Mwakyembe arejea nchini; afya yake yaimarika

white wizard

JF-Expert Member
May 18, 2011
8,305
13,265
msemaji wa familia ya mh.mwakyembe,victor mwambalaswa amekanusha uvumi uliokuwa umeenea kuwa mbunge wa kyela mh.mwakyembe amefariki dunia leo!na amesema hao ni wabaya wake ndio wanaoneza hizo habari.mheshimiwa anaendelea vizuri na j3 ,anaweza kuripoti kazini.source.radio one.
 
msemaji wa familia ya mh.mwakyembe,victor mwambalaswa amekanusha uvumi uliokuwa umeenea kuwa mbunge wa kyela mh.mwakyembe amefariki dunia leo!na amesema hao ni wabaya wake ndio wanaoneza hizo habari.mheshimiwa anaendelea vizuri na j3 ,anaweza kuripoti kazini.source.radio one.

aripoti kazini wapi? ngozi imejikunya mpaka inambana halafu unasema eti ataripoti kazini!!! hebu tupisheni hapa
 
Mmmmmm....... Mimi cielewiii, ukiwa na mali zote hzo kwa nini ung'ang'anie kutaka madaraka???? Mtauana nyie magambaaaaa nyambafuuuuu zenuuuu!!!!!
 
msemaji wa familia ya mh.mwakyembe,victor mwambalaswa amekanusha uvumi uliokuwa umeenea kuwa mbunge wa kyela mh.mwakyembe amefariki dunia leo!na amesema hao ni wabaya wake ndio wanaoneza hizo habari.mheshimiwa anaendelea vizuri na j3 ,anaweza kuripoti kazini.source.radio one.
Mwakyembe na kamati yake ya Richmond waliteketeza million 400 za wanyonge watanzania katika kufanya uchunguzi wa Richmond. Mwisho wa siku wakatuletea report nusu[incomplete??] kuhusu Richmond. Leo hii kuna watanzania wanamuonea huruma Mwakyembe, shame on them. Ingekuwa China Mwakyembe angekuwa ameshanyongwa kwa unafiki wake.
 
Mwakyembe na kamati yake ya Richmond waliteketeza million 400 za wanyonge watanzania katika kufanya uchunguzi wa Richmond. Mwisho wa siku wakatuletea report nusu[incomplete??] kuhusu Richmond. Leo hii kuna watanzania wanamuonea huruma Mwakyembe, shame on them. Ingekuwa China Mwakyembe angekuwa ameshanyongwa kwa unafiki wake.

Umewahi kuugua celebral malaria?????
 
sio kama alifunika kombe mwanaharamu apite? ndio maana report ikawa incomplete?

Mwakyembe na kamati yake ya Richmond waliteketeza million 400 za wanyonge watanzania katika kufanya uchunguzi wa Richmond. Mwisho wa siku wakatuletea report nusu[incomplete??] kuhusu Richmond. Leo hii kuna watanzania wanamuonea huruma Mwakyembe, shame on them. Ingekuwa China Mwakyembe angekuwa ameshanyongwa kwa unafiki wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom