Stephen ngonyani std?Sugu kaishia kidato cha pili tu.
unaposema kigezo cha mtu kuongoza watu sio elimu ni kujifariji na ni kama umeamua kujidanganya.Kwanza kabisa hakuna shule inayofundisha busara, alafu pia kigezo cha mtu kuongoza watu sio elimu bali ni hekima. Hivi kati ya sugu na mwakyembe nani anayewaongoza wajinga?
Mwakyembe kichwani yupo kama Darasa la Pili ni Kama kilaza amesoma kijanja janja kama Jesca Magu.Nnchi yetu haiwezi kuwa na maendeleo mpaka watu wapunguze majidai makyembe alivyokuwa kwenye ziara marekani kweli msomi anaweza kuongea kuikandamiza zanzibar,elimu yake ni yanini
Mwakyembe hana Taaluma wala Elimu kichwani alichokisoma ni Kingereza kisha akasaka Uzoefu kazini kutumia wanasheria wasomi wa Ukweli kajifunza kupita wao kiujanja janja tu, PhD yake ni Feki ndiyo maana alinunua mabehewa Feki, kuna Wasomi halisi na kuna wale wanaojiita Wasomi ambao kichwani hawana Taaluma bali hujidai kuna vitu humo na hao wengi ni wezi wakubwa na watenda maovu na vioja vya kila aina ni wepesi wa kurubuniwa kama Slaa na Lipumba walivyorubuniwa na Div zero form six January Makamba ambaye pia ni mkuu wa kitengo cha Uchakachuaji na kamati za Ufundi za ccm, pata picha hata kule Bungeni wabunge wasemaji hovyo wa ccm yaani Kibajaji na Ally kessy wana Elimu ya ngama lakini ni Tegemeo la ccm kwenye kupambana na upinzani pia msemaji wa ccm Ole sendeka kichwani hana kitu yeye kazi yake ni kukariri kila kitu cha Div 4 Nape na mzee Kinana Adui namba one wa Tembo, hana Mawazo binafsi, Wasomi wa Tanganyika wengi ni magumashi na wengine hasa wa ccm wao wamesomea Ufisadi tu.unaposema kigezo cha mtu kuongoza watu sio elimu ni kujifariji na ni kama umeamua kujidanganya.
Elimu(iwapo mhusika ameelimika) husaidia sana kutengeneza fikra na kuongeza maarifa hivyo ni moja ya vigezo muhimu katika kuongoza,na ndio sababu katika nafasi nyeti za uongozi mahali popote inawekwa wazi elimu kama kigezo,kwa mfano ulio hai sidhani kama kuna nchi katika dunia ya leo ina Rais au waziri mkuu asiye na elimu.Umuhimu wa elimu umetajwa hata na mwenyezi mungu kupitia vitabu vyake vitakatifu,ingawa pia sikatai kuna mambo (mfano vikao vya harusi,vikao vya familia na mengineyo madogo madogo)yanaweza kuongozwa bila kuzingatia sana elimu.
Sugu anatuongoza wajinga wa mbeya mjini tumemchagua coz hatutaki ccm na sio kingineKwanza kabisa hakuna shule inayofundisha busara, alafu pia kigezo cha mtu kuongoza watu sio elimu bali ni hekima. Hivi kati ya sugu na mwakyembe nani anayewaongoza wajinga?
Jimboni kwake Mbeya hawakumpigia kura kabsa bali alichakachua matokeo kwa Goli la mkono, pesa alizopata baada ya kupiga Madili, Bandarini, Airport,shirika la Reli kununua mabehewa feki, Ganji toka kwa Membe juu ya kumfundisha Slaa serena hotel jinsi ya kuwachafua Ukawa, na Madili kibao, bila kutumia pesa Mwakyembe asingekuwa Mbunge leo hii maana hana mwana-jimbo anamtaka kabsa.Huyo anaejiita PHD holder hata kiingereza kinampiga chenga after all ilikuwa busara ajibu hoja kwa sababu wananchi ndio wamemqualify Sugu. Mwakyembe acha dharau ungekuwa kweli ni kiongozi msomi ungetatua kero za muda mrefu za wanakyela ikiwemo ya barabara mbovu all over jimboni kwako.Huko ni kuishiwa Sera yule sio ' msanii kutoka Mbeya' ni Mhe.Mbunge asheeh
Anamshangaa Mbunge Sugu wa Mbeya ambaye hata Shule hajamaliza na anahoji umahiri wa PhD holder!
Kwa kweli hawa Wabunge wa CHADEMA sijui hiki Chama kinawatoa wapi ni shiida hasa Sugu, Msigwa halafu eti ndiyo diplomat wa CHADEMA!
Samahani kwa atakaekereka: zamani nilidhani huyu HM ni kiongozi mdiriki na mkweli ila nimegundua sio ana element nyingi za unafiki na nimeprove zaidi baada ya kutembelea jimboni kyela on my biz trips.Jimboni kwake Mbeya hawakumpigia kura kabsa bali alichakachua matokeo kwa Goli la mkono, pesa alizopata baada ya kupiga Madili, Bandarini, Airport,shirika la Reli kununua mabehewa feki, Ganji toka kwa Membe juu ya kumfundisha Slaa serena hotel jinsi ya kuwachafua Ukawa, na Madili kibao, bila kutumia pesa Mwakyembe asingekuwa Mbunge leo hii maana hana mwana-jimbo anamtaka kabsa.
Hahaha mwakyembe ni waziri..mzigo kama NapeAkili zake kwa sasa zipo kama za Agnes marwa.
Tena na bangi juuSugu kaishia kidato cha pili tu.
Sugu kaishia kidato cha pili tu.
Sijui kama umesoma vizuri nilichoandika mkuu,hapo kwenye bandiko langu hakuna nilipoandika kuwa elimu ni lazima mtu awe na PHD,hata hao uliowataja hapo wote ni watu waliopata elimu katika madaraja tofauti tofauti na ni elimu hiyo walioipata ndo imewafikisha hapo kwa kuwa iliwajenga kifikra na kimaarifa.Mwakyembe hana Taaluma wala Elimu kichwani alichokisoma ni Kingereza kisha akasaka Uzoefu kazini kutumia wanasheria wasomi wa Ukweli kajifunza kupita wao kiujanja janja tu, PhD yake ni Feki ndiyo maana alinunua mabehewa Feki, kuna Wasomi halisi na kuna wale wanaojiita Wasomi ambao kichwani hawana Taaluma bali hujidai kuna vitu humo na hao wengi ni wezi wakubwa na watenda maovu na vioja vya kila aina ni wepesi wa kurubuniwa kama Slaa na Lipumba walivyorubuniwa na Div zero form six January Makamba ambaye pia ni mkuu wa kitengo cha Uchakachuaji na kamati za Ufundi za ccm, pata picha hata kule Bungeni wabunge wasemaji hovyo wa ccm yaani Kibajaji na Ally kessy wana Elimu ya ngama lakini ni Tegemeo la ccm kwenye kupambana na upinzani pia msemaji wa ccm Ole sendeka kichwani hana kitu yeye kazi yake ni kukariri kila kitu cha Div 4 Nape na mzee Kinana Adui namba one wa Tembo, hana Mawazo binafsi, Wasomi wa Tanganyika wengi ni magumashi na wengine hasa wa ccm wao wamesomea Ufisadi tu.
Ukiambiwa uthibitishe kuwa Mheshimiwa uliyemtaja hapo juu elimu yake ni feki unaweza?au umeamua kukurupuka?Mwakyembe hana Taaluma wala Elimu kichwani alichokisoma ni Kingereza kisha akasaka Uzoefu kazini kutumia wanasheria wasomi wa Ukweli kajifunza kupita wao kiujanja janja tu, PhD yake ni Feki ndiyo maana alinunua mabehewa Feki, kuna Wasomi halisi na kuna wale wanaojiita Wasomi ambao kichwani hawana Taaluma bali hujidai kuna vitu humo na hao wengi ni wezi wakubwa na watenda maovu na vioja vya kila aina ni wepesi wa kurubuniwa kama Slaa na Lipumba walivyorubuniwa na Div zero form six January Makamba ambaye pia ni mkuu wa kitengo cha Uchakachuaji na kamati za Ufundi za ccm, pata picha hata kule Bungeni wabunge wasemaji hovyo wa ccm yaani Kibajaji na Ally kessy wana Elimu ya ngama lakini ni Tegemeo la ccm kwenye kupambana na upinzani pia msemaji wa ccm Ole sendeka kichwani hana kitu yeye kazi yake ni kukariri kila kitu cha Div 4 Nape na mzee Kinana Adui namba one wa Tembo, hana Mawazo binafsi, Wasomi wa Tanganyika wengi ni magumashi na wengine hasa wa ccm wao wamesomea Ufisadi tu.