Mwalimu anayesubira ajira anabeba zege

Chillo97

JF-Expert Member
Jun 18, 2016
630
932
Wana jukwaa.

Nimejaribu kuvimilia hili kwa kuliweka mwoyoni ila nimeshindwa.
mimi ni kijana nimehitimu mwaka jana diploma ya uhandisi wa ujenzi (civil engineering) baada ya kuhitimu nimebahatika kufanya kazi katika makampuni binafsi na sasa taasisi ya kiserikali.

Katika shughuli zangu nimekutana na vijana vibarua ninaofanya nao kazi nikiwa kama msimamizi wao. Cha kushangaza kundi la vijana nilionao sasa kuna kijana mmoja ni muhitimu wa diploma ya ualimu.

Haikuwa rahisi kumtambua kama amehitimu ualimu mwaka jana lakini vijana wenzake anaofanya nao kibarua wamekuwa wakimtania kuwa yeye amesoma ualimu lakini anabeba zege pamoja nao ambao hawajaenda shule.

Utani huu nilipousikia mwanzo sikuitilia maanani lakinj nimeona ukizidi kila siku maana nimefanya nao kazi sasa wiki ya tatu.. nimefanya uchungunzi na kugundua kweli ni muhitimu wa diploma ya ualimu mwaka jana na baada ya kusubiri ajira bila mafanikio.

Ikumbukwe hata akijitolea katika shule hana posho ambazo walikuwa wanalipwa kwa michango ya wazazi sasa michango hiyo hakuna na shule haziwezi kuwamudu.

Imeniuma sana si kwa sababu anabeba zege na suruba za siku nzima juani lakikini kwa sababu ya elimu yake na watoto wa masikini tumekuwa tukikimbilia kada ya ualimu tukijua ndio yenye ajira ya uhakika...

najiuliza pia kwa kukata tamaa huku hata akiajiliwa kweli atakuwa na moyo wa kufundisha??

kimaadili imekaaje makundi ya vijana wa site mnawajua matusi ya midomoni na mambo mengine...je ataweza kuwapa elimu sitahiki watoto.

Serikali litazameni swala hili msidhani mnajenga. Manung'uniko walionayo walimu hawa ni sumu mbaya kwa elimu tunayotegemea waitoe hapo baadae kwa watoto na wodogo zetu.
 
Tatizo si kazi hata akipiga debe..
Tatizo ni baada ya hapo ataajiliwa na je kwa kazi hizi wataweza kuwa na maadili ya kiuwalimu??
 
Tena wito kwa vijana ambao bado wapo mashuleni.

Wasisome wakidhani ajira ni lazima kwao, sio hivyo mambo yamebadilika, na tunakokwenda hali inazidi kuwa mbaya, wasomi wenye sifa wanazidi mahitaji.

Na hakuna mtu wa kubadilisha hii hali isipokuwa wao wenyewe kubadili mtazamo.
 
sasa hapo tatizo ni nini? Unataka acheze pool huku akisubiri ajira za hii serikali ambayo haileweki malengo yake.
 
Wana jukwaa.

Nimejaribu kuvimilia hili kwa kuliweka mwoyoni ila nimeshindwa.
mimi ni kijana nimehitimu mwaka jana diploma ya uhandisi wa ujenzi (civil engineering) baada ya kuhitimu nimebahatika kufanya kazi katika makampuni binafsi na sasa taasisi ya kiserikali.

Katika shughuli zangu nimekutana na vijana vibarua ninaofanya nao kazi nikiwa kama msimamizi wao. Cha kushangaza kundi la vijana nilionao sasa kuna kijana mmoja ni muhitimu wa diploma ya ualimu. Haikuwa rahisi kumtambua kama amehitimu ualimu mwaka jana lakini vijana wenzake anaofanya nao kibarua wamekuwa wakimtania kuwa yeye amesoma ualimu lakini anabeba zege pamoja nao ambao hawajaenda shule. Utani huu nilipousikia mwanzo sikuitilia maanani lakinj nimeona ukizidi kila siku maana nimefanya nao kazi sasa wiki ya tatu.. nimefanya uchungunzi na kugundua kweli ni muhitimu wa diploma ya ualimu mwaka jana na baada ya kusubiri ajira bila mafanikio. Ikumbukwe hata akijitolea katika shule hana posho ambazo walikuwa wanalipwa kwa michango ya wazazi sasa michango hiyo hakuna na shule haziwezi kuwamudu.
Imeniuma sana si kwa sababu anabeba zege na suruba za siku nzima juani lakikini kwa sababu ya elimu yake na watoto wa masikini tumekuwa tukikimbilia kada ya ualimu tukijua ndio yenye ajira ya uhakika...
najiuliza pia kwa kukata tamaa huku hata akiajiliwa kweli atakuwa na moyo wa kufundisha??
kimaadili imekaaje makundi ya vijana wa site mnawajua matusi ya midomoni na mambo mengine...je ataweza kuwapa elimu sitahiki watoto.

