Mwalimu kutoadhibu ni jambo linalowezekana kwa 100%

Mwalimu kutoadhibu ni jambo linalowezekana kwa 100%

tuna watoto watatu wanasoma huko hawachapwi na wana nidhamu na peformance nzuri huku kayumba kuna shida gani mpaka watu wajipe haki ya kuwapiga watoto kama nyoka kazi ya mwalimu ni kufundisha.
Lakini si wanadhimu inamaana wafuata sheria za shule sio kujiendea endea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi once up on a time l was a teacher tena Shule ya kata nilacha huko mwaka 2012,Aiseee nidhamu ndogo kuliko mnavyofikiria ni mbaya nafikiri hamjui real situation mnatoa theorical suggestion!!! Wanasiasa viongozi wa serikali kama Madc madiwan wakurugenzi wamezizika hizi shule!!!amini nakwambia.
Fikiria mtoto anavuta bangi kamati ya nidhamu inachukua hatua bodii inakaa inachukua nafasi yake mwanafunzi anapewa suspension ya wk tatu au mbili,anachokifanya mzazi anaenda kwa diwani ( ccm),standard seven anamrudisha mwanafunzi kwa nguvu na vitisho kwa mkuu wa shule wanafunzi wengine wanadhangilia !!! Hivi vitu ndio vimejaa shule za serikali
Andika lugha moja basi wewe mwalimu,,sisi wanafunzi wako tunajifunza nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu ila cyo kila ngozi nyeusi basi tuipuuze. Nafahamu baadhi ya shule hawatumii fimbo na mambo yanaenda.mfano mzuri ni st jude arusha

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu hapo so wazungumzia st Jude English medium mwalim unakuta nafundisha wanafunz 10 ,15 wakizid 30. Kana idadi yao tu anaweza kuwa mudu. Sasa nenda kule unga limited s/m Picha linaanza unawatoto 150 darasan. AF watoto wa mbwa. Achana na hao st Jude wakishua. Hapo lazima akili ikukae sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaman hawa walimu ni baba zetu ni kaka zetu (Ndugu zetu) wewe Leo umekuwam doctor, engeneer, unakazi nzur kwa sababau tu ya hawa walimu. Hebu tafakari kipindi iko we unasoma miaka hyo 1990's nidhamu yako shulen ilikuwaje? Kama miaka hyo tu ulikuwa msumbufu. walimu wakakutia nidham ukafika hapo ulipo. Hebu vuta Picha sasa kizaza hichi cha 2000's plus digital.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona walimu mnajisikia u huchungu kuporwa starehe yenu ya kuchapa watoto wetu bila huruma...

Maana mkikwaruzana na wapenzi wenu majumbani kwenu hasira zenu zinaishia kwa watoto wetu... Hapo mioyo yenu inaridhika na mahusiano yenu yanarudi kwenye mstari

Adhabu ya viboko ni ukoloni ata wanyama wana haki zao ukikutwa unawapiga hovyo kesi inafunguliwa sembuse watoto...

Poleni walimu kwa Justine's haki yenu ya msingi... Huo muda wa kuchapa watoto utumie kukuingizia kipato

Sent using Jamii Forums mobile app
HAWA WAHUNI WAMEMUUA SPERIUS ERADIUS KWA KISINGIZIO CHA NIDHAMU.

MTOTO KAPIGWA NA KUNI KICHWANI MPAKA ROHO IMEMTOKA HUKU ANAPIGA MAKELELE YA KUOMBA MSAADA.

WATADHIBITIWA HAWA WAHUNI KILA MAHALI.

MMOJA WAO LEO ALIKUWA ANAMWAGA MACHOZI MAHAKAMANI.

BADO YUKO RUMANDE NA HAKIKA ATAMALIZIA MAISHA YAKE YOTE YA MATESO GEREZANI.

HATACHOMOKA MILELE MPAKA YESU ARUDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaman hawa walimu ni baba zetu ni kaka zetu (Ndugu zetu) wewe Leo umekuwam doctor, engeneer, unakazi nzur kwa sababau tu ya hawa walimu. Hebu tafakari kipindi iko we unasoma miaka hyo 1990's nidhamu yako shulen ilikuwaje? Kama miaka hyo tu ulikuwa msumbufu. walimu wakakutia nidham ukafika hapo ulipo. Hebu vuta Picha sasa kizaza hichi cha 2000's plus digital.

Sent using Jamii Forums mobile app
Facts

Without teacher we cant get doctors, politician's, professors, police officer's etc.
Salute to teacher and I thanks them more!

Without them I cant be a Doct.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuu hapo so wazungumzia st Jude English medium mwalim unakuta nafundisha wanafunz 10 ,15 wakizid 30. Kana idadi yao tu anaweza kuwa mudu. Sasa nenda kule unga limited s/m Picha linaanza unawatoto 150 darasan. AF watoto wa mbwa. Achana na hao st Jude wakishua. Hapo lazima akili ikukae sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu st jude cyo watoto wa kishua ni watoto wanaotoka familia maskini ila wanawasponsor. Ile ni charity funded organisation. Na viboko haviruhusiwi hata kidogo. Na kuna nyingine ipo monduli inaitwa orkeeswa inasaidia watoto wa kimasai fimbo ni mwiko. Hizi shule ni kuanzia ordinary level to advance level mbona wameweza bila viboko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ya bila viboko inawezekana kabisa mbeya vijijini kwenye shule xxx ya private mmiliki wake kapiga marufuku viboko shleni kwake mtoto kuchapwa ni mpaka atoe ruhusa yeye na maisha yanaenda vizuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Shule ambazo hawachapi zipo kibao.Lkn wana mbadala wa adhabu ya viboko.Serikalini mbadala wa viboko ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom