Mwalimu kutoadhibu ni jambo linalowezekana kwa 100%

Mwalimu kutoadhibu ni jambo linalowezekana kwa 100%

Ila kweli...unahangaika na litoto limeshindikana,,,mwshiwe uumie mikono bure.fanya kaz endelea na yako asiyetaka sikia shauri zake,watakao sikia watakushukuru baadae

Sent using Jamii Forums mobile app
Mitoto ikiachwa matokeo lazima ifeli, hara mnaanza ooh, walimu hawafundishi, mara sijui walimu wanamgomo, jamani tushiriki wote kwa pamoja kuwajenga watoto wetu kwa mstakabali wa Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mwanafunzi tena usiejielewa hadi viboko ndio akili yako inazinduka, Nakumbuka viboko vya mwalimu wangu Mwabukusi enzi zile pale Jangwani na Mwalim Mbasha Mlanda Sumbawanga, kwa viboko vile wala tusingekuwepo leo. Kwa tukio la Bk, mimi siamini kuwa viboko vya Mwalim ndio vimeondoa uhai wa mtoto wetu, mtoto alikuwa na shida tu lakini majibu ya viongozi ni kwa ajili ya kutuliza upepo tu. Kama waalim wataacha kabisa kuwafuatilia watoto wetu matokeo tutayaona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni ng'ombe ndyo maana bila fimbo ulikuwa huendi! Yaan hadi secondary ulikuwa unashikiwa fimbo usome? ilipaswa we mwenyewe ktk umri huo ujue umuhimu wa shule bila hta kushikiwa fimbo

Ulivyo mjinga unakubali kbsa bila fimbo usingekuwapo hpo ulipo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mitoto ikiachwa matokeo lazima ifeli, hara mnaanza ooh, walimu hawafundishi, mara sijui walimu wanamgomo, jamani tushiriki wote kwa pamoja kuwajenga watoto wetu kwa mstakabali wa Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
China hawachapi watoto lakini mustakabali wao wa taifa upo fresh tu!...usikariri kuna option zaidi ya hyo fimbo na bado watoto wakawa wasikivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi jitesa na wanafunzi wote wakati almost 170 ni wakorofi sitaki kutumia muda mwingi kufanya counselling Kwa mtu ambaye ukiongea naye unajua kabisa toka Nyumbani Kwao wamemtuma shule akafeli na akasababishe wengine wafeli

Umefanya vyema saana mkuu ila iwe tu ni darasa la 3 - 4. Hao hata wakija wote, utawamudu. Lakini, kama ni kuanzia la 6 hadi chuo kikuu. Wewe unatembea na mauti yako hapo hapo mkononi.
Hao waliotumwa tangu kwao kuja kufeli, ni wadudu wabaya kuliko nyigu. Siku wakisikia hii sentensi yako ati huwezi kusumbuliwa nao, ndo siku utawajua. Muombe Mola akulinde tu mkuu. Mmoja alinistua aliposema alianza bangi akiwa darasa la 3. Upo hapo?? Je, siku akianzisha kikosi chake cha waoto 10 utawaweza?? Darasa hilo litakuwa danger. Ogopa sana mpumbavu akigundua kuwa unamdharau.
 
China hawachapi watoto lakini mustakabali wao wa taifa upo fresh tu!...usikariri kuna option zaidi ya hyo fimbo na bado watoto wakawa wasikivu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi ukaiga mambo ya wachina, kwanza wametuacha mbali sana ktk mambo mengi, misingi yao waliiandaa mapema na wameisimamia na ndio maana unawaona leo wapo hivyo, wewe ulisoma wapi ndugu yangu?Hapa hatutaki kukomoa kundi furani bali tunataka kuwa na Taifa lenye watu wanaojielewa. Sehemu kubwa ya shule zenye matatizo hayo ni St,Kayumba, watoto wa watanzania walio wengi ndio wanasoma shule hizo, zina changamoto nyingi sana ndugu yangu, kwanza hao watoa maamuzi hawaathiriki kwa kuwa watoto wao wanasoma shule zinazoeleweka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi ukaiga mambo ya wachina, kwanza wametuacha mbali sana ktk mambo mengi, misingi yao waliiandaa mapema na wameisimamia na ndio maana unawaona leo wapo hivyo, wewe ulisoma wapi ndugu yangu?Hapa hatutaki kukomoa kundi furani bali tunataka kuwa na Taifa lenye watu wanaojielewa. Sehemu kubwa ya shule zenye matatizo hayo ni St,Kayumba, watoto wa watanzania walio wengi ndio wanasoma shule hizo, zina changamoto nyingi sana ndugu yangu, kwanza hao watoa maamuzi hawaathiriki kwa kuwa watoto wao wanasoma shule zinazoeleweka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ningekuelewa km ungezungumzia kutengeneza misingi tokea mwanzo lkn kitendo cha kusapoti ukatili kwa wanafunzi kwa kisingizio cha kuwafunza adabu hakikubaliki!!!

