Aliyebakia ni Iran tu ili wazayuni watimize malengo yao

Aliyebakia ni Iran tu ili wazayuni watimize malengo yao

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
18,669
Reaction score
27,559
Hezbollah wa Lebanon wamenyamazishwa kimya.

Hamas kao lao limeangamizwa.

Syria imepinduliwa.

Houthis, US anawaangushia makombora mazito kila siku, muda sio mrefu wanajeshi 80,000 wa Yemen wanaopikwa huko Saudia watapelekwa kuitwaa Hodaida, ngome kuu ya Wahouthis na kuleta mwisho wao.

Qatar, UAE, Saudja, Misri, Kuwait, Oman, Iraq wote wameunga juhudi.

Tambua

Nje ya Iran hakuna taifa hapo mashariki ya kati lenye uwezo wa kuizuia Israeli. Sasa Iran inasongwa na Trump ili njia au sababu ya kuvamiwa kijeshi ipatikae ama zana zake ziangamizwe. Utawala wa Iran hakika utaangushwa na Wazayuni, ni jambo la muda tu. Biden, rais mstaafu wa Marekani alisema haitaji kuwa Myahudi ili uwe Mzayuni. Hivyo uzayuni ni harakati kubwa ambayo wengi hawajafikiri au kuhisi nguvu yao.

Ramani ya Israeli kuu

Mwaka jana Netanyahu waziri mkuu wa Israeli akiwa katika makao makuu ya umoja wa mataifa huko New york, alionesha ramani mpya ya Israeli ikiwa na mipaka ya kushangaza. Mipaka hiyo inabeba Palestina, Jordan, Lebanon, na sehemu kubwa za Iraqi, Syria, Misri, na Saudi Arabia. Zamani jambo hili lilionekana kama cospiracy theory lakini sasa sio tena njama bali harakati za wazi.

Mnamo tarehe 21 Septemba 2024, kitu cha kushangaza kilitokea. Lakini bado wengi hawakuona na kushangazwa.
Magari ya kivita ya Israeli yalivuka mpaka kwenda Syria na kuitwaa Golan yote ambayo nusu yake ilitwaliwa 1967 katika vita vya siku sita. Na wakadhibiti vijiji vya kando kando yake ambayo ni Ofaniya, Quneitra, al-Hamidiyah, Samdaniya al-Gharbiyya na al-Qahtaniyah hadi leo hivi.

Sio hivyo tu, pia walianza kuunda vizuizi katika mfumo wa mita 10 kwa upana na urefu wa mita 1,700. Na zaidi wakautwaa mlima Hermon ambao sehemu kubwa upo Syria na sehemu ndogo upo Lebanon. Hivyo wakamega na eneo la Lebanon kaskazini karibu na mpaka wa Syria. Vilevile wametwaa eneo la Lebanon kusini na Gaza. Kulingana na taarifa ya aljazeera hapo pichani ni kwamba hawatarudisha tena sehemu hizo.

Ramani ya Israeli kuu ni mpango wa muda mrefu

Toka taifa la Israeli limepata uhuru wake mnamo 1948 halijawahi kuonesha mipaka ya ardhi yake. Na hakuna kiongozi hata mmoja wa Israeli aliyekubali au kudai mipaka hii ya taifa lao la sasa ndio mipaka ya nchi yao.

Wakati wa mkutano wa kilele wa Kiarabu uliofanyika Cairo mnamo 1990, viongozi wa kiarabu walikusanyika pamoja juu ya hoja ya Israeli na Palestina. Rais wa Libya, Muammar al-Gaddafi, alisimama na kutoa vipande vichache vya karatasi.
Alimwendea kiongozi wa PLO, bwana Yasser Arafat, na akawasilisha kwake.
Arafat alichukua karatasi hizo, akapitia, na kisha akaziweka kando, akijiandaa kutoa hotuba. Ilikuwa wazi kwamba kile alichokiona kilikuwa kimemkasirisha sana. Aliwahutubia viongozi wa Kiislamu kwa hasira.

Hati hizi zilikuwa na ramani ya ardhi za Waarabu, iliyowekwa ndani ya mipaka ya pendekezo la Israeli - mbalo na mipaka inayofahamika leo. Badala yake, mipaka kwenye ramani hii ilijumuisha maeneo yote ya Palestina, Yordani, Lebanon, na sehemu kubwa za Syria, Iraqi, Saudi Arabia ya Kaskazini, na Misri. Kwa bahati mbaya, ramani hiyo hiyo ilionyeshwa kwenye mkutano wa AIPAC (American Israel Public Affairs Committee) mwaka mmoja uliopita.

Hati nyingine ilikuwa na picha ya sarafu ya Israeli iliyoandaliwa na picha ya ramani hii kubwa ya Israeli. Ramani hii, ambayo Yasser Arafat ilimkasirisha, inaonyesha Israeli kubwa kutoka mto Nile hadi Frati. Unaweza kuona kwenye picha hapo chini, inajumuisha sehemu kubwa za ardhi za Waarabu na, muhimu zaidi, inadhibiti rasilimali muhimu za kijiografia.

Netanyahu na Israeli kuu

Kutoka 1990 wakati wa mkutano wa Waarabu hadi Septemba 2024 ni miaka 34 ambayo Israeli imeongeza mipaka yake tena. Hivyo kile ambacho Gadaf alimwonesha Arafat mnamo 1990 kimethibitika.

Katika mkutano na waandishi wa habari mnamo 4 September 2024, Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, aliwasilisha ramani ambayo watu wanashtushwa nayo, kwa sababu ni ramani kubwa. Haiingii hata ndani ya mipaka ambayo Wapalestina wengine wameitaka kutoka 1967. Badala yake, inaenea katika nchi za jirani za Waarabu. Kitu ambacho watu zaidi wanapaswa kukipa kipaumbele ni mstari wa Netanyahu uliotajwa katika uwasilishaji wake. Akionyesha ramani, alisema,

"Hii ni Mashariki ya Kati, na huu ndio ulimwengu wote wa Kiarabu, na hii ni Israeli. Ni moja wapo ya nchi ndogo zaidi ulimwenguni. "Ninaipa, unajua, mtihani wa kidole gumba. Hii ni kubwa, kwa hivyo unahitaji kidole kikubwa. Lakini ni nchi ndogo. Ni moja wapo ya nchi ndogo kabisa kwenye sayari.
"Ni, nadhani moja ya kumi ya asilimia moja ya eneo la ulimwengu wa Kiarabu, labda nimekosea. Labda ni sehemu ya kumi ya asilimia moja. "....

Alisema mengi zaidi ya kushangaza. Unaweza rejea:

[https://www.gov.il/en/pages/pm-netanyahu-holds-press-conference-for-the-foreign-media-4-sep-2024]

Jambo alilokuwa akilisema hapo sio ukweli wa kawaida. Alikuwa akisisitiza kwamba Israeli inahitaji kupanuka katika ardhi za Kiarabu zinazozunguka ili iweze kuwa salama.

Mambo yapo wazi tu sasa. Ikiwa ungetafuta mtandaoni unaipata picha ya ramani hii inayoitwa Israeli kuu (greater Israeli). Kwa kweli, Waziri wa Fedha wa Israeli Bezalel Smotrich, mnamo Machi 2023, aliwasilisha ramani hii kubwa ya Israeli kwenye hotuba aliyoitoa huko Paris. Rejea:
https://www.timesofisrael.com/far-r...eclares-himself-his-family-real-palestinians/

Ramani hii pia inaonekana kwenye nembo rasmi za Israeli kama zile zilizoonyeshwa kwenye picha hapo chini. Huu ni mpango wa muda mrefu sana, angalia pia logo juu ya nguo za kijeshi za wanajeshi wa IDF utaona ramani hiyo.

Fikiria kitabu kilichoandikwa na Dennis Avi Lipkin kilichopewa jina la Return to Mecca, ambamo anajadili haki ambazo Wayahudi wanayo juu ya Makka na haki yao ya kurudi!. Katika mahojiano ya 2022, alisema,

"Mwishowe, mipaka yetu itaongezeka kutoka Lebanon hadi Jangwa Kuu, ambalo ni Saudi Arabia, na kisha kutoka Mediterania hadi Frati. Je! Ni nani aliye upande mwingine wa Frati? Wakurdi, Wakurdi ni marafiki wetu! "

Kisha akasema,

"Ninaamini tutachukua Makka, Madinah, na Mlima Sinai, na kutakasa maeneo hayo." Rejea


View: https://youtu.be/WERJ_xXhaeQ?si=E5KxFc7krmwuPGOT

Mark Fish, akiandika katika gazeti la Jerusalem post, alisema Lebanon ni sehemu ya ardhi ya Wayahdi kulingana na maandiko yao. Rejea;


Amos Azaria mtaaluma wa Israeli - ambaye ameanzisha harakati za wakaazi kusini mwa Lebanon - ameandika kitabu cha watoto kilichoitwa Alon and Lebanon, ambamo hadithi hiyo inawafundisha watoto kwamba Lebanon imeahidiwa kwa Israeli. Rejea:


Je Israeli kweli itatawala maeneo hayo yote kijeshi?

Hapana. Kuna aina tatu za mipaka ya Israeli.

Wakati Waziri Mkuu wa Israeli Shimon Peres alipoulizwa siku ya kusainiwa kwa mikataba ya Oslo, ni nini mipaka ya Israeli? Jibu lake lilikuwa ni aina tatu. Jibu la kushangaza kweli. Alisema kuna mipaka ya kijiografia ambayo itakubaliwa katika siku zijazo; mipaka ya usalama ambayo inaenea kuelekea ghuba; na mipaka ya kiuchumi ambayo inaenea zaidi ya hiyo.

Hii inatuambia kuwa Israeli kubwa haimaanishi kuwa askari wa IDF watakuwepo Lebanon, Jordan, au Makka, Iraq, Syria au kwamba utakuwa ni udhibiti wa Israeli unatolewa kwa nchi hizo zinazozunguka moja kwa moja.
Badala yake, ni juu ya kuwa na utawala wa kujipenyeza utakaotoa udhibiti kwa njia yoyote ambayo inaona inafaa na kufaidika na rasilimali. Ingawa watatwaa sehemu ya ardhi katika nchi kadha wa kadha lakini sehemu kubwa watadhibiti kwa kujipenyesha kama ambavyo wanavyoitawala Saudia kupitia ufalme wa hapo. Uthibitisho ni hakika. Na tunauona kwa MBS yaani crown prince wa Saudia naam Salman mama yake ni Myahudi. Prince huyu maarufu ameshawahi kuwaalika Wayahudi kutembelea Maka jambo ambalo linakatazwa na vitabu vya Waislamu. Zaidi amepiga maarufuku hotuba misikitini kuhusu ukombozi wa Palestina ama kunyanyua bendera ya Palestina au kuisemea Israeli vibaya, hukumu yake ni kifungo. Na ni maarufuku kwa mahujaj kusema free Palestina. Huoni jambo hili la Israeli kuu sio hadithi? Ni mambo yakushangaza kama nini.

Zingatia kabla ya Uislamu, ni Wayahudi ndio waliokuwa wanadhibiti uchumi wa Maka hadi Madina. Walikuwa karibu na makureshi. Ni Muhamad na Waislamu wake ndio waliowafukuza na kutaifisha mali zao. Bilashaka wamerejea kwa namna ambayo sio rahisi kuijua. Na kwasasa Ufalme wa Saudia umejimilikisha udhibiti wa Maka na Madina na nchi yote ya Hijazi, wanaweza kuzuia nchi yoyote kuja kuhiji Maka, kama walivyofanya juzi kwa kuzuia nchi 13 juu ya ibada ya hija. Lakini wamewakaribisha wanajeshi wa Marekani katika ardhi hiyo tukufu kwa mujibu wa Uislamu na kwa pamoja wakipanga njama za kuipindua Iran. Je hili jambo linaweza kuwa tu la bahati mbaya? sidhani maana katika siasa hakuna ajali.

Je ni nani hasa yupo nyuma ya haya yote? Ni "WAJESUITI" in the name of Jews.



FB_IMG_1744922283927.jpg
 
Hezbollah wa Lebanon wamenyamazishwa kimya.

Hamas kao lao limeangamizwa.

Syria imepinduliwa.

Houthis, US anawaangushia makombora mazito kila siku, muda sio mrefu wanajeshi 80,000 wa Yemen wanaopikwa huko Saudia watapelekwa kuitwaa Hodaida, ngome kuu ya Wahouthis na kuleta mwisho wao.

Qatar, UAE, Saudja, Misri, Kuwait, Oman, Iraq wote wameunga juhudi.

Tambua

Nje ya Iran hakuna taifa hapo mashariki ya kati lenye uwezo wa kuizuia Israeli. Sasa Iran inasongwa na Trump ili njia au sababu ya kuvamiwa kijeshi ipatikae ama zana zake ziangamizwe. Utawala wa Iran hakika utaangushwa na Wazayuni, ni jambo la muda tu. Biden, rais mstaafu wa Marekani alisema haitaji kuwa Myahudi ili uwe Mzayuni. Hivyo uzayuni ni harakati kubwa ambayo wengi hawajafikiri au kuhisi nguvu yao.

Ramani ya Israeli kuu

Mwaka jana Netanyahu waziri mkuu wa Israeli akiwa katika makao makuu ya umoja wa mataifa huko New york, alionesha ramani mpya ya Israeli ikiwa na mipaka ya kushangaza. Mipaka hiyo inabeba Palestina, Jordan, Lebanon, na sehemu kubwa za Iraqi, Syria, Misri, na Saudi Arabia. Zamani jambo hili lilionekana kama cospiracy theory lakini sasa sio tena njama bali harakati za wazi.

Mnamo tarehe 21 Septemba 2024, kitu cha kushangaza kilitokea. Lakini bado wengi hawakuona na kushangazwa.
Magari ya kivita ya Israeli yalivuka mpaka kwenda Syria na kuitwaa Golan yote ambayo nusu yake ilitwaliwa 1967 katika vita vya siku sita. Na wakadhibiti vijiji vya kando kando yake ambayo ni Ofaniya, Quneitra, al-Hamidiyah, Samdaniya al-Gharbiyya na al-Qahtaniyah hadi leo hivi.

Sio hivyo tu, pia walianza kuunda vizuizi katika mfumo wa mita 10 kwa upana na urefu wa mita 1,700. Na zaidi wakautwaa mlima Hermon ambao sehemu kubwa upo Syria na sehemu ndogo upo Lebanon. Hivyo wakamega na eneo la Lebanon kaskazini karibu na mpaka wa Syria. Vilevile wametwaa eneo la Lebanon kusini na Gaza. Kulingana na taarifa ya aljazeera hapo pichani ni kwamba hawatarudisha tena sehemu hizo.

Ramani ya Israeli kuu ni mpango wa muda mrefu

Toka taifa la Israeli limepata uhuru wake mnamo 1948 halijawahi kuonesha mipaka ya ardhi yake. Na hakuna kiongozi hata mmoja wa Israeli aliyekubali au kudai mipaka hii ya taifa lao la sasa ndio mipaka ya nchi yao.

Wakati wa mkutano wa kilele wa Kiarabu uliofanyika Cairo mnamo 1990, viongozi wa kiarabu walikusanyika pamoja juu ya hoja ya Israeli na Palestina. Rais wa Libya, Muammar al-Gaddafi, alisimama na kutoa vipande vichache vya karatasi.
Alimwendea kiongozi wa PLO, bwana Yasser Arafat, na akawasilisha kwake.
Arafat alichukua karatasi hizo, akapitia, na kisha akaziweka kando, akijiandaa kutoa hotuba. Ilikuwa wazi kwamba kile alichokiona kilikuwa kimemkasirisha sana. Aliwahutubia viongozi wa Kiislamu kwa hasira.

Hati hizi zilikuwa na ramani ya ardhi za Waarabu, iliyowekwa ndani ya mipaka ya pendekezo la Israeli - mbalo na mipaka inayofahamika leo. Badala yake, mipaka kwenye ramani hii ilijumuisha maeneo yote ya Palestina, Yordani, Lebanon, na sehemu kubwa za Syria, Iraqi, Saudi Arabia ya Kaskazini, na Misri. Kwa bahati mbaya, ramani hiyo hiyo ilionyeshwa kwenye mkutano wa AIPAC (American Israel Public Affairs Committee) mwaka mmoja uliopita.

Hati nyingine ilikuwa na picha ya sarafu ya Israeli iliyoandaliwa na picha ya ramani hii kubwa ya Israeli. Ramani hii, ambayo Yasser Arafat ilimkasirisha, inaonyesha Israeli kubwa kutoka mto Nile hadi Frati. Unaweza kuona kwenye picha hapo chini, inajumuisha sehemu kubwa za ardhi za Waarabu na, muhimu zaidi, inadhibiti rasilimali muhimu za kijiografia.

Netanyahu na Israeli kuu

Kutoka 1990 wakati wa mkutano wa Waarabu hadi Septemba 2024 ni miaka 34 ambayo Israeli imeongeza mipaka yake tena. Hivyo kile ambacho Gadaf alimwonesha Arafat mnamo 1990 kimethibitika.

