Mwakyembe awamaliza CHADEMA Bungeni!

Mwakyembe awamaliza CHADEMA Bungeni!

Mimi binafsi niliwahi kuangalia watu wakihojiwa live katika Luninga hasa kile kilichoitwa siku mia za Magu ikulu, ilipokuja zamu ya mwakyembe niliwahi kuduwaa. Kwani nilikua namchukulia mwakyembe kama waziri msomi lakini alinishangaza kuwa kilaza katika mawaziri wote waliokalia kile kiti.
Nilimwambia rafiki yangu tuliekua tunafuatilia nae kile kipindi kuwa katika baraza la Magu, mwakyembe ndio zigo la yote.
 
Tangu niliposokia aliandaa mkutano wa Dr Mihogo Serena nikamdharau sana.
 
Kwanza kabisa hakuna shule inayofundisha busara, alafu pia kigezo cha mtu kuongoza watu sio elimu bali ni hekima. Hivi kati ya sugu na mwakyembe nani anayewaongoza wajinga?
Hiyo picha uliyoweka ni ya mtu mwenye heshima yake katika sanaa ya nchi yetu. Maneno yako yatoe taswira yake vinginevyo utakuwa unamtukanisha.
 
Vipi swala la sugu kumuonyesha Naibu spiki ishara ya matusi limeishia wapi. Kitendo kama hicho kinadhihirisha jinsi elimu yake ilivyo ndogo. Tumeng'ang'ania wajenge hoj asasa wanatoa ishara za matusi huo sio ustaarabu hata kidogo wa mtu aliyeenda shule. Unafanywa na watu wenye walakini kielimu kama Sugu
 
naona ndilo neno haswa maana kama Sugu ambaye hajamaliza shule ana kura nyingi kuliko HATA MAPROFESA, kama sugu ambaye hajamaliza shule ana mchango wa haja kuliko Mwenye PHD, kama Sugu ambaye hajamaliza shule anajiopatia riziki yake ya halali kuliko Mwenye PHD fisadi
 
Unataka mchanganuo wa kulinganisha manufaa ya Elimu kubwa na ndogo katika nchi hii?

Nimeshaanza kujua. Hata tukimpata Rais bora kuliko wote hatutokaa tuendelee kama nchi kwa akili za aina hii

Magufuli ana kazi kubwa sana
Upo gheto kwa Lugumi nini? Hao Wanaojiita wasomi akina Tibaijuka, Chenge, werema na wenzao wamefanya nini? Kivuko kibovu cha mwaka 1978 kilinunuliwa na wa darasa la saba? Chenji ya Bunge la katiba, Chenji ya Rada, mikataba mibovu yote husainiwa na darasa la saba? Hao mnaowaita wasomi ndiyo waliuza nyumba za Serikali, wamekausha madini Aridhini nk .
 
Usomi wake kalifanyia taifa
Huyu anaishi kwa maneno ya kinafiki nafiki kama hajasoma vile. ukimlinganisha huyu na Prof. maji marefu na rahisi kukosea kujua yupi ni msomi kati yao.
 
naona ndilo neno haswa maana kama Sugu ambaye hajamaliza shule ana kura nyingi kuliko HATA MAPROFESA, kama sugu ambaye hajamaliza shule ana mchango wa haja kuliko Mwenye PHD, kama Sugu ambaye hajamaliza shule anajiopatia riziki yake ya halali kuliko Mwenye PHD fisadi
Wenye PhD wote ni majizi ya pen si umeona hata kule NSSF dau kapiga Dili kubwa ,
 
Huyu anaishi kwa maneno ya kinafiki nafiki kama hajasoma vile. ukimlinganisha huyu na Prof. maji marefu na rahisi kukosea kujua yupi ni msomi kati yao.
Profesa maji marefu ana Akili kuliko Profeselii Mwakyembe, Yaani huyo babu Mwakyembe kwa sasa ni sawa na yule Profeselii wa Olijino comedy.
 
Anamshangaa Mbunge Sugu wa Mbeya ambaye hata Shule hajamaliza na anahoji umahiri wa PhD holder!

Kwa kweli hawa Wabunge wa chadema sijui hiki Chama kinawatoa wapi ni shiida hasa Sugu, Msigwa halafu eti ndiyo diplomat wa chadema!


Magamba wenzako mtaani walishayaongea sana hayo aliyosema Mwakyembe.
Sasa sijui uzito wa maneno hayo ni nini mpaka awamalize CDM?
Inawezekana na wewe ukilaza aliyosema mkuu wa nchi na wewe unakuhusu. Wewe uliye post hii message.
 
Dr Slaa naye Taaluma yake huenda ni Feki maana kwa mtu anayejinadi ni msomi asingeweza kurubuniwa na Div 4 Nape na Div zero January makamba akaukacha upinzani kwa visingizio vya kufundishwa na Mwakyembe mmiliki wa PhD feki.
Mbona aliweza kurubuniwa na Div 0 Mbowe aka mr DJ?
 
Chadema linapokuja swala la elimu kwa wabunge wao vilaza utawasikia hiyo elimu imesaidia nini na meneno kibao ya ajabu, ila lile boya lao alilowachagulia Mr DJ alianzishiwa nyuzi hapa kuwa ati msomi pekee Tanzania nzima. Swali linakuja yule Dr wenu ambae ni Katibu wa chama chenu mfu amelitendea nini taifa hili na elimu yake? Michadema hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom