mtaalam gani huyo? Zile pesa za ununuzi wa mabehewa feki mmekula wote? Taaluma kichwani mwa Mwakyembe haipo bali kuna Taarabu tu.Mtaalam wetu wa sheria aliyekana tafiti kwa sababu ya siasa za Chama changu. Ila kawambia kabisa ukweli kina Suguu.
Hivi alipata kura ngapi na Mwakyembe ngapi??Sugu kaishia kidato cha pili tu.
akiwa kama Msomi? Yaani ni kama? Kwa hiyo Mwakyembe ni kama msomi hana Taaluma kichwani yupo kama msomi lakini si msomi vyeti vyake ni vya kugushi.Mwakyembe anamshangaa nini Sugu wakati nyie wenyewe mmetaka wabunge wajue kusoma na kuandika? Kwani sugu hajui kusoma na kuandika?
By the way Mwakyembe akiwa kama msomi hapaswi kujadili watu bali mauala. Otherwise ni use.....?
Sugu alishinda kwa kishindo lakini Mwakyembe kutokana na wananchi kujua ni Mwizi hawakumchagua bali alichakachua matokeo akashinda kwa Goli la mkono.Hivi alipata kura ngapi na Mwakyembe ngapi??
Anamshangaa Mbunge Sugu wa Mbeya ambaye hata Shule hajamaliza na anahoji umahiri wa PhD holder!
Kwa kweli hawa Wabunge wa chadema sijui hiki Chama kinawatoa wapi ni shiida hasa Sugu, Msigwa halafu eti ndiyo diplomat wa chadema!
Mkuu wanaojiita Wasomi Tanzania 80% wamesomea ufisadi angalia Tabia za akina Chenge na Genge lakeTitle na Content mbona mbalimbali...Huyo hajui hata kama katiba ilibakwa zanzibar,hajui kuwa katiba ya Warioba ndo mkombozi wa mTz..eti PHD Holder..Kuna holder mwingine anaitwa Anna Tibaijuka,naye vip?....
Mwakyembe kachokoza moto yeye ameropoka tu kumfurahisha naibu spika lakini nina Imani ataijutia Kauli yake hiyo.Mmhhh mheshimiwa speaka bunge lako halina mmbunge anaitwa msanii kutoka Mbeya.
Usianzishe ugomvi wa mawe.......
Kujifurahisha ni hiyari yako.Sugu kaishia kidato cha pili tu.
Lakini exposure aliyonayo..hata huyu mwakyembe anayejifanya Mungu mtu hamfikiri hata robo including youSugu kaishia kidato cha pili tu.
Tungo za kwenye taarabuDah....yaani wapinzani wana Elimu ndogo sana wanashindwa hata na Migambo
Huyo wamtegemea kwa fikra, utaishia jangwani. Aliishaikana thesis yake mwenyeweUmemsikiliza Mwakyembe na umemuelewa?
Mwakyembe kichwani hana Taaluma ni msomi feki alinunua vyeti tu.Jacob Zuma hakuwahi kwenda shule.
Bill Gates hakumaliza chuo.
Kwa shahada na stashada zake Mwakyembe ikitakiwa awe mwalimu wa chuo sio mwanaaiasa.
Siasa inataka busara tu.
Wasomi wana matumbo na inapobidi badala ya kuongozwa na usomi wao huongozwa na matumbo yao. Ndio maana hata hukana maandishi yao wenyewe. Tena msomi anaeongozwa na tumbo lake ni mbaya zaidi kuliko yule ambaye sio msomi kwani msomi hujaribu kujificha kwenye usomi wake. Hebu jiulizeni Prof. Maji marefu kwa nini amerudi bungeni na wasomi wetu wazuri kule Tanga wameanguka? Juzi maji marefu ameona umuhimu wa upinzani kuwa bungeni hao wasomi wanataka kuufuta upinzani bungeni na kwenye siasa. Wasomi hawataki upinzani ufanye kazi za kipinzani hata mikutano wanapiga marufuku hati wanataarifa za kintelligensia.