Katika mkutano na waandishi wa habari mnamo 4 September 2024, Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, aliwasilisha ramani ambayo watu wanashtushwa nayo, kwa sababu ni ramani kubwa. Haiingii hata ndani ya mipaka ambayo Wapalestina wengine wameitaka kutoka 1967. Badala yake, inaenea katika nchi za jirani za Waarabu. Kitu ambacho watu zaidi wanapaswa kukipa kipaumbele ni mstari wa Netanyahu uliotajwa katika uwasilishaji wake. Akionyesha ramani, alisema,

"Hii ni Mashariki ya Kati, na huu ndio ulimwengu wote wa Kiarabu, na hii ni Israeli. Ni moja wapo ya nchi ndogo zaidi ulimwenguni. "Ninaipa, unajua, mtihani wa kidole gumba. Hii ni kubwa, kwa hivyo unahitaji kidole kikubwa. Lakini ni nchi ndogo. Ni moja wapo ya nchi ndogo kabisa kwenye sayari.
"Ni, nadhani moja ya kumi ya asilimia moja ya eneo la ulimwengu wa Kiarabu, labda nimekosea. Labda ni sehemu ya kumi ya asilimia moja. "....

Alisema mengi zaidi ya kushangaza. Unaweza rejea:

[https://www.gov.il/en/pages/pm-netanyahu-holds-press-conference-for-the-foreign-media-4-sep-2024]

Jambo alilokuwa akilisema hapo sio ukweli wa kawaida. Alikuwa akisisitiza kwamba Israeli inahitaji kupanuka katika ardhi za Kiarabu zinazozunguka ili iweze kuwa salama.

Mambo yapo wazi tu sasa. Ikiwa ungetafuta mtandaoni unaipata picha ya ramani hii inayoitwa Israeli kuu (greater Israeli). Kwa kweli, Waziri wa Fedha wa Israeli Bezalel Smotrich, mnamo Machi 2023, aliwasilisha ramani hii kubwa ya Israeli kwenye hotuba aliyoitoa huko Paris. Rejea:
https://www.timesofisrael.com/far-r...eclares-himself-his-family-real-palestinians/

Ramani hii pia inaonekana kwenye nembo rasmi za Israeli kama zile zilizoonyeshwa kwenye picha hapo chini. Huu ni mpango wa muda mrefu sana, angalia pia logo juu ya nguo za kijeshi za wanajeshi wa IDF utaona ramani hiyo.

Fikiria kitabu kilichoandikwa na Dennis Avi Lipkin kilichopewa jina la Return to Mecca, ambamo anajadili haki ambazo Wayahudi wanayo juu ya Makka na haki yao ya kurudi!. Katika mahojiano ya 2022, alisema,

"Mwishowe, mipaka yetu itaongezeka kutoka Lebanon hadi Jangwa Kuu, ambalo ni Saudi Arabia, na kisha kutoka Mediterania hadi Frati. Je! Ni nani aliye upande mwingine wa Frati? Wakurdi, Wakurdi ni marafiki wetu! "

Kisha akasema,

"Ninaamini tutachukua Makka, Madinah, na Mlima Sinai, na kutakasa maeneo hayo." Rejea


View: https://youtu.be/WERJ_xXhaeQ?si=E5KxFc7krmwuPGOT

Mark Fish, akiandika katika gazeti la Jerusalem post, alisema Lebanon ni sehemu ya ardhi ya Wayahdi kulingana na maandiko yao. Rejea;


Amos Azaria mtaaluma wa Israeli - ambaye ameanzisha harakati za wakaazi kusini mwa Lebanon - ameandika kitabu cha watoto kilichoitwa Alon and Lebanon, ambamo hadithi hiyo inawafundisha watoto kwamba Lebanon imeahidiwa kwa Israeli. Rejea:


Je Israeli kweli itatawala maeneo hayo yote kijeshi?

Hapana. Kuna aina tatu za mipaka ya Israeli.

Wakati Waziri Mkuu wa Israeli Shimon Peres alipoulizwa siku ya kusainiwa kwa mikataba ya Oslo, ni nini mipaka ya Israeli? Jibu lake lilikuwa ni aina tatu. Jibu la kushangaza kweli. Alisema kuna mipaka ya kijiografia ambayo itakubaliwa katika siku zijazo; mipaka ya usalama ambayo inaenea kuelekea ghuba; na mipaka ya kiuchumi ambayo inaenea zaidi ya hiyo.

Hii inatuambia kuwa Israeli kubwa haimaanishi kuwa askari wa IDF watakuwepo Lebanon, Jordan, au Makka, Iraq, Syria au kwamba utakuwa ni udhibiti wa Israeli unatolewa kwa nchi hizo zinazozunguka moja kwa moja.
Badala yake, ni juu ya kuwa na utawala wa kujipenyeza utakaotoa udhibiti kwa njia yoyote ambayo inaona inafaa na kufaidika na rasilimali. Ingawa watatwaa sehemu ya ardhi katika nchi kadha wa kadha lakini sehemu kubwa watadhibiti kwa kujipenyesha kama ambavyo wanavyoitawala Saudia kupitia ufalme wa hapo. Uthibitisho ni hakika. Na tunauona kwa MBS yaani crown prince wa Saudia naam Salman mama yake ni Myahudi. Prince huyu maarufu ameshawahi kuwaalika Wayahudi kutembelea Maka jambo ambalo linakatazwa na vitabu vya Waislamu. Zaidi amepiga maarufuku hotuba misikitini kuhusu ukombozi wa Palestina ama kunyanyua bendera ya Palestina au kuisemea Israeli vibaya, hukumu yake ni kifungo. Na ni maarufuku kwa mahujaj kusema free Palestina. Huoni jambo hili la Israeli kuu sio hadithi? Ni mambo yakushangaza kama nini.

Zingatia kabla ya Uislamu, ni Wayahudi ndio waliokuwa wanadhibiti uchumi wa Maka hadi Madina. Walikuwa karibu na makureshi. Ni Muhamad na Waislamu wake ndio waliowafukuza na kutaifisha mali zao. Bilashaka wamerejea kwa namna ambayo sio rahisi kuijua. Na kwasasa Ufalme wa Saudia umejimilikisha udhibiti wa Maka na Madina na nchi yote ya Hijazi, wanaweza kuzuia nchi yoyote kuja kuhiji Maka, kama walivyofanya juzi kwa kuzuia nchi 13 juu ya ibada ya hija. Lakini wamewakaribisha wanajeshi wa Marekani katika ardhi hiyo tukufu kwa mujibu wa Uislamu na kwa pamoja wakipanga njama za kuipindua Iran. Je hili jambo linaweza kuwa tu la bahati mbaya? sidhani maana katika siasa hakuna ajali.

Je ni nani hasa yupo nyuma ya haya yote? Ni "WAJESUITI" in the name of Jews.



View attachment 3307752
Hizo ni ndoto kwanza Hezbullah anaye kuambia imeisha huyo ni kichaa tu, tazama kabla ya vita kusimama Hezbullah alikuwa anacharaza Israel kila siku si chini ya Missiles 200 na drones si chini ya 10 afu mnasema imekwisha 😄 🤣

Hamasi bado sana mpaa Israel aje awashinde ni ndoto tu anazo ota Trump.na Shetanyahu

Syria ya leo ni hatari kuliko ya Syria ya Bashar Al Asad, time itaongea.

Yemen, US anaota kama atamshinda Yemen, hao pro UAE waliopo Aden hawawezi kupigana na Al Houthi hata siku moja, pia hawana support kubwa wengi Wayemen wako na Al Houthi
 
Hizo ni ndoto kwanza Hezbullah anaye kuambia imeisha huyo ni kichaa tu, tazama kabla ya vita kusimama Hezbullah alikuwa anacharaza Israel kila siku si chini ya Missiles 200 na drones si chini ya 10 afu mnasema imekwisha 😄 🤣

Hamasi bado sana mpaa Israel aje awashinde ni ndoto tu anazo ota Trump.na Shetanyahu

Syria ya leo ni hatari kuliko ya Syria ya Bashar Al Asad, time itaongea.

Yemen, US anaota kama atamshinda Yemen, hao pro UAE waliopo Aden hawawezi kupigana na Al Houthi hata siku moja, pia hawana support kubwa wengi Wayemen wako na Al Houthi
Pumbavu jingine hili hapa livaa pedo?
, kobazi wahed
 
Kati ya watu nawaonea huruma ni hao Hizbullah, waliutafuta ugomvi Kwa nguvu zote Leo hii hata kurusha Jiwe ndani ya Israel hawawezi na ikitokea Jiwe limerushwa watakimbilia kwenye vyombo vya habari kukanusha Ili wasipigwe mbaya zaidi na uongozi wao wa juu wote umeteketea.

Imagine Toka waingie makubaliano na Israel ya kusitisha vita karibu wanamgambo wao 120 wamesha left hii dunia huku wakiwa hawana uwezo wa kujibu wanatia huruma kwakweli
 
Hezbollah wa Lebanon wamenyamazishwa kimya.

Hamas kao lao limeangamizwa.

Syria imepinduliwa.

Houthis, US anawaangushia makombora mazito kila siku, muda sio mrefu wanajeshi 80,000 wa Yemen wanaopikwa huko Saudia watapelekwa kuitwaa Hodaida, ngome kuu ya Wahouthis na kuleta mwisho wao.

Qatar, UAE, Saudja, Misri, Kuwait, Oman, Iraq wote wameunga juhudi.

Tambua

Nje ya Iran hakuna taifa hapo mashariki ya kati lenye uwezo wa kuizuia Israeli. Sasa Iran inasongwa na Trump ili njia au sababu ya kuvamiwa kijeshi ipatikae ama zana zake ziangamizwe. Utawala wa Iran hakika utaangushwa na Wazayuni, ni jambo la muda tu. Biden, rais mstaafu wa Marekani alisema haitaji kuwa Myahudi ili uwe Mzayuni. Hivyo uzayuni ni harakati kubwa ambayo wengi hawajafikiri au kuhisi nguvu yao.

Ramani ya Israeli kuu

Mwaka jana Netanyahu waziri mkuu wa Israeli akiwa katika makao makuu ya umoja wa mataifa huko New york, alionesha ramani mpya ya Israeli ikiwa na mipaka ya kushangaza. Mipaka hiyo inabeba Palestina, Jordan, Lebanon, na sehemu kubwa za Iraqi, Syria, Misri, na Saudi Arabia. Zamani jambo hili lilionekana kama cospiracy theory lakini sasa sio tena njama bali harakati za wazi.

Mnamo tarehe 21 Septemba 2024, kitu cha kushangaza kilitokea. Lakini bado wengi hawakuona na kushangazwa.
Magari ya kivita ya Israeli yalivuka mpaka kwenda Syria na kuitwaa Golan yote ambayo nusu yake ilitwaliwa 1967 katika vita vya siku sita. Na wakadhibiti vijiji vya kando kando yake ambayo ni Ofaniya, Quneitra, al-Hamidiyah, Samdaniya al-Gharbiyya na al-Qahtaniyah hadi leo hivi.

Sio hivyo tu, pia walianza kuunda vizuizi katika mfumo wa mita 10 kwa upana na urefu wa mita 1,700. Na zaidi wakautwaa mlima Hermon ambao sehemu kubwa upo Syria na sehemu ndogo upo Lebanon. Hivyo wakamega na eneo la Lebanon kaskazini karibu na mpaka wa Syria. Vilevile wametwaa eneo la Lebanon kusini na Gaza. Kulingana na taarifa ya aljazeera hapo pichani ni kwamba hawatarudisha tena sehemu hizo.

Ramani ya Israeli kuu ni mpango wa muda mrefu

Toka taifa la Israeli limepata uhuru wake mnamo 1948 halijawahi kuonesha mipaka ya ardhi yake. Na hakuna kiongozi hata mmoja wa Israeli aliyekubali au kudai mipaka hii ya taifa lao la sasa ndio mipaka ya nchi yao.

Wakati wa mkutano wa kilele wa Kiarabu uliofanyika Cairo mnamo 1990, viongozi wa kiarabu walikusanyika pamoja juu ya hoja ya Israeli na Palestina. Rais wa Libya, Muammar al-Gaddafi, alisimama na kutoa vipande vichache vya karatasi.
Alimwendea kiongozi wa PLO, bwana Yasser Arafat, na akawasilisha kwake.
Arafat alichukua karatasi hizo, akapitia, na kisha akaziweka kando, akijiandaa kutoa hotuba. Ilikuwa wazi kwamba kile alichokiona kilikuwa kimemkasirisha sana. Aliwahutubia viongozi wa Kiislamu kwa hasira.

Hati hizi zilikuwa na ramani ya ardhi za Waarabu, iliyowekwa ndani ya mipaka ya pendekezo la Israeli - mbalo na mipaka inayofahamika leo. Badala yake, mipaka kwenye ramani hii ilijumuisha maeneo yote ya Palestina, Yordani, Lebanon, na sehemu kubwa za Syria, Iraqi, Saudi Arabia ya Kaskazini, na Misri. Kwa bahati mbaya, ramani hiyo hiyo ilionyeshwa kwenye mkutano wa AIPAC (American Israel Public Affairs Committee) mwaka mmoja uliopita.

Hati nyingine ilikuwa na picha ya sarafu ya Israeli iliyoandaliwa na picha ya ramani hii kubwa ya Israeli. Ramani hii, ambayo Yasser Arafat ilimkasirisha, inaonyesha Israeli kubwa kutoka mto Nile hadi Frati. Unaweza kuona kwenye picha hapo chini, inajumuisha sehemu kubwa za ardhi za Waarabu na, muhimu zaidi, inadhibiti rasilimali muhimu za kijiografia.

Netanyahu na Israeli kuu

Kutoka 1990 wakati wa mkutano wa Waarabu hadi Septemba 2024 ni miaka 34 ambayo Israeli imeongeza mipaka yake tena. Hivyo kile ambacho Gadaf alimwonesha Arafat mnamo 1990 kimethibitika.

Katika mkutano na waandishi wa habari mnamo 4 September 2024, Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, aliwasilisha ramani ambayo watu wanashtushwa nayo, kwa sababu ni ramani kubwa. Haiingii hata ndani ya mipaka ambayo Wapalestina wengine wameitaka kutoka 1967. Badala yake, inaenea katika nchi za jirani za Waarabu. Kitu ambacho watu zaidi wanapaswa kukipa kipaumbele ni mstari wa Netanyahu uliotajwa katika uwasilishaji wake. Akionyesha ramani, alisema,

"Hii ni Mashariki ya Kati, na huu ndio ulimwengu wote wa Kiarabu, na hii ni Israeli. Ni moja wapo ya nchi ndogo zaidi ulimwenguni. "Ninaipa, unajua, mtihani wa kidole gumba. Hii ni kubwa, kwa hivyo unahitaji kidole kikubwa. Lakini ni nchi ndogo. Ni moja wapo ya nchi ndogo kabisa kwenye sayari.
"Ni, nadhani moja ya kumi ya asilimia moja ya eneo la ulimwengu wa Kiarabu, labda nimekosea. Labda ni sehemu ya kumi ya asilimia moja. "....

Alisema mengi zaidi ya kushangaza. Unaweza rejea:

[https://www.gov.il/en/pages/pm-netanyahu-holds-press-conference-for-the-foreign-media-4-sep-2024]

Jambo alilokuwa akilisema hapo sio ukweli wa kawaida. Alikuwa akisisitiza kwamba Israeli inahitaji kupanuka katika ardhi za Kiarabu zinazozunguka ili iweze kuwa salama.

Mambo yapo wazi tu sasa. Ikiwa ungetafuta mtandaoni unaipata picha ya ramani hii inayoitwa Israeli kuu (greater Israeli). Kwa kweli, Waziri wa Fedha wa Israeli Bezalel Smotrich, mnamo Machi 2023, aliwasilisha ramani hii kubwa ya Israeli kwenye hotuba aliyoitoa huko Paris. Rejea:
https://www.timesofisrael.com/far-r...eclares-himself-his-family-real-palestinians/

Ramani hii pia inaonekana kwenye nembo rasmi za Israeli kama zile zilizoonyeshwa kwenye picha hapo chini. Huu ni mpango wa muda mrefu sana, angalia pia logo juu ya nguo za kijeshi za wanajeshi wa IDF utaona ramani hiyo.

