Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Na wewe post number 6000 umeiweka humu.Haya bana,mi nauogopa ubinadamu!
Hii thread ina bahati na hizo numbers naoa.
Na wewe post number 6000 umeiweka humu.Haya bana,mi nauogopa ubinadamu!
Zile za nanihii umezipataje.......hebu ni-PM nizikague
Ni hivi Plato, mi ni Kakie huyu binti kama kuna picha za nanihii , hebu nizipate!
Ntamchapaje !
Judgement hujaenda kumsifia Bishanga kaanzisha uzi jukwaa la siasa
Judgement hujaenda kumsifia Bishanga kaanzisha uzi jukwaa la siasa
Judgement hujaenda kumsifia Bishanga kaanzisha uzi jukwaa la siasa
Hata hivyo a na e zinakaribiana so Zomba na Zombe sawa tu
Judgement hujaenda kumsifia Bishanga kaanzisha uzi jukwaa la siasa
Nishapita huko mapema mara tu nilipotoka kupata cha usubui, nikavinjari pande hiyo nikakuta wewe huby wake umemsifia kama ilivyo ada!
Mie nikamsiriba.
Ngoja nahama jukwaa kwa hadi baadaeSasa hapo unamfanyia kazi mwanamme mwenzio na hiyo huku kwetu uswahilini ina jina lake, sitopenda nikuite hivyo.
Judgement hujaenda kumsifia Bishanga kaanzisha uzi jukwaa la siasa
Ngoja nahama jukwaa kwa hadi baadae
See u
Teh The secretary mbona unaleta tofauti zako na Bishanga kuwa juu aisee?
kama kakushinda njoo kwangu kwenye kisima cha raha