Mwalimu kutoadhibu ni jambo linalowezekana kwa 100%

Mwalimu kutoadhibu ni jambo linalowezekana kwa 100%

Haya sasa, Waziri anasema marufuku, Bosi wake anashangaa kuona adhabu ya viboko ikiondolewa, kuna watu mnachangia humu wakati bado mpo kwa wazazi wenu, zaeni wenu harafu msiwachape hata kidogo mtakuws mmewasaidoa sana kwa maisha yao ya baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
nani huyo kasema viboko hakuna? viboko vipo pale pale, hakuna kulea ujinga!....
Hapo ndipo namkubaligi magufuli hakuna kupindisha pindisha maneno! ...
 
Haya sasa, Waziri anasema marufuku, Bosi wake anashangaa kuona adhabu ya viboko ikiondolewa, kuna watu mnachangia humu wakati bado mpo kwa wazazi wenu, zaeni wenu harafu msiwachape hata kidogo mtakuws mmewasaidoa sana kwa maisha yao ya baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnalazimisha watu waone fimbo ndyo solution pekee ya kumfanya mtoto awe na adabu

Kuna watoto walilelewa kwa fimbo mwanzo mwisho lakini leo hii ni wezi na mateja!

Na kuna watoto wamelelewa bila ya fimbo na leo hii ni ma CEO wa makampuni mbalimbali

Fimbo hazina guarantee ya kumfanya mtoto awe na adabu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnalazimisha watu waone fimbo ndyo solution pekee ya kumfanya mtoto awe na adabu

Kuna watoto walilelewa kwa fimbo mwanzo mwisho lakini leo hii ni wezi na mateja!

Na kuna watoto wamelelewa bila ya fimbo na leo hii ni ma CEO wa makampuni mbalimbali

Fimbo hazina guarantee ya kumfanya mtoto awe na adabu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Adhabu gan unashauri itumike wewe kama mzazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We chapa tu! Ila ukiua magufuli huyo huyo atakugeuka na kukufunga miaka 30

Sent using Jamii Forums mobile app
Muda huu wanangu wamelala mimi nipo safarini na hata kufika sijafika, njaa manucho havichaniacha, natafuta ili wsnangu wasome harafu nisikie eti mwanao kafanya fujo shule, yaani bakola zinsmuanzia nyumbani, harafu naenda kumalizia mbele ya wanafunzi wenzie, sitaki ujinga anaoutaka rafiki yangu Mbwewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Adhabu gan unashauri itumike wewe kama mzazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Akifanya kosa mnyime acces ya vitu anavyovipenda inaweza kuwa kuangalia tv,au kucheza game, au kuendesha baiskeli, au kumnyima access ya kucheza na watoto wenzake ....ukimnyima hizi access mtoto kwa wiki moja tu! Lazima anyooke ...binafsi mi ndyo ninazotumia na matokeo ni mazuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda huu wanangu wamelala mimi nipo safarini na hata kufika sijafika, njaa manucho havichaniacha, natafuta ili wsnangu wasome harafu nisikie eti mwanao kafanya fujo shule, yaani bakola zinsmuanzia nyumbani, harafu naenda kumalizia mbele ya wanafunzi wenzie, sitaki ujinga anaoutaka rafiki yangu Mbwewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetoa suggestion ya adhabu unazopaswa kumpa mtoto bila ya kumchapa na bado ukapata matokeo mazuri tu!