Fikiria kitabu kilichoandikwa na Dennis Avi Lipkin kilichopewa jina la Return to Mecca, ambamo anajadili haki ambazo Wayahudi wanayo juu ya Makka na haki yao ya kurudi!. Katika mahojiano ya 2022, alisema,

"Mwishowe, mipaka yetu itaongezeka kutoka Lebanon hadi Jangwa Kuu, ambalo ni Saudi Arabia, na kisha kutoka Mediterania hadi Frati. Je! Ni nani aliye upande mwingine wa Frati? Wakurdi, Wakurdi ni marafiki wetu! "

Kisha akasema,

"Ninaamini tutachukua Makka, Madinah, na Mlima Sinai, na kutakasa maeneo hayo." Rejea


View: https://youtu.be/WERJ_xXhaeQ?si=E5KxFc7krmwuPGOT

Mark Fish, akiandika katika gazeti la Jerusalem post, alisema Lebanon ni sehemu ya ardhi ya Wayahdi kulingana na maandiko yao. Rejea;


Amos Azaria mtaaluma wa Israeli - ambaye ameanzisha harakati za wakaazi kusini mwa Lebanon - ameandika kitabu cha watoto kilichoitwa Alon and Lebanon, ambamo hadithi hiyo inawafundisha watoto kwamba Lebanon imeahidiwa kwa Israeli. Rejea:


Je Israeli kweli itatawala maeneo hayo yote kijeshi?

Hapana. Kuna aina tatu za mipaka ya Israeli.

Wakati Waziri Mkuu wa Israeli Shimon Peres alipoulizwa siku ya kusainiwa kwa mikataba ya Oslo, ni nini mipaka ya Israeli? Jibu lake lilikuwa ni aina tatu. Jibu la kushangaza kweli. Alisema kuna mipaka ya kijiografia ambayo itakubaliwa katika siku zijazo; mipaka ya usalama ambayo inaenea kuelekea ghuba; na mipaka ya kiuchumi ambayo inaenea zaidi ya hiyo.

Hii inatuambia kuwa Israeli kubwa haimaanishi kuwa askari wa IDF watakuwepo Lebanon, Jordan, au Makka, Iraq, Syria au kwamba utakuwa ni udhibiti wa Israeli unatolewa kwa nchi hizo zinazozunguka moja kwa moja.
Badala yake, ni juu ya kuwa na utawala wa kujipenyeza utakaotoa udhibiti kwa njia yoyote ambayo inaona inafaa na kufaidika na rasilimali. Ingawa watatwaa sehemu ya ardhi katika nchi kadha wa kadha lakini sehemu kubwa watadhibiti kwa kujipenyesha kama ambavyo wanavyoitawala Saudia kupitia ufalme wa hapo. Uthibitisho ni hakika. Na tunauona kwa MBS yaani crown prince wa Saudia naam Salman mama yake ni Myahudi. Prince huyu maarufu ameshawahi kuwaalika Wayahudi kutembelea Maka jambo ambalo linakatazwa na vitabu vya Waislamu. Zaidi amepiga maarufuku hotuba misikitini kuhusu ukombozi wa Palestina ama kunyanyua bendera ya Palestina au kuisemea Israeli vibaya, hukumu yake ni kifungo. Na ni maarufuku kwa mahujaj kusema free Palestina. Huoni jambo hili la Israeli kuu sio hadithi? Ni mambo yakushangaza kama nini.

Zingatia kabla ya Uislamu, ni Wayahudi ndio waliokuwa wanadhibiti uchumi wa Maka hadi Madina. Walikuwa karibu na makureshi. Ni Muhamad na Waislamu wake ndio waliowafukuza na kutaifisha mali zao. Bilashaka wamerejea kwa namna ambayo sio rahisi kuijua. Na kwasasa Ufalme wa Saudia umejimilikisha udhibiti wa Maka na Madina na nchi yote ya Hijazi, wanaweza kuzuia nchi yoyote kuja kuhiji Maka, kama walivyofanya juzi kwa kuzuia nchi 13 juu ya ibada ya hija. Lakini wamewakaribisha wanajeshi wa Marekani katika ardhi hiyo tukufu kwa mujibu wa Uislamu na kwa pamoja wakipanga njama za kuipindua Iran. Je hili jambo linaweza kuwa tu la bahati mbaya? sidhani maana katika siasa hakuna ajali.

Je ni nani hasa yupo nyuma ya haya yote? Ni "WAJESUITI" in the name of Jews.



View attachment 3307752

Habari ndefu sana lakini haina uhakika ni maneno tu ambayo hayana uhakika, Maneno kama hayo hayana udhibitisho nimefatilia hizo link lakini zimekuwa hazikidhi haja nyingi zinaishia hewani tu. Binafsi siamini porojo hizo!!
 
Hezbollah wa Lebanon wamenyamazishwa kimya.

Hamas kao lao limeangamizwa.

Syria imepinduliwa.

Houthis, US anawaangushia makombora mazito kila siku, muda sio mrefu wanajeshi 80,000 wa Yemen wanaopikwa huko Saudia watapelekwa kuitwaa Hodaida, ngome kuu ya Wahouthis na kuleta mwisho wao.

Qatar, UAE, Saudja, Misri, Kuwait, Oman, Iraq wote wameunga juhudi.

Tambua

Nje ya Iran hakuna taifa hapo mashariki ya kati lenye uwezo wa kuizuia Israeli. Sasa Iran inasongwa na Trump ili njia au sababu ya kuvamiwa kijeshi ipatikae ama zana zake ziangamizwe. Utawala wa Iran hakika utaangushwa na Wazayuni, ni jambo la muda tu. Biden, rais mstaafu wa Marekani alisema haitaji kuwa Myahudi ili uwe Mzayuni. Hivyo uzayuni ni harakati kubwa ambayo wengi hawajafikiri au kuhisi nguvu yao.

Ramani ya Israeli kuu

Mwaka jana Netanyahu waziri mkuu wa Israeli akiwa katika makao makuu ya umoja wa mataifa huko New york, alionesha ramani mpya ya Israeli ikiwa na mipaka ya kushangaza. Mipaka hiyo inabeba Palestina, Jordan, Lebanon, na sehemu kubwa za Iraqi, Syria, Misri, na Saudi Arabia. Zamani jambo hili lilionekana kama cospiracy theory lakini sasa sio tena njama bali harakati za wazi.

Mnamo tarehe 21 Septemba 2024, kitu cha kushangaza kilitokea. Lakini bado wengi hawakuona na kushangazwa.
Magari ya kivita ya Israeli yalivuka mpaka kwenda Syria na kuitwaa Golan yote ambayo nusu yake ilitwaliwa 1967 katika vita vya siku sita. Na wakadhibiti vijiji vya kando kando yake ambayo ni Ofaniya, Quneitra, al-Hamidiyah, Samdaniya al-Gharbiyya na al-Qahtaniyah hadi leo hivi.

Sio hivyo tu, pia walianza kuunda vizuizi katika mfumo wa mita 10 kwa upana na urefu wa mita 1,700. Na zaidi wakautwaa mlima Hermon ambao sehemu kubwa upo Syria na sehemu ndogo upo Lebanon. Hivyo wakamega na eneo la Lebanon kaskazini karibu na mpaka wa Syria. Vilevile wametwaa eneo la Lebanon kusini na Gaza. Kulingana na taarifa ya aljazeera hapo pichani ni kwamba hawatarudisha tena sehemu hizo.

Ramani ya Israeli kuu ni mpango wa muda mrefu

Toka taifa la Israeli limepata uhuru wake mnamo 1948 halijawahi kuonesha mipaka ya ardhi yake. Na hakuna kiongozi hata mmoja wa Israeli aliyekubali au kudai mipaka hii ya taifa lao la sasa ndio mipaka ya nchi yao.

Wakati wa mkutano wa kilele wa Kiarabu uliofanyika Cairo mnamo 1990, viongozi wa kiarabu walikusanyika pamoja juu ya hoja ya Israeli na Palestina. Rais wa Libya, Muammar al-Gaddafi, alisimama na kutoa vipande vichache vya karatasi.
Alimwendea kiongozi wa PLO, bwana Yasser Arafat, na akawasilisha kwake.
Arafat alichukua karatasi hizo, akapitia, na kisha akaziweka kando, akijiandaa kutoa hotuba. Ilikuwa wazi kwamba kile alichokiona kilikuwa kimemkasirisha sana. Aliwahutubia viongozi wa Kiislamu kwa hasira.

Hati hizi zilikuwa na ramani ya ardhi za Waarabu, iliyowekwa ndani ya mipaka ya pendekezo la Israeli - mbalo na mipaka inayofahamika leo. Badala yake, mipaka kwenye ramani hii ilijumuisha maeneo yote ya Palestina, Yordani, Lebanon, na sehemu kubwa za Syria, Iraqi, Saudi Arabia ya Kaskazini, na Misri. Kwa bahati mbaya, ramani hiyo hiyo ilionyeshwa kwenye mkutano wa AIPAC (American Israel Public Affairs Committee) mwaka mmoja uliopita.

Hati nyingine ilikuwa na picha ya sarafu ya Israeli iliyoandaliwa na picha ya ramani hii kubwa ya Israeli. Ramani hii, ambayo Yasser Arafat ilimkasirisha, inaonyesha Israeli kubwa kutoka mto Nile hadi Frati. Unaweza kuona kwenye picha hapo chini, inajumuisha sehemu kubwa za ardhi za Waarabu na, muhimu zaidi, inadhibiti rasilimali muhimu za kijiografia.

Netanyahu na Israeli kuu

Kutoka 1990 wakati wa mkutano wa Waarabu hadi Septemba 2024 ni miaka 34 ambayo Israeli imeongeza mipaka yake tena. Hivyo kile ambacho Gadaf alimwonesha Arafat mnamo 1990 kimethibitika.

Katika mkutano na waandishi wa habari mnamo 4 September 2024, Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, aliwasilisha ramani ambayo watu wanashtushwa nayo, kwa sababu ni ramani kubwa. Haiingii hata ndani ya mipaka ambayo Wapalestina wengine wameitaka kutoka 1967. Badala yake, inaenea katika nchi za jirani za Waarabu. Kitu ambacho watu zaidi wanapaswa kukipa kipaumbele ni mstari wa Netanyahu uliotajwa katika uwasilishaji wake. Akionyesha ramani, alisema,

"Hii ni Mashariki ya Kati, na huu ndio ulimwengu wote wa Kiarabu, na hii ni Israeli. Ni moja wapo ya nchi ndogo zaidi ulimwenguni. "Ninaipa, unajua, mtihani wa kidole gumba. Hii ni kubwa, kwa hivyo unahitaji kidole kikubwa. Lakini ni nchi ndogo. Ni moja wapo ya nchi ndogo kabisa kwenye sayari.
"Ni, nadhani moja ya kumi ya asilimia moja ya eneo la ulimwengu wa Kiarabu, labda nimekosea. Labda ni sehemu ya kumi ya asilimia moja. "....

Alisema mengi zaidi ya kushangaza. Unaweza rejea:

[https://www.gov.il/en/pages/pm-netanyahu-holds-press-conference-for-the-foreign-media-4-sep-2024]

Jambo alilokuwa akilisema hapo sio ukweli wa kawaida. Alikuwa akisisitiza kwamba Israeli inahitaji kupanuka katika ardhi za Kiarabu zinazozunguka ili iweze kuwa salama.

Mambo yapo wazi tu sasa. Ikiwa ungetafuta mtandaoni unaipata picha ya ramani hii inayoitwa Israeli kuu (greater Israeli). Kwa kweli, Waziri wa Fedha wa Israeli Bezalel Smotrich, mnamo Machi 2023, aliwasilisha ramani hii kubwa ya Israeli kwenye hotuba aliyoitoa huko Paris. Rejea:
https://www.timesofisrael.com/far-r...eclares-himself-his-family-real-palestinians/

Ramani hii pia inaonekana kwenye nembo rasmi za Israeli kama zile zilizoonyeshwa kwenye picha hapo chini. Huu ni mpango wa muda mrefu sana, angalia pia logo juu ya nguo za kijeshi za wanajeshi wa IDF utaona ramani hiyo.

Fikiria kitabu kilichoandikwa na Dennis Avi Lipkin kilichopewa jina la Return to Mecca, ambamo anajadili haki ambazo Wayahudi wanayo juu ya Makka na haki yao ya kurudi!. Katika mahojiano ya 2022, alisema,

"Mwishowe, mipaka yetu itaongezeka kutoka Lebanon hadi Jangwa Kuu, ambalo ni Saudi Arabia, na kisha kutoka Mediterania hadi Frati. Je! Ni nani aliye upande mwingine wa Frati? Wakurdi, Wakurdi ni marafiki wetu! "

Kisha akasema,

"Ninaamini tutachukua Makka, Madinah, na Mlima Sinai, na kutakasa maeneo hayo." Rejea


View: https://youtu.be/WERJ_xXhaeQ?si=E5KxFc7krmwuPGOT

Mark Fish, akiandika katika gazeti la Jerusalem post, alisema Lebanon ni sehemu ya ardhi ya Wayahdi kulingana na maandiko yao. Rejea;


Amos Azaria mtaaluma wa Israeli - ambaye ameanzisha harakati za wakaazi kusini mwa Lebanon - ameandika kitabu cha watoto kilichoitwa Alon and Lebanon, ambamo hadithi hiyo inawafundisha watoto kwamba Lebanon imeahidiwa kwa Israeli. Rejea:


Je Israeli kweli itatawala maeneo hayo yote kijeshi?

Hapana. Kuna aina tatu za mipaka ya Israeli.

Wakati Waziri Mkuu wa Israeli Shimon Peres alipoulizwa siku ya kusainiwa kwa mikataba ya Oslo, ni nini mipaka ya Israeli? Jibu lake lilikuwa ni aina tatu. Jibu la kushangaza kweli. Alisema kuna mipaka ya kijiografia ambayo itakubaliwa katika siku zijazo; mipaka ya usalama ambayo inaenea kuelekea ghuba; na mipaka ya kiuchumi ambayo inaenea zaidi ya hiyo.

Hii inatuambia kuwa Israeli kubwa haimaanishi kuwa askari wa IDF watakuwepo Lebanon, Jordan, au Makka, Iraq, Syria au kwamba utakuwa ni udhibiti wa Israeli unatolewa kwa nchi hizo zinazozunguka moja kwa moja.
Badala yake, ni juu ya kuwa na utawala wa kujipenyeza utakaotoa udhibiti kwa njia yoyote ambayo inaona inafaa na kufaidika na rasilimali. Ingawa watatwaa sehemu ya ardhi katika nchi kadha wa kadha lakini sehemu kubwa watadhibiti kwa kujipenyesha kama ambavyo wanavyoitawala Saudia kupitia ufalme wa hapo. Uthibitisho ni hakika. Na tunauona kwa MBS yaani crown prince wa Saudia naam Salman mama yake ni Myahudi. Prince huyu maarufu ameshawahi kuwaalika Wayahudi kutembelea Maka jambo ambalo linakatazwa na vitabu vya Waislamu. Zaidi amepiga maarufuku hotuba misikitini kuhusu ukombozi wa Palestina ama kunyanyua bendera ya Palestina au kuisemea Israeli vibaya, hukumu yake ni kifungo. Na ni maarufuku kwa mahujaj kusema free Palestina. Huoni jambo hili la Israeli kuu sio hadithi? Ni mambo yakushangaza kama nini.

Zingatia kabla ya Uislamu, ni Wayahudi ndio waliokuwa wanadhibiti uchumi wa Maka hadi Madina. Walikuwa karibu na makureshi. Ni Muhamad na Waislamu wake ndio waliowafukuza na kutaifisha mali zao. Bilashaka wamerejea kwa namna ambayo sio rahisi kuijua. Na kwasasa Ufalme wa Saudia umejimilikisha udhibiti wa Maka na Madina na nchi yote ya Hijazi, wanaweza kuzuia nchi yoyote kuja kuhiji Maka, kama walivyofanya juzi kwa kuzuia nchi 13 juu ya ibada ya hija. Lakini wamewakaribisha wanajeshi wa Marekani katika ardhi hiyo tukufu kwa mujibu wa Uislamu na kwa pamoja wakipanga njama za kuipindua Iran. Je hili jambo linaweza kuwa tu la bahati mbaya? sidhani maana katika siasa hakuna ajali.

Je ni nani hasa yupo nyuma ya haya yote? Ni "WAJESUITI" in the name of Jews.



View attachment 3307752

Saudia kumekucha

View: https://youtu.be/NEhu4LoVIT8?si=FshyEmES890vo78w
 
Habari ndefu sana lakini haina uhakika ni maneno tu ambayo hayana uhakika, Maneno kama hayo hayana udhibitisho nimefatilia hizo link lakini zimekuwa hazikidhi haja nyingi zinaishia hewani tu. Binafsi siamini porojo hizo!!
Kama ww pia Umeshtuka nani tena ataaamini Ujinga ule lkn jamaaa kanyoosha maneno vizuli !!!

Israel tunaona pia kwamacho yetu inatamaaa kubwa ya Ardhi za wengine kote Lebanon Syria Jordan apo Palestina na silaha yake kubwa watu wanaogoma kunyang,anywa Ardhi zao uwavalisha vazi la Ugaid kupitia MEDIA zao !!!!

ndio mana UN mala hii imegoma kutumika imesimamia Ukweli tu.

Dunia pia imeshawashtukia lengo lao ndio mana tunaona maandamano kila kona kuwapinga Israel ,,

nyinyi tu ndio mnajitoa Akili Lebanon ni cristian wale pia amuwaurumii mnajua kabisa kama si hezbollah kuwepo pale taifa linaenda kubebwa asubui tu mbaya zaid Israel ni mpinga Kristo...

