nyerere na ukabila na jinsi alivyopinga ukabila
huku akidhibiti makabila makubwa
now je nyerere alikuwa na hotuba nzuri zenye manufaaa ?yes alikuwa nazo..
je kutokuwepo kwa tv wakati ule kumesababisha hotuba hizo zipoteee,yes kabisa...
je baadhi ya idea zake hazikuwa mbaya na finyu kwa maendeleo ya taifa?
jibu ni ndio kwa herufi kubwa kabisa....
tunapozungumzia matatizo ya utawala wake na mapungufu yake hatusemi hakuna mazuri aliyofanya
tunachosema alikosea na kulikuwa na njia nyingine mbadala....
kuhusu tv mbona cuba,zanzibar,china ya mao
na nchi nyingi tu za kisoshalisti zilikuwa na tv?????
televisheni ni chombo chenye faida na hasara kwa mujibu ya mnavyotumia na kukidhibiti
hasara chache haziwezi futa faida zake?
mbona internet ina porno kuliko chombo chochote?
je ipigwe marufuku???????/
angekuwepo nyerere hata jamiiforums isingekuwepo