Mtoto anaweza kuwa na adabu bila hta fimbo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningekuelewa km ungezungumzia kutengeneza misingi tokea mwanzo lkn kitendo cha kusapoti ukatili kwa wanafunzi kwa kisingizio cha kuwafunza adabu hakikubaliki!!!

Mtoto anaweza kuwa na adabu bila hta fimbo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Si kwa Mwanafunzi wa Dar, ninamifano mingi ya Shule za Kata Dar ambazo wakuu hawakuwa na mchezo, mtoto akikosea kidogo ni bakola na wakawa safi hadi Darasani na matokeo yao ya mwisho yalikuwa mazuri. Kuna tofauti kubwa kati ya shule binafsi na za kata, binafsi mwalim analipwa vizuri.na anatumika vizuri, binafsi darasa halizidi watoto 45, kata wanafika 100, binafsi mtoto mtovu wa nidhamu hurudishwa nyumbani hapo mzazi huumia na kumuadhibu mwanae kwa sababu ya ada anazolipa, huku upande wa pili hamna hilo. Ndugu yangu, Wazo lako si baya lakini kwa Tanzania bado ssna maana sehemu kubwa ya watoto hawajui kwa nini wanaenda shule, baadhi ya wazazi pia hawajui umuhimu wa Elimu kwa watoto wao.Tunapaswa kuwa na mjadala mpana wa kuwasaidia watoto wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kwa Mwanafunzi wa Dar, ninamifano mingi ya Shule za Kata Dar ambazo wakuu hawakuwa na mchezo, mtoto akikosea kidogo ni bakola na wakawa safi hadi Darasani na matokeo yao ya mwisho yalikuwa mazuri. Kuna tofauti kubwa kati ya shule binafsi na za kata, binafsi mwalim analipwa vizuri.na anatumika vizuri, binafsi darasa halizidi watoto 45, kata wanafika 100, binafsi mtoto mtovu wa nidhamu hurudishwa nyumbani hapo mzazi huumia na kumuadhibu mwanae kwa sababu ya ada anazolipa, huku upande wa pili hamna hilo. Ndugu yangu, Wazo lako si baya lakini kwa Tanzania bado ssna maana sehemu kubwa ya watoto hawajui kwa nini wanaenda shule, baadhi ya wazazi pia hawajui umuhimu wa Elimu kwa watoto wao.Tunapaswa kuwa na mjadala mpana wa kuwasaidia watoto wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu. naona unajikita zaidi kwenye tatizo zaidi badala ya solution

Na fikra zako umeziwekea mipaka yaan km umeziweka kwenye box
huamini kbsa km hapa duniani kunaweza kuwa njia mbadala ya mtoto kuwa na adabu bila kumchapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwewe, Mataifa yaliyoendelea kiuchumi na kutuacha nyuma miaka 150 wamefuta viboko mashuleni miaka ya 90 , miaka 25 iliyopita na bado wakaona walikosea kuvifuta, Tanzania si ndio itakuwa balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
walimu chapeni viboko msiache kuwalamba watoto stick mpk akili ziwakae sawa hakuna kulea ujinga. KAMA KUNA MZAZI HATAKI MWANAE AGUSWE AKAE NAE NYUMBANI
 
Unajua Ulaya viboko vilisitishwa mwaka gani? Na baada ya kuondoa viboko nini kilifuata? Au mnaandika upuuzi wenu wa vijiweni?Mzazi unakaa na mtoto wako masaa mangapi kila siku hadi ujue anayoyafanya? Mwalim nfie mtu pekee anayekaa na watoto wetunmuda mrefu, ndiye anaweza kumjua mtoto msikivu na jeuri, nafikiri mjadara uwe ni vipi Mwalim amuadhibu mtoto anapokesea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wazungu wanaoabudiwa leo,waliwahi kuwa na sheria mbaya kuliko unavyoweza kudhani,kuna wakati ilikuwa mzazi akimuua mtoto wake kwa kumuadhibu hakuna kesi!!!

Kuna watu waliua watoto wao na hawakushtakiwa kabisa!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WALIMU CHAPENI VIBOKO MSIACHE VIBOKO, HUYO ALIEKUFA NI AJALI KAZINI.
VIBOKO VIBOKO VISIACHWE AISEE, HATUTAKI TAIFA LA VILAZA

KM KUNA MZAZI HATAKI MTOTO WAKE AGUSWE AKAE NAE NDANI.
 
Nikuulize hilo swali wewe unaesapoti wanafunzi kupigwa mpaka kuuliwa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna mwalimu mwenye intention ya kuadhibu mtoto hadi kumsababishia kifo? Wewe hukuwahi adhibiwa ulipokuwa shule na kama jibu ni hapana,, je ulifariki?
Matukio yapo mengi tuu mengine ni wazazi kabisa wanasababisha death,, zingine coincidence tuu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mwalimu mwenye intention ya kuadhibu mtoto hadi kumsababishia kifo? Wewe hukuwahi adhibiwa ulipokuwa shule na kama jibu ni hapana,, je ulifariki?
Matukio yapo mengi tuu mengine ni wazazi kabisa wanasababisha death,, zingine coincidence tuu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna utetezi wowote utakaofaa kumtetea muuaji iwe bahati mbaya au makusudi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WALIMU CHAPENI VIBOKO MSIACHE VIBOKO, HUYO ALIEKUFA NI AJALI KAZINI.
VIBOKO VIBOKO VISIACHWE AISEE, HATUTAKI TAIFA LA VILAZA

KM KUNA MZAZI HATAKI MTOTO WAKE AGUSWE AKAE NAE NDANI.
Shule za feza hawachapi fimbo lakini ndyo wanaongoza kwenye mitihani kitaifa

Shule za kata fimbo mtindo mmoja lkn ndyo washika mikia kila mwaka

Sasa hpo vilaza wapo feza school au shule za kata?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mwalimu mwenye intention ya kuadhibu mtoto hadi kumsababishia kifo? Wewe hukuwahi adhibiwa ulipokuwa shule na kama jibu ni hapana,, je ulifariki?
Matukio yapo mengi tuu mengine ni wazazi kabisa wanasababisha death,, zingine coincidence tuu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasa, Waziri anasema marufuku, Bosi wake anashangaa kuona adhabu ya viboko ikiondolewa, kuna watu mnachangia humu wakati bado mpo kwa wazazi wenu, zaeni wenu harafu msiwachape hata kidogo mtakuws mmewasaidoa sana kwa maisha yao ya baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shule za feza hawachapi fimbo lakini ndyo wanaongoza kwenye mitihani kitaifa

Shule za kata fimbo mtindo mmoja lkn ndyo washika mikia kila mwaka

Sasa hpo vilaza wapo feza school au shule za kata?

Sent using Jamii Forums mobile app
sio kwamba watoto wa fedha wana akili sana kuliko hawa wa kata ila ni kwamba walimu wetu wa kata hawalipwi vizuri,mwalimu anadharaulika anakosa ile motisha na morali ya kukomaa na mwanao km ilivyo feza.
tatizo jingine shule za kata hazina learning facilities, ILA WATOTO WA SHULE ZA KATA NI VICHWA KULIKO HAO WA FEZA,NI USIMAMIZI TU NA KUJALI! ....
 
Back
Top Bottom