Badala muwe upande wa kutetea ukristo wenu nyinyi mnaangaika na zayuni wanaounga mkono Ushoga.
 
Kama ww pia Umeshtuka nani tena ataaamini Ujinga ule lkn jamaaa kanyoosha maneno vizuli !!!

Israel tunaona pia kwamacho yetu inatamaaa kubwa ya Ardhi za wengine kote Lebanon Syria Jordan apo Palestina na silaha yake kubwa watu wanaogoma kunyang,anywa Ardhi zao uwavalisha vazi la Ugaid kupitia MEDIA zao !!!!

ndio mana UN mala hii imegoma kutumika imesimamia Ukweli tu.

Dunia pia imeshawashtukia lengo lao ndio mana tunaona maandamano kila kona kuwapinga Israel ,,

nyinyi tu ndio mnajitoa Akili Lebanon ni cristian wale pia amuwaurumii mnajua kabisa kama si hezbollah kuwepo pale taifa linaenda kubebwa asubui tu mbaya zaid Israel ni mpinga Kristo...

Badala muwe upande wa kutetea ukristo wenu nyinyi mnaangaika na zayuni wanaounga mkono Ushoga.
Endelea kubwabwaja kutetea magaidi!!
 
Hakika mleta mada kaongea mambo makubwa, kusema kweli myahudi ushawishi wa hali ya juu, kwakutumia akili kubwa na intelijensia yake,binafsi uwa bado nashangaa na kujiuliza inakuwaje waarabu na wingi wao wote,wanashindwa kumsaidia mpalestina kwa namna yoyote ile!!!,,badala yake Iran ndo inasaidia kwa kiasi fulani (kumbuka Iran haijinasibu na waarabu na wao wanajiona hivyo),,
Kibaya zaidi Saudi Arabia imeingiliwa sasa na inatumia as a tool ya wayahudi dhidi ya wapalestina na wengine,hii ni hatari, kumbuka Saudia pia ndo kitovu cha dini pendwa (Islam),!!,,
Israeli haitaweza kutwaa maeneo ili kutengeneza great Israeli,lkn hofu yangu ni kwamba yaweza pandikiza mamluki au vibaraka wake,kama tuambiwavyo utawala wa leo wa Saudia ulivyo,, waarabu ni vyema wajitambue mapema,waamke,walione hili na kuchukua hatua haraka sana,,mi naipenda sana Iran na misimamo yake,mungu awajalie waendelee hivyo,,na sipendi kuendekeza madhehebu ati si wasuni wao washia,,tunajiletea migawanyiko iso na maana,na udhaifu huu mayahudi wanautumia vizuri sana dhidi yetu,inakera sana hali hii kuendelea kuwepo,tuweni wamoja jamaani,ahsante.
 
Kama ww pia Umeshtuka nani tena ataaamini Ujinga ule lkn jamaaa kanyoosha maneno vizuli !!!

Israel tunaona pia kwamacho yetu inatamaaa kubwa ya Ardhi za wengine kote Lebanon Syria Jordan apo Palestina na silaha yake kubwa watu wanaogoma kunyang,anywa Ardhi zao uwavalisha vazi la Ugaid kupitia MEDIA zao !!!!

ndio mana UN mala hii imegoma kutumika imesimamia Ukweli tu.

Dunia pia imeshawashtukia lengo lao ndio mana tunaona maandamano kila kona kuwapinga Israel ,,

nyinyi tu ndio mnajitoa Akili Lebanon ni cristian wale pia amuwaurumii mnajua kabisa kama si hezbollah kuwepo pale taifa linaenda kubebwa asubui tu mbaya zaid Israel ni mpinga Kristo...

Badala muwe upande wa kutetea ukristo wenu nyinyi mnaangaika na zayuni wanaounga mkono Ushoga.
kwan nyie makobazi SI WAPNGA KRISTO? ukristo haupganiw kmwil unajpania kiroho Mudi aliukuta na akauacha
 
Hezbollah wa Lebanon wamenyamazishwa kimya.

Hamas kao lao limeangamizwa.

Syria imepinduliwa.

Houthis, US anawaangushia makombora mazito kila siku, muda sio mrefu wanajeshi 80,000 wa Yemen wanaopikwa huko Saudia watapelekwa kuitwaa Hodaida, ngome kuu ya Wahouthis na kuleta mwisho wao.

Qatar, UAE, Saudja, Misri, Kuwait, Oman, Iraq wote wameunga juhudi.

Tambua

Nje ya Iran hakuna taifa hapo mashariki ya kati lenye uwezo wa kuizuia Israeli. Sasa Iran inasongwa na Trump ili njia au sababu ya kuvamiwa kijeshi ipatikae ama zana zake ziangamizwe. Utawala wa Iran hakika utaangushwa na Wazayuni, ni jambo la muda tu. Biden, rais mstaafu wa Marekani alisema haitaji kuwa Myahudi ili uwe Mzayuni. Hivyo uzayuni ni harakati kubwa ambayo wengi hawajafikiri au kuhisi nguvu yao.

Ramani ya Israeli kuu

Mwaka jana Netanyahu waziri mkuu wa Israeli akiwa katika makao makuu ya umoja wa mataifa huko New york, alionesha ramani mpya ya Israeli ikiwa na mipaka ya kushangaza. Mipaka hiyo inabeba Palestina, Jordan, Lebanon, na sehemu kubwa za Iraqi, Syria, Misri, na Saudi Arabia. Zamani jambo hili lilionekana kama cospiracy theory lakini sasa sio tena njama bali harakati za wazi.

Mnamo tarehe 21 Septemba 2024, kitu cha kushangaza kilitokea. Lakini bado wengi hawakuona na kushangazwa.
Magari ya kivita ya Israeli yalivuka mpaka kwenda Syria na kuitwaa Golan yote ambayo nusu yake ilitwaliwa 1967 katika vita vya siku sita. Na wakadhibiti vijiji vya kando kando yake ambayo ni Ofaniya, Quneitra, al-Hamidiyah, Samdaniya al-Gharbiyya na al-Qahtaniyah hadi leo hivi.

Sio hivyo tu, pia walianza kuunda vizuizi katika mfumo wa mita 10 kwa upana na urefu wa mita 1,700. Na zaidi wakautwaa mlima Hermon ambao sehemu kubwa upo Syria na sehemu ndogo upo Lebanon. Hivyo wakamega na eneo la Lebanon kaskazini karibu na mpaka wa Syria. Vilevile wametwaa eneo la Lebanon kusini na Gaza. Kulingana na taarifa ya aljazeera hapo pichani ni kwamba hawatarudisha tena sehemu hizo.

Ramani ya Israeli kuu ni mpango wa muda mrefu

Toka taifa la Israeli limepata uhuru wake mnamo 1948 halijawahi kuonesha mipaka ya ardhi yake. Na hakuna kiongozi hata mmoja wa Israeli aliyekubali au kudai mipaka hii ya taifa lao la sasa ndio mipaka ya nchi yao.

Wakati wa mkutano wa kilele wa Kiarabu uliofanyika Cairo mnamo 1990, viongozi wa kiarabu walikusanyika pamoja juu ya hoja ya Israeli na Palestina. Rais wa Libya, Muammar al-Gaddafi, alisimama na kutoa vipande vichache vya karatasi.
Alimwendea kiongozi wa PLO, bwana Yasser Arafat, na akawasilisha kwake.
Arafat alichukua karatasi hizo, akapitia, na kisha akaziweka kando, akijiandaa kutoa hotuba. Ilikuwa wazi kwamba kile alichokiona kilikuwa kimemkasirisha sana. Aliwahutubia viongozi wa Kiislamu kwa hasira.

Hati hizi zilikuwa na ramani ya ardhi za Waarabu, iliyowekwa ndani ya mipaka ya pendekezo la Israeli - mbalo na mipaka inayofahamika leo. Badala yake, mipaka kwenye ramani hii ilijumuisha maeneo yote ya Palestina, Yordani, Lebanon, na sehemu kubwa za Syria, Iraqi, Saudi Arabia ya Kaskazini, na Misri. Kwa bahati mbaya, ramani hiyo hiyo ilionyeshwa kwenye mkutano wa AIPAC (American Israel Public Affairs Committee) mwaka mmoja uliopita.

Hati nyingine ilikuwa na picha ya sarafu ya Israeli iliyoandaliwa na picha ya ramani hii kubwa ya Israeli. Ramani hii, ambayo Yasser Arafat ilimkasirisha, inaonyesha Israeli kubwa kutoka mto Nile hadi Frati. Unaweza kuona kwenye picha hapo chini, inajumuisha sehemu kubwa za ardhi za Waarabu na, muhimu zaidi, inadhibiti rasilimali muhimu za kijiografia.

Netanyahu na Israeli kuu

Kutoka 1990 wakati wa mkutano wa Waarabu hadi Septemba 2024 ni miaka 34 ambayo Israeli imeongeza mipaka yake tena. Hivyo kile ambacho Gadaf alimwonesha Arafat mnamo 1990 kimethibitika.

Katika mkutano na waandishi wa habari mnamo 4 September 2024, Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, aliwasilisha ramani ambayo watu wanashtushwa nayo, kwa sababu ni ramani kubwa. Haiingii hata ndani ya mipaka ambayo Wapalestina wengine wameitaka kutoka 1967. Badala yake, inaenea katika nchi za jirani za Waarabu. Kitu ambacho watu zaidi wanapaswa kukipa kipaumbele ni mstari wa Netanyahu uliotajwa katika uwasilishaji wake. Akionyesha ramani, alisema,

"Hii ni Mashariki ya Kati, na huu ndio ulimwengu wote wa Kiarabu, na hii ni Israeli. Ni moja wapo ya nchi ndogo zaidi ulimwenguni. "Ninaipa, unajua, mtihani wa kidole gumba. Hii ni kubwa, kwa hivyo unahitaji kidole kikubwa. Lakini ni nchi ndogo. Ni moja wapo ya nchi ndogo kabisa kwenye sayari.
"Ni, nadhani moja ya kumi ya asilimia moja ya eneo la ulimwengu wa Kiarabu, labda nimekosea. Labda ni sehemu ya kumi ya asilimia moja. "....

Alisema mengi zaidi ya kushangaza. Unaweza rejea:

[https://www.gov.il/en/pages/pm-netanyahu-holds-press-conference-for-the-foreign-media-4-sep-2024]

Jambo alilokuwa akilisema hapo sio ukweli wa kawaida. Alikuwa akisisitiza kwamba Israeli inahitaji kupanuka katika ardhi za Kiarabu zinazozunguka ili iweze kuwa salama.

Mambo yapo wazi tu sasa. Ikiwa ungetafuta mtandaoni unaipata picha ya ramani hii inayoitwa Israeli kuu (greater Israeli). Kwa kweli, Waziri wa Fedha wa Israeli Bezalel Smotrich, mnamo Machi 2023, aliwasilisha ramani hii kubwa ya Israeli kwenye hotuba aliyoitoa huko Paris. Rejea:
https://www.timesofisrael.com/far-r...eclares-himself-his-family-real-palestinians/

Ramani hii pia inaonekana kwenye nembo rasmi za Israeli kama zile zilizoonyeshwa kwenye picha hapo chini. Huu ni mpango wa muda mrefu sana, angalia pia logo juu ya nguo za kijeshi za wanajeshi wa IDF utaona ramani hiyo.

Fikiria kitabu kilichoandikwa na Dennis Avi Lipkin kilichopewa jina la Return to Mecca, ambamo anajadili haki ambazo Wayahudi wanayo juu ya Makka na haki yao ya kurudi!. Katika mahojiano ya 2022, alisema,

"Mwishowe, mipaka yetu itaongezeka kutoka Lebanon hadi Jangwa Kuu, ambalo ni Saudi Arabia, na kisha kutoka Mediterania hadi Frati. Je! Ni nani aliye upande mwingine wa Frati? Wakurdi, Wakurdi ni marafiki wetu! "

Kisha akasema,

"Ninaamini tutachukua Makka, Madinah, na Mlima Sinai, na kutakasa maeneo hayo." Rejea


View: https://youtu.be/WERJ_xXhaeQ?si=E5KxFc7krmwuPGOT

Mark Fish, akiandika katika gazeti la Jerusalem post, alisema Lebanon ni sehemu ya ardhi ya Wayahdi kulingana na maandiko yao. Rejea;


Amos Azaria mtaaluma wa Israeli - ambaye ameanzisha harakati za wakaazi kusini mwa Lebanon - ameandika kitabu cha watoto kilichoitwa Alon and Lebanon, ambamo hadithi hiyo inawafundisha watoto kwamba Lebanon imeahidiwa kwa Israeli. Rejea:


Je Israeli kweli itatawala maeneo hayo yote kijeshi?

Hapana. Kuna aina tatu za mipaka ya Israeli.

Wakati Waziri Mkuu wa Israeli Shimon Peres alipoulizwa siku ya kusainiwa kwa mikataba ya Oslo, ni nini mipaka ya Israeli? Jibu lake lilikuwa ni aina tatu. Jibu la kushangaza kweli. Alisema kuna mipaka ya kijiografia ambayo itakubaliwa katika siku zijazo; mipaka ya usalama ambayo inaenea kuelekea ghuba; na mipaka ya kiuchumi ambayo inaenea zaidi ya hiyo.

Hii inatuambia kuwa Israeli kubwa haimaanishi kuwa askari wa IDF watakuwepo Lebanon, Jordan, au Makka, Iraq, Syria au kwamba utakuwa ni udhibiti wa Israeli unatolewa kwa nchi hizo zinazozunguka moja kwa moja.
Badala yake, ni juu ya kuwa na utawala wa kujipenyeza utakaotoa udhibiti kwa njia yoyote ambayo inaona inafaa na kufaidika na rasilimali. Ingawa watatwaa sehemu ya ardhi katika nchi kadha wa kadha lakini sehemu kubwa watadhibiti kwa kujipenyesha kama ambavyo wanavyoitawala Saudia kupitia ufalme wa hapo. Uthibitisho ni hakika. Na tunauona kwa MBS yaani crown prince wa Saudia naam Salman mama yake ni Myahudi. Prince huyu maarufu ameshawahi kuwaalika Wayahudi kutembelea Maka jambo ambalo linakatazwa na vitabu vya Waislamu. Zaidi amepiga maarufuku hotuba misikitini kuhusu ukombozi wa Palestina ama kunyanyua bendera ya Palestina au kuisemea Israeli vibaya, hukumu yake ni kifungo. Na ni maarufuku kwa mahujaj kusema free Palestina. Huoni jambo hili la Israeli kuu sio hadithi? Ni mambo yakushangaza kama nini.

Zingatia kabla ya Uislamu, ni Wayahudi ndio waliokuwa wanadhibiti uchumi wa Maka hadi Madina. Walikuwa karibu na makureshi. Ni Muhamad na Waislamu wake ndio waliowafukuza na kutaifisha mali zao. Bilashaka wamerejea kwa namna ambayo sio rahisi kuijua. Na kwasasa Ufalme wa Saudia umejimilikisha udhibiti wa Maka na Madina na nchi yote ya Hijazi, wanaweza kuzuia nchi yoyote kuja kuhiji Maka, kama walivyofanya juzi kwa kuzuia nchi 13 juu ya ibada ya hija. Lakini wamewakaribisha wanajeshi wa Marekani katika ardhi hiyo tukufu kwa mujibu wa Uislamu na kwa pamoja wakipanga njama za kuipindua Iran. Je hili jambo linaweza kuwa tu la bahati mbaya? sidhani maana katika siasa hakuna ajali.

Je ni nani hasa yupo nyuma ya haya yote? Ni "WAJESUITI" in the name of Jews.



View attachment 3307752

mkuu wayahudi wakisema afrika mashariki ni sehemu ya israeli utawakubalia au utakataa
 
Angalia kwa jicho la tatu
1. Kabla ya Saudi na Usa Kuingilia siasa za Yemen, Houth na Shiite kwa Ujumla hawakuwa na Nguvu Yemen ila sasa hivi wame surrender nchi, Yemen sio Pro Usa tena.

2. Iraq Hapo Miaka ya 70 Sadam kwa Msaada wa Usa alipigana na Iran, USA kazinguana na Ally wake kaenda Kumpiga, Matokeo yake kampa Iran Nchi kirahisi.

3. Lebanon alikua pro West mda mrefu sana, sasa hivi hadi wakristo wa Lebanon ni Ally wa Iran,

4. Hapo Palestina hawajawahi kuwa pro Iran, ila tumeona Vita vya Hamas wazi wazi wakiwa Pro Iran.

So kila sehemu wanaofanya Ugomvi Usa mambo hayaendi kama wanavyotaka outcome yake inakua wanatoa Nchi kirahisi.

Yaliyotokea Afghanistan yanaendelea Yemen, Iraq, Lebanon, na hata hapo Syria bado nchi haijaeleweka.
 
Back
Top Bottom