Mwakyembe arejea nchini; afya yake yaimarika

Mwakyembe arejea nchini; afya yake yaimarika

Mwakyembe na kamati yake ya Richmond waliteketeza million 400 za wanyonge watanzania katika kufanya uchunguzi wa Richmond. Mwisho wa siku wakatuletea report nusu[incomplete??] kuhusu Richmond. Leo hii kuna watanzania wanamuonea huruma Mwakyembe, shame on them. Ingekuwa China Mwakyembe angekuwa ameshanyongwa kwa unafiki wake.

Your hatred for Mwakyembe should be between you and him. I am one of those who sympathise with Mwakyembe. Whatever the case personal health problem is no match to incomplete report especially when the health problems are man made, Unless you are responsible for his health problem, YOU NEED TO APOLOGISE TO US FOR YOUR GENERALISATION.
 
Wabongo kwa uzushi ni maridadi wanaweza kukuzushia ungali bado unaishi,ingekuwa kuna zawadi nadhani wabongo wangebeba kikombe hiki cha watu wabaya ktk ulimwengu huu,tuache uzushi kwani hauleti maendeleo hata kidogo zaidi ya chuki na mifarakano
 
Jitu lenye uchu wa madaraka kama Mwakyembe aache ulaji wakati Ripoti ya kisanii ya Richmondi ilijaa visasi vya kuukosa uwaziri mkuu swahiba wake Samuel Sitta!!....


Mwanyembe or Lowassa???

Just thinking aloud.
 
Habari zilizotangazwa na TBC1 zinasema Dr Mwakyembe amerudi nchini leo

na jumatatu ataanza kazi rasmi na ndipo ataongea na waandishi wa habari. Afya yake yaelezwa kuwa imeimarika sana.

Jamaa wasije wakamuwahi tena!
 
Your hatred for Mwakyembe should be between you and him. I am one of those who sympathise with Mwakyembe. Whatever the case personal health problem is no match to incomplete report especially when the health problems are man made, Unless you are responsible for his health problem, YOU NEED TO APOLOGISE TO US FOR YOUR GENERALISATION.

Mkuu, post za jamaa huwa zinaniacha hoi sana, maana always zina mtizamo fulani hivi. Fuatilia kwa karibu
 
Mkuu, post za jamaa huwa zinaniacha hoi sana, maana always zina mtizamo fulani hivi. Fuatilia kwa karibu
Huwa zina mtizamo gani post zangu? Hebu funguka zaidi ili ueleweke. Hii ni JF WHERE WE DARE TO SPEAK OPENLY, sasa sijui wewe unaficha kwa manufaa ya nani!.
 
I'm smelling something fishy! No visuals, no audio, why is he hiding?!! Only Victor says....'my brother harrison is in good shape, will be in office on monday'....well, well, well, monday is just around the corner!!!
 
Mwanyembe or Lowassa???

Just thinking aloud.
Mwenye uchu wa madaraka ni Mwakyembe na hata kama Lowasa anao uchu wa madaraka vilevile lakini alishaonesha kwamba anao ushujaa wa kuutema ulaji, sasa huyu Mwakyembe karibu mwaka mzima anaumwa ni kwa nini asingejiuzuru huo unaibu waziri ili aangalie afya yake vizuri? unadhani ni busara kazi kusimama kwa sababu yake?

Na ninakuhakikishia huyu Mwakyembe kwa uchu wa madaraka alionao anataka kujilazimsha kurudi ofisini jumatatu ili kujenga mazingira asiachwe kwenye baraza jipya la mawaziri maana ni wakati wowote ule baraza litavunjwa na Mwakyembe na Mwandyosa kamwe hawawezi kurudishwa kwenye cabineti maana ni mzigo kwa Taifa kwa sasa!!
 
mwakyembe na kamati yake ya richmond waliteketeza million 400 za wanyonge watanzania katika kufanya uchunguzi wa richmond. Mwisho wa siku wakatuletea report nusu[incomplete??] kuhusu richmond. Leo hii kuna watanzania wanamuonea huruma mwakyembe, shame on them. Ingekuwa china mwakyembe angekuwa ameshanyongwa kwa unafiki wake.

mnyihanzu,najaribu kupata picha jinsi ulivyokuwa umeitisha watu nyumbani kwako kwa ajili ya kufurahia kifo cha
mwakyembe jana,maana watu wengine wanataka tu kuwaua wenzao bila sababu za msingi.sijui unataka kuchukua ubunge
wa kyela,wala hawawezi hata kidogo kukupa.yaonekana wewe ndiye uliyezusha kuwa kafa kutokana na posting zako za kijingakijinga huku dr anadunda yuko fit na jumatatu anatinga ofisini........tuma tena watu wakamuue uone.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom