Aiseee[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kama kichwani kwako kuna ufahamu atakayekuwa na ushahidi ni mzazi wako tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kama kichwani kwako kuna ufahamu atakayekuwa na ushahidi ni mzazi wako tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani huyo ndio mwalimu unaempelekea mwanao afundishwe nidhamu
Umesahau hiii" mkiletewa taarifa ya kuwapo Kwa pair ( uhusiano WA kimapenzi) miongoni mwa wanafunz jikaushe jifanye hujui lolote hill litakusaisia kuepuka kucharaza Mtoto Wa mtu"Mwalimu kutoadhibu ni jambo linalowezekana kwa 100%
Fuatilia mwongozo huu: Mwalimu hakikisha umefika shule muda husika, simamia usafi na kama wanafunzi hawaonyeshi kushiriki kufanya usafi, tafadhali usishike kiboko. Mwalimu kumbuka muda wa vipindi ukifika hata kama mazingira ya shule ni machafu, wanafunzi waingie darasani tayari kwa masomo. Mwalimu fundisha kipindi chako kama mwongozo unavyoonesha, tafadhali usiwafuatilie wanafunzi wasioandika, kwani inaweza kuhamasisha hisia za kutoa adhabu ili kumjenga mwanafunzi husika. Mwalimu, daftari zikikusanywa kwa ajili ya kusahihisha, tafadhali usifuatilie kubaini wanafunzi wasiokusanya daftari kwani kubaini kwako kunaweza kupelekea kuwepo na mazingira yenye kuchochea adhabu.
Mwalimu wakati utakapoita majina, zingatia kuwa wale waliopo darasani kwa wakati huo ndiyo wanaokuhusu, hitaji lako la kutaka kujua mwanafunzi X ana tatizo gani la kutokuja shuleni linaweza kupelekea mazingira yatakayo chochea adhabu, kwani wanafunzi wenzie wakati mwingine watakupa jibu kuwa mwanafunzi X yupo maeneo ya chooni anacheza tu, hivyo jibu ili linaweza kupelekea mazingira ya adhabu. Mwalimu wangu, mara upatapo kesi za mwanafunzi X kuwa amepigana darasani au kutoa lugha chafu, tafadhali tumia neno moja tu kuwa "LUGHA ZA MATUSI SI NZURI " kisha mruhusu kurudi darasani ili kuepusha mazingira ya adhabu. Mwalimu wangu mzazi akikuletea kesi ya mtoto wake kuhusu tabia za nyumbani na hata mwenendo mbovu wa maendeleo yake darasani, tafadhali mueleze mzazi kuwa amalizane na mwanaye kwa namna inayofaa. Mwalimu wangu ukifuata muongozo huu, shutuma na jazba za wana wa nchi hii utaziepuka pia itakusaidia japo kurudisha mwili wako uliopukutika kwa kufuatilia watoto wasiokuhusu, nakutakia kazi njema mwalimu wangu.
Walimu mnashughulika na mambo ya ajabu kabisa.Umesahau hiii" mkiletewa taarifa ya kuwapo Kwa pair ( uhusiano WA kimapenzi) miongoni mwa wanafunz jikaushe jifanye hujui lolote hill litakusaisia kuepuka kucharaza Mtoto Wa mtu"
Bila viboko shuleni wanafunzi waadhibiwa academically (wataachwa wafeli tu) mwanafunzi bila kiboko haendi adhabu zengine ndo washaona kawaida tu mf. Adhabu ya kutoa visiki, nkWao wamekuzwa kwa viboko halafu wanajifanya watoto wao mayai yakiguswa yatapasuka.. waache na mayai viza yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watachapwa tuNaona walimu mnatafuta kila njia ili mpewe ruhusa ya kuwachapa km ng'ombe watoto, now jela inawahusu
Sent using Jamii Forums mobile app
JIPE MOYO. YAJAYO HAYATAKUFURAHISHA, NDUGU MWALIMU.
I'm not a facilitor guy!JIPE MOYO. YAJAYO HAYATAKUFURAHISHA, NDUGU MWALIMU.
LEO HII RESPICIUS PATRICK MTAZANGIRA ALIKUWA ANALIA NA KUMWAGA MACHOZI KWENYE VIUNGA VYA MAHAKAMA.
CHUNGA SANA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ngozi nyeusi haiwezi kufanya majukumu yake bila msukumo ni wachache sana wanaomudu kufanya bila msukumo....
NI BORA TUWAFUKUZE WOTE TUAJIRI WALIMU WAPYA AMBAO TOKA MWAKA 2015 WAPO MTAANI BILA KAZI.Taifa la Tanzania moja ya mambo yanayofanya tusipige hatua ni laana kutoka kwa walimu maana watu hawa wanapata matusi . kejeli kisa tu kuamua kuingia kwenye tasnia sasa karma hii itatulipa tu.
Na msubirie anguko kubwa la kimfumo shuleni maana walimu watazira wanafunzi hapo ndo mtagundua kuwa UALIMU NI WITO
Hivi ushafikiria ni kwanini mtoto akifika darasa la nne au tano ndio anaanza kuwa na nidhamu mbovu?Shida so kuchapa shida wanawaonea huruma wtoto wasipo chapwa kipi kitafata
Sent using Jamii Forums mobile app
hiii !!!, nahisi hata katiba huwaga hawasomiMwalimu fuata utaratibu kabla hujaingia matatizoni. View attachment 855826
Sent using Jamii Forums mobile app
UNAONAJE TUKAWARUSU WAKUU WA WILAYA WAWE WANAKAGUA MASHULE KISHA KUWATANDIKA WALIMU VIBOKO KUMI KUMI AMBAO WATABAINIKA KUFANYA UZEMBE KATIKA UFUNDISHAJI?Mkuu ngozi nyeusi haiwezi kufanya majukumu yake bila msukumo ni wachache sana wanaomudu kufanya bila msukumo....
Kama ndo wametoa viboko kabisa subiri uone poromoko la elimu mkuu
#viboko vinasaidia mashuleni
Sent using Jamii Forums mobile app