Serikali litazameni swala hili msidhani mnajenga. Manung'uniko walionayo walimu hawa ni sumu mbaya kwa elimu tunayotegemea waitoe hapo baadae kwa watoto na wodogo zetu.
Huyu nae kakosa ajira?
3.jpg
 
MTAMKUMBUKA JK, kila intake alikuwa ana ajiri walimu wote na madakatar na watu wa kilimo! akapigwa vitaaaaa! sasa amepumzika, pambaneni na aliyepo! intake mbili tayari mko mtaani nani aajiriwe nani asiajiriwe! JK alikuwa mzungu wa roho kwakweli
 
Mtoto wakiume jitume...Mimi nimechoma sana mkaa,na kuuza na kuchanganya mchanga Wa tofali ...mpunga ndo mpango mzima
 
  • Thanks
Reactions: jmi
Wana jukwaa.

Nimejaribu kuvimilia hili kwa kuliweka mwoyoni ila nimeshindwa.
mimi ni kijana nimehitimu mwaka jana diploma ya uhandisi wa ujenzi (civil engineering) baada ya kuhitimu nimebahatika kufanya kazi katika makampuni binafsi na sasa taasisi ya kiserikali.

Katika shughuli zangu nimekutana na vijana vibarua ninaofanya nao kazi nikiwa kama msimamizi wao. Cha kushangaza kundi la vijana nilionao sasa kuna kijana mmoja ni muhitimu wa diploma ya ualimu. Haikuwa rahisi kumtambua kama amehitimu ualimu mwaka jana lakini vijana wenzake anaofanya nao kibarua wamekuwa wakimtania kuwa yeye amesoma ualimu lakini anabeba zege pamoja nao ambao hawajaenda shule. Utani huu nilipousikia mwanzo sikuitilia maanani lakinj nimeona ukizidi kila siku maana nimefanya nao kazi sasa wiki ya tatu.. nimefanya uchungunzi na kugundua kweli ni muhitimu wa diploma ya ualimu mwaka jana na baada ya kusubiri ajira bila mafanikio. Ikumbukwe hata akijitolea katika shule hana posho ambazo walikuwa wanalipwa kwa michango ya wazazi sasa michango hiyo hakuna na shule haziwezi kuwamudu.
Imeniuma sana si kwa sababu anabeba zege na suruba za siku nzima juani lakikini kwa sababu ya elimu yake na watoto wa masikini tumekuwa tukikimbilia kada ya ualimu tukijua ndio yenye ajira ya uhakika...
najiuliza pia kwa kukata tamaa huku hata akiajiliwa kweli atakuwa na moyo wa kufundisha??
kimaadili imekaaje makundi ya vijana wa site mnawajua matusi ya midomoni na mambo mengine...je ataweza kuwapa elimu sitahiki watoto.

Serikali litazameni swala hili msidhani mnajenga. Manung'uniko walionayo walimu hawa ni sumu mbaya kwa elimu tunayotegemea waitoe hapo baadae kwa watoto na wodogo zetu.
Hawa nao ni waalimu? Tatizo la wana ukawa hawataki kujituma.
d3ac3-img_7801.jpg
 
Hawa ni wanasiasa wanaofanya maigizo kwa wananchi ili waonekane na wao wamo ila baada ya hapo wenyewe wanajua kinachofuata ni wapuuzi Sana hawa jamaa.
mbona wanafunga renta kabisa maigizo gani tena mkuu? Ila Ikungi ni wilaya pekee shule zake hazina maabara sasa hiyo sayansi sijui watasomaje!
 
Watu wanachangia tuu bila kuwa na tafakuri ya kutosha!Unawezaje kutoa kauli hizo?Haya mambo yapo tu tokea Magufuli aingie madarakani!Kuna manesi wana mwaka sasa wako nyumbani tu wakati ajira za wauguzi zamani zilikuwa za uhakika!
 
Watu wanachangia tuu bila kuwa na tafakuri ya kutosha!Unawezaje kutoa kauli hizo?Haya mambo yapo tu tokea Magufuli aingie madarakani!Kuna manesi wana mwaka sasa wako nyumbani tu wakati ajira za wauguzi zamani zilikuwa za uhakika!

Kila kitu kina mwisho
 
Wengi wenu hamjui madhara ya mbeleni kwa hawa wahitimu ndio maana mnaona sawa tu
Acha waongezeke tena ziwe intake 3 mtaani ndiyo kitaeleweka
 
Back
Top Bottom