Soma hyo comment ya hpo chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi nachokiona hata kipindi niko shulen yani wanafunzi tumejijengea saikolojia ya kumuogopa mwalimu kulingana na ukali wake wa kuchapa wanafunzi inafikia hatua darasani anafundisha akiuliza mmeelewa tunajibu ndio kwa uoga ili tu aondoke mapema kwasabu ukisema hujaelewa ataanza kukwambia mimi nilivokua nafundisha maskio ulikua umeyaelekezea wapi na hapo unaweza ukachapwa kwa uzembe wakuto kua msikivu wakati mwalimu anafundisha,,ili kuokoa majanga yote hayo ni bora tu ukubali kua umeelewa,alaf ata wanafunzi kuacha shule huchangia sana na adhabu za walimu kwa asilimia kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akifanya kosa mnyime acces ya vitu anavyovipenda inaweza kuwa kuangalia tv,au kucheza game, au kuendesha baiskeli, au kumnyima access ya kucheza na watoto wenzake ....ukimnyima hizi access mtoto kwa wiki moja tu! Lazima anyooke ...binafsi mi ndyo ninazotumia na matokeo ni mazuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hio shuleni kuna tv na games za kuwanyima watoto? daaaaah
 
hutaki mwanao aguswe jenga shule yako, ajiri walimu wako ila si ktk shule za magufuli.
Acha kutumia JINA LA RAIS kuhalalisha UHUNI WAKO.

WALIMU WAHUNI KAMA WEWE LAZIMA MDHIBITIWE.
IMG_20180903_000639.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
WALIMU CHAPENI VIBOKO MSIACHE VIBOKO, HUYO ALIEKUFA NI AJALI KAZINI.
VIBOKO VIBOKO VISIACHWE AISEE, HATUTAKI TAIFA LA VILAZA

KM KUNA MZAZI HATAKI MTOTO WAKE AGUSWE AKAE NAE NDANI.
TAIFA LA VILAZA UNALIJUA WEWE??

KAMA FIMBO ZINGEKUWA ZINALETA ACADEMIC PERFORMANCE NZURI BASI NADHANI SHULE ZETU ZINGEONGOZA KWA KUTENGENEZA WANAFUNZI WEREVU.

BADALA YAKE HUKO MASHULENI PAMEJAA ZERO TUPU MPAKA HUWA NAJIULIZA WAHUNI KAMA WEWE MNAFUNDISHA KITU GANI HUKO?
IMG_20180903_000639.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hutaki mwanao aguswe jenga shule yako, ajiri walimu wako ila si ktk shule za magufuli.
Cha bure ni gharama bora kulipa millioni kadhaa mtoto apate elimu bora na wam treat km binadamu

We unaeamini mtoto wako ni ng'ombe haendi bila viboko mpeleke shule za magufuli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa hio shuleni kuna tv na games za kuwanyima watoto? daaaaah
Kuwa muelewa nimezungumzia adhabu za nyumbani sio za shule

Shuleni pia kuna option za kutoa adhabu bila fimbo inaweza kuwa kupalilia,kulima, kusafisha vyoo, kusimamishwa shule, fimbo iwe adhabu ya mwisho kbsa tena sio izo za kuchapana km ng'ombe na ikishindikana hyo ni bora afukuzwe shule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TAIFA LA VILAZA UNALIJUA WEWE??

KAMA FIMBO ZINGEKUWA ZINALETA ACADEMIC PERFORMANCE NZURI BASI NADHANI SHULE ZETU ZINGEONGOZA KWA KUTENGENEZA WANAFUNZI WEREVU.

BADALA YAKE HUKO MASHULENI PAMEJAA ZERO TUPU MPAKA HUWA NAJIULIZA WAHUNI KAMA WEWE MNAFUNDISHA KITU GANI HUKO?View attachment 857268

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazazi kama wewe unatakiwa unapigwa stick huo ujinga ukutoke kabla hujamuambukiza upumbavu mwanao,ushaambiwa kama hutaki mwanao aguswe muweke ndani au jenga shule yako,alafu si kila mtu ni mwalmu.
 
Wazazi kama wewe unatakiwa unapigwa stick huo ujinga ukutoke kabla hujamuambukiza upumbavu mwanao,ushaambiwa kama hutaki mwanao aguswe muweke ndani au jenga shule yako,alafu si kila mtu ni mwalmu.
FOOLISH!
 
Back
Top Bottom