Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,183
- 3,600
Tukiamua tunaweza, ni muda sasa inabidi kuwe na walimu maalumu wa ushauri mashuleni ili kumjenga mtoto kifikraMkuu ngozi nyeusi haiwezi kufanya majukumu yake bila msukumo ni wachache sana wanaomudu kufanya bila msukumo....
Kama ndo wametoa viboko kabisa subiri uone poromoko la elimu mkuu
#viboko vinasaidia mashuleni
Sent using Jamii Forums mobile app
#Fimbo tutachapa mpkala lini?
Sent using Jamii Forums mobile app