Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Guess work!
Mkuu povu la nini?
Guess work!
"Dk. Anasema kwa sasa ukimuona utashangaa maana amepata nafuu ajabu."
Praise the Lord!
msemaji wa familia ya mh.mwakyembe,victor mwambalaswa amekanusha uvumi uliokuwa umeenea kuwa mbunge wa kyela mh.mwakyembe amefariki dunia leo!na amesema hao ni wabaya wake ndio wanaoneza hizo habari.mheshimiwa anaendelea vizuri na j3 ,anaweza kuripoti kazini.source.radio one.
Shame on you!Kakojoe ulale naona umevimbiwa.
mwakyembe na kamati yake ya richmond waliteketeza million 400 za wanyonge watanzania katika kufanya uchunguzi wa richmond. Mwisho wa siku wakatuletea report nusu[incomplete??] kuhusu richmond. Leo hii kuna watanzania wanamuonea huruma mwakyembe, shame on them. Ingekuwa china mwakyembe angekuwa ameshanyongwa kwa unafiki wake.
Kwani akisambaratishwa wewe utapungukiwa nini? zaidi ya kupunguza idadi ya wanafiki nchini!
Huwa zina mtizamo gani post zangu? Hebu funguka zaidi ili ueleweke. Hii ni JF WHERE WE DARE TO SPEAK OPENLY, sasa sijui wewe unaficha kwa manufaa ya nani!.
Mwakyembe na kamati yake ya Richmond waliteketeza million 400 za wanyonge watanzania katika kufanya uchunguzi wa Richmond. Mwisho wa siku wakatuletea report nusu[incomplete??] kuhusu Richmond. Leo hii kuna watanzania wanamuonea huruma Mwakyembe, shame on them. Ingekuwa China Mwakyembe angekuwa ameshanyongwa kwa unafiki wake.
Nani alimpa sumu?
we mchokozi sana... uzi wa 2012 unaukumbushia leo